Msonde maagizo yako yanaipoteza elimu

Msonde maagizo yako yanaipoteza elimu

Ila mbona malengo ya chini hivyo? Mi nilidhani labda div. 1 - 4 wawe walau 99%?!
Kama uko kwenye field hiyo unaweza elewa kuna vitu haviwezekani.
Mfano mwalimu wa Hisabati sekondari zetu za kata umwambie afaulishe somo hilo japo kwa 25%, kuwa asipofanya hivyo hautampandisha daraja, nadhani hapo unakuwa umetangaza rasmi kuwa hautaki kuwapandisha madaraja walimu wa somo husika.

Kuna shule za Serikali hiyo ya kufaulisha div i-iii kwa 80% + inawezekana, lakini huko kwingine pangu pakavu tia mchuzi walahi 50% ni utata kama ilivyo ngumu kwa Ngamia kupenya kwenye tundu la sindano.

Pia kama ni kweli kuwa kidato cha kwanza inatakiwa wapewe wiki zingine 8 za kusoma orientation course, hili nalo ni tatizo huko mbeleni maana mwalimu akijitahidi atafundisha nusu ya topic zinazotakiwa kusomwa mwaka huu kitu kitakacholeta balaa lingine kwenye mtihani wa upimaji wa kidato cha pili mwakani.

Suala la Elimu yetu linahitaji kuchakatwa upya na watunga sera ya Elimu ili kuleta tija na kuongeza maarifa, uwajibikaji, maadili na utu kwa wahitimu kuliko kujikita kutafuta A's za masomo halafu tunazalisha Mashoga na Wasagaji ambao wana Div one na two kwenye vyeti vyao.
 
Kwa ujumla wake inaonekana Msonde ana nia njema ya kuboresha utendaji.

Sema nyie mnataka kuleta “resistance to changes”

Inawapasa ku-adapt changes badala ya hiyo resistance through complains mnazofanya.

Fanyeni kazi acheni excuses.
Mabadiliko gani na orientation course inafundishwa miezi 4?
 
Hapo mwanzo nilkuwa nikimwamini sana Msonde,ila baada ya seminar zako za CBC nikagundua unajitekenya afu unacheka mwenyewe!

Maarifa sahihi Kwa watoto wetu yatatolewa Kwa lugha yetu kiswahili,la sivyo CBC tunatwanga Maji kwenye kinu,CBC inafaa sana vyuoni.
 
Huyu mwamba Msonde mnamwanzishia nyuzi hapa naamini ndiye mtu sahihi kwa sasa.

Hatuwezi kwenda kama tulivyozoea(business as usual).
Lazima apatikane mtu kama huyu mwenye uwezo wa kuchukua maamuzi kubadilisha mambo.
Tayari tumeona ndio watu waliosaidia kuondoa vitabu vya hovyo huko mashuleni.

Ninaanza kuwa na wasiwasi huenda ninyi mmetumwa na watu wa upinde kuleta fitna za kipuuzi hapa.

Acheni madhaifu ya elimu yetu yafanyiwe kazi.Vinginevyo mje na mapendekezo ya nini kifanyike na si kupinga tu ili mpunguziwe kazi

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Duuh aiseh msonde anazid kuwadidimiza walimu na kuwatia tuu hasira, sasa walimu wakipanda hasira wanamalizia kwa watoto sasa hapo kuna kujenga kweli...!!??
#nchi Ngumu hii[emoji23][emoji23]


Kitu ambacho sio kizuri na kinaweza kuwatelea laana pasipo kujua mnashangaa Mbona mambo yenu yanakwama kumbe shauri ya hiyo tabia ya kumalizia hasira zenu kwa watoto wa watu ambao wako innocent.

Msifanye hivyo kama mnajipenda.
 
Hapo mwanzo nilkuwa nikimwamini sana Msonde,ila baada ya seminar zako za CBC nikagundua unajitekenya afu unacheka mwenyewe!

Maarifa sahihi Kwa watoto wetu yatatolewa Kwa lugha yetu kiswahili,la sivyo CBC tunatwanga Maji kwenye kinu,CBC inafaa sana vyuoni.
Unaishi zamani sana sasa

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Kama uko kwenye field hiyo unaweza elewa kuna vitu haviwezekani.
Mfano mwalimu wa Hisabati sekondari zetu za kata umwambie afaulishe somo hilo japo kwa 25%, kuwa asipofanya hivyo hautampandisha daraja, nadhani hapo unakuwa umetangaza rasmi kuwa hautaki kuwapandisha madaraja walimu wa somo husika.

Kuna shule za Serikali hiyo ya kufaulisha div i-iii kwa 80% + inawezekana, lakini huko kwingine pangu pakavu tia mchuzi walahi 50% ni utata kama ilivyo ngumu kwa Ngamia kupenya kwenye tundu la sindano.

Pia kama ni kweli kuwa kidato cha kwanza inatakiwa wapewe wiki zingine 8 za kusoma orientation course, hili nalo ni tatizo huko mbeleni maana mwalimu akijitahidi atafundisha nusu ya topic zinazotakiwa kusomwa mwaka huu kitu kitakacholeta balaa lingine kwenye mtihani wa upimaji wa kidato cha pili mwakani.

Suala la Elimu yetu linahitaji kuchakatwa upya na watunga sera ya Elimu ili kuleta tija na kuongeza maarifa, uwajibikaji, maadili na utu kwa wahitimu kuliko kujikita kutafuta A's za masomo halafu tunazalisha Mashoga na Wasagaji ambao wana Div one na two kwenye vyeti vyao.
Nilichogundua; hii ina sababishwa na umasikini tu.., hamna kingine. Umasikini mbaya sana
 
Kwa ufupi tu msonde tangu ufike Tamisemi umekuwa na Mambo mengi Sana ambayo mengine hayana ufanisi ebu yapunguze, kutokana na karenda kuanzia tarehe 31/03/2023 ni likizo Ila kutokana na maagizo yako ya ajaubu ajabu likizo imekuwa Kama kiini macho shule zinaendelea na kazi wanafunzi na walimu wanakiwa kuwepo shuleni eti KPI huu ujinga mmeutoa wapi Yani umeleta mambo mengi mpaka sasa uko mashuleni baada ya walimu kufundisha walimu wamekuwa bize na kuandaa documents tu maana unamini katika tarifa siyo ufundishaji hivi nani akwambia andalio la somo likiwepo mtoto ndio ataelewa Yani mmekalia uzamani zamani pasipo kuangalia dunia inataka nini

Na nyie watu wa vetting huwa mnakwama wapi mtu Kama alikuwa mwalimu shule ya msingi uko msimpe madaraka ya kusimamia vitu vikubwa hawa watu huwa wanaalibiwa na elimu yao ya cheti hata apate udokta bado atakuwa na mambo akili ile ile ya kidato Cha nne ndio haya msonde anayofanya Kama mnabisha subilieni natokea ya kidato Cha nne na darasa la saba na darasa la nne mwakani uyu msonde kaja na vitu vya hivyo hivyo katika elimu

Hivi mwalimu unasainishaje mkabata mpya eti wa kufaurisha wakati uyu mwalimu tayali ni mwajiriwa na anamkataba wa kudumu wa ajira yake na serikali Ila leo unageuza walimu watoto eti saini huu mkataba usipofaurisha upandi daraja huu si utoto Yani mkataba mama unasema hivi wewe inakuja na vitu vya ajabu ajabu ebu acheni huo utoto


Kama idara zenu zinapesa za kuzungukia mashule kukagua vitu vya ajabu ajabu nashauri hizo pesa endelezeni michezo
Uko wrong kabisa

Hutaki accountability

Kweli wanaoturudisha nyuma ni watu kama wewe
 
Msonde na waaogoza wizara husika wote ni wajinga, Tanzania kila kitu wanaifanyia siasa pasipo kujua sayansi haitaki siasa, kurudia orientation course ni ujinga wa kiwango cha lami

Viongozi wetu katika sekta ya Elimu asilimia 90 ni wajinga, kwanza hawajui hata wao kile wanachotakiwa kusimamia kwenye Elimu, kumsainisha Mwalimu mkataba wa kufaulisha nao ujinga

Nipo shule x yenye wanafunzi elfu 2 plus, kwenye somo langu tupo walimu wawili so naingia form four yenye wanafunzi mia 4 plus, then niingie tena form two yenye wanafunzi mia 6 plus

Shule ni ya kutwa, lakini tatizo lingine ni vitendea kazi, hata karatasi jamani ya wanafunzi kufanyia test tatizo, sekta ya Elimu kwa hapa Tanzania ilikufa zamani kama TTCL na ATCL

Safari za kwenda halmashauri haziishi, maagizo na vikao vya ovyo ovyo pamoja na vitisho vya kijinga kutoka kwao viongozi wetu saa ngapi nitafundisha?
 
🤣🤣🤣 Wanaliwa sana Hawa watu, alafu kisa Andalio .

Andalio waandae na tutafatilia ufundishaji pia!!.

Walizoea, wanaenda shulen kufundishaz bila Maandalio, wakifika ni stori tuuu


Sasa hapo wanataka Kujifanya eti, Muda mwingi watautumia kwenye kuandaa Maandalio alafu wasifundishe, Hawa washughulikiwe haswa.
We bwege,kinachoandikwa ndani ya andalio la Somo siyo kinachofuatwa😁😁,tukifuata andalio la Somo watoto wenu watafeli woteee,sisi Huwa tunatoka nje ya box Ili kulisaidia taifa,hakuna uhusiano wowote kati ya ufundishaji na Andalio la Somo ukiwa field,huwa tunabadirika kulingana na nature ya wanafunzi unaokutana nao.
 
Msonde na waaogoza wizara husika wote ni wajinga, Tanzania kila kitu wanaifanyia siasa pasipo kujua sayansi haitaki siasa, kurudia orientation course ni ujinga wa kiwango cha lami

Viongozi wetu katika sekta ya Elimu asilimia 90 ni wajinga, kwanza hawajui hata wao kile wanachotakiwa kusimamia kwenye Elimu, kumsainisha Mwalimu mkataba wa kufaulisha nao ujinga

Nipo shule x yenye wanafunzi elfu 2 plus, kwenye somo langu tupo walimu wawili so naingia form four yenye wanafunzi mia 4 plus, then niingie tena form two yenye wanafunzi mia 6 plus

Shule ni ya kutwa, lakini tatizo lingine ni vitendea kazi, hata karatasi jamani ya wanafunzi kufanyia test tatizo, sekta ya Elimu kwa hapa Tanzania ilikufa zamani kama TTCL na ATCL

Safari za kwenda halmashauri haziishi, maagizo na vikao vya ovyo ovyo pamoja na vitisho vya kijinga kutoka kwao viongozi wetu saa ngapi nitafundisha?
Kumbe na wewe ni mwalimu? Ondoka huko sio kuzuri
 
Uko wrong kabisa

Hutaki accountability

Kweli wanaoturudisha nyuma ni watu kama wewe
Yupo sahihi, wewe sio Mwalimu braza, hata msonde huyo anaelewa hili, ebu acheni ujinga kama nchi sekta ya Elimu inahitaji mabadiliko makubwa, hawa viongozi wetu hawajui chochote kwenye Elimu nyadhifa hizi za kina msonde wanapeana tu but kichwani hawana lolote

Nchi tunatakiwa tusimame na moja hasa medium of instructions in our schools both primary and secondary inatakiwa iwe moja, ili ninapo mpokea mwanafunzi from std vii hasiangaike jamani

Kufaulisha anavyotaka kamsonde huyo haiwezekani, labda hatuambie mwanaye anasoma kweli government school hapa au yeye ni miongoni mwa mchungaji asiyeamini kanisa lake?
 
Huyu mwamba Msonde mnamwanzishia nyuzi hapa naamini ndiye mtu sahihi kwa sasa.

Hatuwezi kwenda kama tulivyozoea(business as usual).
Lazima apatikane mtu kama huyu mwenye uwezo wa kuchukua maamuzi kubadilisha mambo.
Tayari tumeona ndio watu waliosaidia kuondoa vitabu vya hovyo huko mashuleni.

Ninaanza kuwa na wasiwasi huenda ninyi mmetumwa na watu wa upinde kuleta fitna za kipuuzi hapa.

Acheni madhaifu ya elimu yetu yafanyiwe kazi.Vinginevyo mje na mapendekezo ya nini kifanyike na si kupinga tu ili mpunguziwe kazi

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Hili la kusoma orientation course mwezi January hadi July nalo limetoka kwa watu wa upinde?
 
Back
Top Bottom