Msonde maagizo yako yanaipoteza elimu

Msonde maagizo yako yanaipoteza elimu

Kwa ujumla wake inaonekana Msonde ana nia njema ya kuboresha utendaji.

Sema nyie mnataka kuleta “resistance to changes”

Inawapasa ku-adapt changes badala ya hiyo resistance through complains mnazofanya.

Fanyeni kazi acheni excuses.
 
Dah ualimu Kaz ya kisenge [emoji23][emoji23][emoji23]
🤣🤣🤣 Wanaliwa sana Hawa watu, alafu kisa Andalio .

Andalio waandae na tutafatilia ufundishaji pia!!.

Walizoea, wanaenda shulen kufundishaz bila Maandalio, wakifika ni stori tuuu


Sasa hapo wanataka Kujifanya eti, Muda mwingi watautumia kwenye kuandaa Maandalio alafu wasifundishe, Hawa washughulikiwe haswa.
 
Twende mbele turudi nyums.

Msonde ni mtu kazi na ni mtu wa mabadiriko,nazani wote tumeona alichokifanya baraza,baraza lina oparate kama jeshi kiyfupi lipo smart.

Sasa huko tamisemi anataka mambo ya kale yaishe,japo kuna vitu hajazingatia ila sekta ya elimu na mifumo lazima ibadirike tuache kulia lia.

Sasa hapo mnaongelea likizo,likizo watumish ipo ya siku 28 kwa mwaka,likizo zingine ni za wanafunzi,kama kuna kazi za kufanyika mashulen bila wanafunzi kuwepo zifanyike,hiyo mifumo ishughulikiwe.

Jambo ambalo napingana nae ni hilo la watoto kurudia orientation course,kwa muda upi uliopo?je topic zitamalizwa lini?

Pia watoto wasilazimishwe shule na ufaulu usilazimishwe
Una hoja ila uandishi wako unayumba yumba, mfano nyums, mabadiriko, kiyfupi n.k.

Hahahaaa
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Wanaliwa sana Hawa watu, alafu kisa Andalio .

Andalio waandae na tutafatilia ufundishaji pia!!.

Walizoea, wanaenda shulen kufundishaz bila Maandalio, wakifika ni stori tuuu


Sasa hapo wanataka Kujifanya eti, Muda mwingi watautumia kwenye kuandaa Maandalio alafu wasifundishe, Hawa washughulikiwe haswa.



Nakazia [emoji123]
 
haya mambo nu upuuzi tu kutokana na kutokuwa na nzuri ya kudumu. Elimu maana yake ni maendeleo. ila hapa bongo Elimu ni three R, kufaulu na kutafuta kazi. baada ya hapo ni kujigamba wewe ni Msoni.

😁😁😁😁😁😁😁
 
Kwa ufupi tu msonde tangu ufike Tamisemi umekuwa na Mambo mengi Sana ambayo mengine hayana ufanisi ebu yapunguze, kutokana na karenda kuanzia tarehe 31/03/2023 ni likizo Ila kutokana na maagizo yako ya ajaubu ajabu likizo imekuwa Kama kiini macho shule zinaendelea na kazi wanafunzi na walimu wanakiwa kuwepo shuleni eti KPI huu ujinga mmeutoa wapi Yani umeleta mambo mengi mpaka sasa uko mashuleni baada ya walimu kufundisha walimu wamekuwa bize na kuandaa documents tu maana unamini katika tarifa siyo ufundishaji hivi nani akwambia andalio la somo likiwepo mtoto ndio ataelewa Yani mmekalia uzamani zamani pasipo kuangalia dunia inataka nini

Na nyie watu wa vetting huwa mnakwama wapi mtu Kama alikuwa mwalimu shule ya msingi uko msimpe madaraka ya kusimamia vitu vikubwa hawa watu huwa wanaalibiwa na elimu yao ya cheti hata apate udokta bado atakuwa na mambo akili ile ile ya kidato Cha nne ndio haya msonde anayofanya Kama mnabisha subilieni natokea ya kidato Cha nne na darasa la saba na darasa la nne mwakani uyu msonde kaja na vitu vya hivyo hivyo katika elimu

Hivi mwalimu unasainishaje mkabata mpya eti wa kufaurisha wakati uyu mwalimu tayali ni mwajiriwa na anamkataba wa kudumu wa ajira yake na serikali Ila leo unageuza walimu watoto eti saini huu mkataba usipofaurisha upandi daraja huu si utoto Yani mkataba mama unasema hivi wewe inakuja na vitu vya ajabu ajabu ebu acheni huo utoto


Kama idara zenu zinapesa za kuzungukia mashule kukagua vitu vya ajabu ajabu nashauri hizo pesa endelezeni michezo
Duuh aiseh msonde anazid kuwadidimiza walimu na kuwatia tuu hasira, sasa walimu wakipanda hasira wanamalizia kwa watoto sasa hapo kuna kujenga kweli...!!??
#nchi Ngumu hii😂😂
 
Tatizo wanataka mgeuza mwalimu awe mungu Yani hata mtoto mwenye uelewa mdogo awe na uelewa mkubwa Yani mtoto wanapasisha kimagumashi uko akifika sekondari wanataka apate arama B somo la hesabu wakati ufauru wake uelewa wake magumashi
Tatizo wanataka mgeuza mwalimu awe mungu Yani hata mtoto mwenye uelewa mdogo awe na uelewa mkubwa Yani mtoto wanapasisha kimagumashi uko akifika sekondari wanataka apate arama B somo la hesabu wakati ufauru wake uelewa wake magumashi

HUYU NDIO MWALIMU WANGU!!!

mgeuza-kumgeuza
mungu-Mungu
Yani-yani
uko-huko
arama-alama
ufauru-ufaulu

Huyu ni mwalimu, hahahahaaa
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Wanaliwa sana Hawa watu, alafu kisa Andalio .

Andalio waandae na tutafatilia ufundishaji pia!!.

Walizoea, wanaenda shulen kufundishaz bila Maandalio, wakifika ni stori tuuu


Sasa hapo wanataka Kujifanya eti, Muda mwingi watautumia kwenye kuandaa Maandalio alafu wasifundishe, Hawa washughulikiwe haswa.
Walimu saiz wanaandika kuliko hata mwanafunzi, imagine mwalimu wa physics uko peke ako shule nzima na kwasiku vipindi vya F. 1 mpaka 4 ni kama nane hivi tena kila darasa lina mikondo sasa niambie huyu mwalimu anawezaje kuandika lesson plan nane kila siku, ila hawa ni robot halo yani yanaweza eti [emoji23]
 
Wanasiasa ilibidi watenganishwe na wanataaluma,,Kuchanganya siasa na taaluma Kuna athari kubwa Sana ,,,

Mkuu wa wilaya na mambo ya Taaluma wap na wap
Wanasiasa ilibidi watenganishwe na wanataaluma,,Kuchanganya siasa na taaluma Kuna athari kubwa Sana ,,,

Mkuu wa wilaya na mambo ya Taaluma wap na wap

,, ,,,
wap na wap-wapi na wapi
Herufi kubwa inawekwa wakati gani???
 
Back
Top Bottom