Msonde maagizo yako yanaipoteza elimu

Msonde maagizo yako yanaipoteza elimu

Huku ndo kukurupuka, uwa shida yenu ni akili samahani lakini if nimekukwaza, kwani tunashida na hizo ajira za mkataba? Mara ngapi tunaomba tuajiiriwe kimkataba? Tena hizi ajira za kufungana kwa welding haya anayataka nani?

Mm silalamiki nikuwa najaribu kutoa picha halisi na ugumu uliopo kutokana na sera na mawazo ya kijinga kwenye sekta ya Elimu kama hizo za msonde ok

Nahitaji niwe kwenye ajira ya mkataba ili nifanye mambo yangu vyema ok, mm siwezi lalamika ila viongozi wetu hawana akili kichwani full stop, mtu mzima msomi unafeli vipi kusaidia jamii??
Huwepo wa hayo makaratasi siyo shida,muulize effects zake kwenye ufundishaji ni zipi?

Kwa utitili wa vipindi alivyo navyo Mwl afundishe huku anachungulia lesson plan?

Fedha inayotumika kuandaa hayo makaratasi kwa nini isitumike kujenga mahabara?

Kwa nini isitumike kuandaa wataalamu wa mahabara?

Kwa nini isitumike km motivation kwa Walimu.
 
Hivi mwalimu unasainishaje mkabata mpya eti wa kufaurisha wakati uyu mwalimu tayali ni mwajiriwa na anamkataba wa kudumu wa ajira yake na serikali Ila leo unageuza walimu watoto eti saini huu mkataba usipofaurisha upandi daraja huu si utoto Yani mkataba mama unasema hivi wewe inakuja na vitu vya ajabu ajabu ebu acheni huo utoto
Huu ni ukichaa,
  1. Mwalimu atafaulishaje kama watoto hawapati lishe bora
  2. Wazazi hawatoi ushirikiano kwa walimu wanapowahitaji kujadili mienendo ya watoto wao
  3. Walimu wako frustrated huku mshahara mdogo, mara michango ya mwenge, madai yao hayafanyiwi kazi
  4. Hiyo mikatataba ndiyo huchangia wizi wa mitihani
  5. Walimu hawapati nafasi kutoa dukuduku na maoni yao namna bora ya kuboresha elimu
  6. Siku zote maamuzi ni top down, hakuna ushauri unapokelewa kutoka kwa walioko field
  7. Viongozi nendeni mashuleni mkaongee na walimu na wazazi badala ya kutumia taarifa za heads of schools
  8. Heads of schools wanawaficha baadhi ya taarifa ili kulinda nafasi zao
 
Binafsi naona Serikali ndiyo inalea ujinga na wajinga

Ni jukumu la Mzazi kuhakikisha mtoto wake anaingia Darasa la Kwanza akiwa anajua kusoma, Kuhesabu, Kuandika, kama hajui Shule isimchukue

Mtoto asiye na Elimu ni mzigo kwa wazazi wake

Serikali iwekeze kwa wanaotaka Kusoma



Serikali iache kuajiri walimu ambao walifeli Form Four
 
Mimi kitu kinachonishangaza ndio hicho. Tena unaambiwa div one mpaka three wafaulishe kwa 50% usipoweza upandi daraja, unaona Huu upuunzi kiongozi?....hivi kama huku Kijijini hakuna facilities zozote za kuwafanya hata walimu wawe motivated wataweza kwa hayo matamko?
Haya ndiyo mambo ilitakiwa Chama cha Walimu kiwe kinayashughulikia, unfortunately chama kimetekwa na politicians..
 
Hapo mwanzo nilkuwa nikimwamini sana Msonde,ila baada ya seminar zako za CBC nikagundua unajitekenya afu unacheka mwenyewe!

Maarifa sahihi Kwa watoto wetu yatatolewa Kwa lugha yetu kiswahili,la sivyo CBC tunatwanga Maji kwenye kinu,CBC inafaa sana vyuoni.
KPI anakwambia walimu wafundshe kwa kutumiaa CIRA...

MSONDE
 
Kama uko kwenye field hiyo unaweza elewa kuna vitu haviwezekani.
Mfano mwalimu wa Hisabati sekondari zetu za kata umwambie afaulishe somo hilo japo kwa 25%, kuwa asipofanya hivyo hautampandisha daraja, nadhani hapo unakuwa umetangaza rasmi kuwa hautaki kuwapandisha madaraja walimu wa somo husika.

Kuna shule za Serikali hiyo ya kufaulisha div i-iii kwa 80% + inawezekana, lakini huko kwingine pangu pakavu tia mchuzi walahi 50% ni utata kama ilivyo ngumu kwa Ngamia kupenya kwenye tundu la sindano.

Pia kama ni kweli kuwa kidato cha kwanza inatakiwa wapewe wiki zingine 8 za kusoma orientation course, hili nalo ni tatizo huko mbeleni maana mwalimu akijitahidi atafundisha nusu ya topic zinazotakiwa kusomwa mwaka huu kitu kitakacholeta balaa lingine kwenye mtihani wa upimaji wa kidato cha pili mwakani.

Suala la Elimu yetu linahitaji kuchakatwa upya na watunga sera ya Elimu ili kuleta tija na kuongeza maarifa, uwajibikaji, maadili na utu kwa wahitimu kuliko kujikita kutafuta A's za masomo halafu tunazalisha Mashoga na Wasagaji ambao wana Div one na two kwenye vyeti vyao.
Sasa mashoga na wasagaji wanaingia vipi hapaa?? Wee mwalimu umevurugwaaaa???

Km ndo hivi acha Msonde awakazie tyuuh.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Msonde na waaogoza wizara husika wote ni wajinga, Tanzania kila kitu wanaifanyia siasa pasipo kujua sayansi haitaki siasa, kurudia orientation course ni ujinga wa kiwango cha lami

Viongozi wetu katika sekta ya Elimu asilimia 90 ni wajinga, kwanza hawajui hata wao kile wanachotakiwa kusimamia kwenye Elimu, kumsainisha Mwalimu mkataba wa kufaulisha nao ujinga

Nipo shule x yenye wanafunzi elfu 2 plus, kwenye somo langu tupo walimu wawili so naingia form four yenye wanafunzi mia 4 plus, then niingie tena form two yenye wanafunzi mia 6 plus

Shule ni ya kutwa, lakini tatizo lingine ni vitendea kazi, hata karatasi jamani ya wanafunzi kufanyia test tatizo, sekta ya Elimu kwa hapa Tanzania ilikufa zamani kama TTCL na ATCL

Safari za kwenda halmashauri haziishi, maagizo na vikao vya ovyo ovyo pamoja na vitisho vya kijinga kutoka kwao viongozi wetu saa ngapi nitafundisha?
Duuuh poleee Madame.
 
Huu ni ukichaa,
  1. Mwalimu atafaulishaje kama watoto hawapati lishe bora
  2. Wazazi hawatoi ushirikiano kwa walimu wanapowahitaji kujadili mienendo ya watoto wao
  3. Walimu wako frustrated huku mshahara mdogo, mara michango ya mwenge, madai yao hayafanyiwi kazi
  4. Hiyo mikatataba ndiyo huchangia wizi wa mitihani
  5. Walimu hawapati nafasi kutoa dukuduku na maoni yao namna bora ya kuboresha elimu
  6. Siku zote maamuzi ni top down, hakuna ushauri unapokelewa kutoka kwa walioko field
  7. Viongozi nendeni mashuleni mkaongee na walimu na wazazi badala ya kutumia taarifa za heads of schools
  8. Heads of schools wanawaficha baadhi ya taarifa ili kulinda nafasi zao
Wakuu wa shule umekosea uliposahau kuwaweka CWT (watafuta umaarufu wa kisiasa).
 
Binafsi naona Serikali ndiyo inalea ujinga na wajinga

Ni jukumu la Mzazi kuhakikisha mtoto wake anaingia Darasa la Kwanza akiwa anajua kusoma, Kuhesabu, Kuandika, kama hajui Shule isimchukue

Mtoto asiye na Elimu ni mzigo kwa wazazi wake

Serikali iwekeze kwa wanaotaka Kusoma



Serikali iache kuajiri walimu ambao walifeli Form Four
Kumbe wapo walimu waliofeli?

Au ndo wale inasemekana wanachukua masomo yooote isipokuwa hisabati,English na sayansi?
 
Tatizo wanataka mgeuza mwalimu awe mungu Yani hata mtoto mwenye uelewa mdogo awe na uelewa mkubwa Yani mtoto wanapasisha kimagumashi uko akifika sekondari wanataka apate arama B somo la hesabu wakati ufauru wake uelewa wake magumashi
Wanakwambia hakuna mtoto asie fundishika,wanasahau kwamba watoto wanatofautiana vipawa,wengine wanafaa kwa mambo mengine sio lazima akomae na masomo hayo

Sent from my CPH2121 using JamiiForums mobile app
 
Baraza liko SMART?
Yaani baraza kufaulisha wanafunzi ndo kuwa smart? Kuwaambia wasahihishaji (mpatie alalama,unasoma nini wakati alama siyo zako ni za baraza?) Umezingua sana mkuu.
Hakuna mahali nmesema liko smart.
Ila nmekwambia limepata mabadiriko makubwa baada ya kuingia Msonde.

Hayo uliyoyasema sidhani kama unaufahamu nayo vizuri,namini unaongea nje ya utaalamu,ungekua na utaalamu nayo usingesema kama ni udhaifu.

Sent from my CPH2121 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom