Msonde maagizo yako yanaipoteza elimu

Msonde maagizo yako yanaipoteza elimu

Mi ni mmoja kati ya watu ambao wanaunga mkono COMPETENCE BASED EDUCATION 100% ndio tunayoihitaji lakini kiukweli hiyo hatuwezi kukurupuka bila kujiandaa hasa katika mazingira ya utoaji wa elimu kiujumla
1.Walimu wa hiyo kitu waandaliwe na waliopo wanolewe kisawasawa (wengi wa sasa ni CONTENT BASED)
2.Madarasa vitabu na miundombinu yote ya shule iwe katika standard ya hali ya juu pamoja na upatikanaji wake.
3. Mitaala iboreshwe zaidi. Ni lazima tuweke vipaumbele kama nchi tuwe na dira yetu, utoaji wa elimu uendane na falsafa za nchi yetu na mahitaji ya falsafa hiyo.
4. Jamii ilazimishwe kupeleka watoto shule utake usitake, haya mambo ya kuelimishwa yamepitwa na wakati.
5. Muhimu kabisa, maslahi ya walimu ambao ndio watendaji wakuu wa shughuli hii yaboreshwe ifikie hatua kila mtu atamani kuwa mwalimu 😂😂😂😂
Umenena vyema mkuu,aione Msonde na wenzie.
 
Yeye naye ni sampuli za akina msonde humu jamvini, hakuna anachoelewa kwenye sekta ya Elimu lakini kanajifanya kama vile ni muelewa

Mm ni Mwl sifichi kitu na naipenda kazi yangu, na mm ni kijana, nimeishi quarters za walimu nchi hii tangu nikiwa mtoto mdogo up to now nafanya kazi ya ualimu

Kuna changamoto nyingi zinaikumba sekta hii na hipo siku nitayaleta kwenu hapa tuyajadili, lengo nikusaidia serikali yetu na nchi kwa ujumla, kumbuka hakuna maendeleo bila Elimu bora
Uko vizuri sana mwalimu,usisite kuleta mijadala inayohusu elimu yetu humu, lete tujadili Kwa mapana yake na nini kifanyike,usisahau kunitag.

Taifa la wapumbavu huwadharau Walimu.
 
Ivi mama si alisema huwa anapita humu jf? Umeandika bonge la nyuzi mzee.
Kiongozi walimu na maboss wao sasa wapo bize kujaza manyaraka tu Yani nyaraka kibao Sasa sijui ni supporter documents za kuombea mikopo kwa mabeberu, maana ukweli unajulikana walimu hawajitumi maslahi madogo Sasa wao wanachukua grants Kisha wanataka waminisha wazungu hizo grants zimeongeza ufauru
Sijaelewa bado lengo haswa la msonde ni nini, maana ni kama anavuruga badala ya kujenga. Kuna na hiyo MEWAKA yaani ni full mvurugano.
😂😂😂😂 Arafu sijui ana shida gani na walimu wa sekondari mda huu wanamwambia mwalimu ni mwalimu tu afisa elimu sekondari na msingi mfanye kazi pamoja hapo Sasa ndio mtifuano afisa taluma msingi anapenda mkagua mwalimu wa sekondari wa sekondari anapenda msingi Yani uko full mtifuano maana wa sekondari vya msingi vinamchanganya na wa msingi naye vya sekondari vinamchanganya
 
Mwalimu, uandishi gani huu?

Wengine humu wanaandika bila kuzingatia herufi kubwa, koma,kituo kikuu,kufungua sentensi n.k. Mfano subiri anaandika subili. Walimu wenzangu mnakwama wapi kiuandishi? Andikeni vizuri basi tuwaelewe. Halafu mjue kuwa kila "transformation" yoyote inapotokea sehemu yoyote ya kazi wengi wetu huwa hatupendi kwa sababu ya kufanya kazi kimazoea miaka nenda rudi.
Boss kwani insha hii
 
lugha ya kufundishia sasa iwe ni moja na ni kingereza kuanzia awali kwani ndio 4WD ya kutoa kwenye hili tope
 
Mimi kitu kinachonishangaza ndio hicho. Tena unaambiwa div one mpaka three wafaulishe kwa 50% usipoweza upandi daraja, unaona Huu upuunzi kiongozi?....hivi kama huku Kijijini hakuna facilities zozote za kuwafanya hata walimu wawe motivated wataweza kwa hayo matamko?
Tufanyeje mkuu?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Si tu hivyo,eti Mwl yuko darasani awe anachungulia kwenye lesson plan ili ajue ni tendo gani lifuate?

Mpwayungu!
Hivi ukifuata muongozo unavyosema mada ya wave pale kidato cha 4 ulitakiwa huifundishe miezi mingapi vile?
Vp Electromagnetism?
Uliza walimu wenzako
 
Uliza walimu wenzako
Nimekuuliza wewe uliyewahi kufundisha huko Lindi maana mmekuwa na tabia ya kuhisi kila anayechangia maoni yake kuhusu elimu basi ni Mwl,iko hivyo hata kwenye masuala yahusuyo siasa pia utaitwa mwana siasa.
Tunakosea sana na ni ULEMAVU WA KUFIKIRIA kuwa na fikira za namna hii.
 
Wewe,
Kuwaamrisha wasahihishaji wawape alama wanafunzi hata kama wamekosa ilimradi tu ufaulu uongezeke kwa 100+% ni utaalamu?

Acheni kutuharibia elimu,mitihani ipo ili kuchuja na siyo kuongeza ufaulu.

Kuna mpwa wangu hata kupima kwa kutumia rula hajui anaanzia wapi kati ya 0 na 1cm,lkn alifaulu geography kwa kiwango cha daraja B, nikamuuliza mmoja wa walimu wake ilipotokea hiyo miujiza,maelezo yake yalikuwa hivi;

1 Ni lazima ufaulu uwe 100% ,ni lazima wasimamizi na walimu ktk shule husika walihakikishe hilo.

Wakifanikiwa kufaulisha bila kukamatwa,ni la kitaifa.
Wakikamatwa,ni la aliyekamatwa.
Na hayo ni maagizo kutoka kwa DEO na hata REO.
Je,baraza halihusiki hapa?

2 Namba 1 isipo fanya kazi,basi baraza watatekeleza hilo wakati wa usahihishaji ndipo hizo kauli za ''alama siyo zako,ni za baraza hivyo achana na habari za kusoma wewe mpatie'' je,hao wanaotoa hizo kauli huwa ni watalii ndani panels za usahihishaji na siyo baraza?

Tumuungeni mkono Adolf Mkende kwenye marekebisho anayo pendekeza na pengine tuongeze mema mengine.


Hakuna mahali nmesema liko smart.
Ila nmekwambia limepata mabadiriko makubwa baada ya kuingia Msonde.

Hayo uliyoyasema sidhani kama unaufahamu nayo vizuri,namini unaongea nje ya utaalamu,ungekua na utaalamu nayo usingesema kama ni udhaifu.

Sent from my CPH2121 using JamiiForums mobile app
 
Kwa ufupi tu msonde tangu ufike Tamisemi umekuwa na Mambo mengi Sana ambayo mengine hayana ufanisi ebu yapunguze, kutokana na karenda kuanzia tarehe 31/03/2023 ni likizo Ila kutokana na maagizo yako ya ajaubu ajabu likizo imekuwa Kama kiini macho shule zinaendelea na kazi wanafunzi na walimu wanakiwa kuwepo shuleni eti KPI huu ujinga mmeutoa wapi Yani umeleta mambo mengi mpaka sasa uko mashuleni baada ya walimu kufundisha walimu wamekuwa bize na kuandaa documents tu maana unamini katika tarifa siyo ufundishaji hivi nani akwambia andalio la somo likiwepo mtoto ndio ataelewa Yani mmekalia uzamani zamani pasipo kuangalia dunia inataka nini

Na nyie watu wa vetting huwa mnakwama wapi mtu Kama alikuwa mwalimu shule ya msingi uko msimpe madaraka ya kusimamia vitu vikubwa hawa watu huwa wanaalibiwa na elimu yao ya cheti hata apate udokta bado atakuwa na mambo akili ile ile ya kidato Cha nne ndio haya msonde anayofanya Kama mnabisha subilieni natokea ya kidato Cha nne na darasa la saba na darasa la nne mwakani uyu msonde kaja na vitu vya hivyo hivyo katika elimu

Hivi mwalimu unasainishaje mkabata mpya eti wa kufaurisha wakati uyu mwalimu tayali ni mwajiriwa na anamkataba wa kudumu wa ajira yake na serikali Ila leo unageuza walimu watoto eti saini huu mkataba usipofaurisha upandi daraja huu si utoto Yani mkataba mama unasema hivi wewe inakuja na vitu vya ajabu ajabu ebu acheni huo utoto


Kama idara zenu zinapesa za kuzungukia mashule kukagua vitu vya ajabu ajabu nashauri hizo pesa endelezeni michezo
INAWEZEKANA KUNA KITU UNATAKA KIWE SAWA ILA UMESHINDWA KUKUWASILISHA UMEISHIA KUTEMA POVU
 
Mimi kitu kinachonishangaza ndio hicho. Tena unaambiwa div one mpaka three wafaulishe kwa 50% usipoweza upandi daraja, unaona Huu upuunzi kiongozi?....hivi kama huku Kijijini hakuna facilities zozote za kuwafanya hata walimu wawe motivated wataweza kwa hayo matamko?
Hebu tuanze kueleweshana, hawa waalimu wanaofundisha private school adi zinashika nafasi ya juu walisoma wapi
 
Wewe,
Kuwaamrisha wasahihishaji wawape alama wanafunzi hata kama wamekosa ilimradi tu ufaulu uongezeke kwa 100+% ni utaalamu?

Acheni kutuharibia elimu,mitihani ipo ili kuchuja na siyo kuongeza ufaulu.

Kuna mpwa wangu hata kupima kwa kutumia rula hajui anaanzia wapi kati ya 0 na 1cm,lkn alifaulu geography kwa kiwango cha daraja B, nikamuuliza mmoja wa walimu wake ilipotokea hiyo miujiza,maelezo yake yalikuwa hivi;

1 Ni lazima ufaulu uwe 100% ,ni lazima wasimamizi na walimu ktk shule husika walihakikishe hilo.

Wakifanikiwa kufaulisha bila kukamatwa,ni la kitaifa.
Wakikamatwa,ni la aliyekamatwa.
Na hayo ni maagizo kutoka kwa DEO na hata REO.
Je,baraza halihusiki hapa?

2 Namba 1 isipo fanya kazi,basi baraza watatekeleza hilo wakati wa usahihishaji ndipo hizo kauli za ''alama siyo zako,ni za baraza hivyo achana na habari za kusoma wewe mpatie'' je,hao wanaotoa hizo kauli huwa ni watalii ndani panels za usahihishaji na siyo baraza?

Tumuungeni mkono Adolf Mkende kwenye marekebisho anayo pendekeza na pengine tuongeze mema mengine.
Laiti ungejua hao baraza wanavyopambana na hao wezi usingesema ivo. Fuatilia ishu ya Thaqaafa na ile ya Serengeti kisha useme kama baraza linahusika na wizi au
 
Laiti ungejua hao baraza wanavyopambana na hao wezi usingesema ivo. Fuatilia ishu ya Thaqaafa na ile ya Serengeti kisha useme kama baraza linahusika na wizi au
Weweeee,hivyo ni viini macho na zaidi utaona shule za binafsi mara nyingi ndo ukamatwa.
Za serikali ni mara chache sana.

Hivi Afisa elimu Mkoa REO, Afisa elimu Wilaya DEO kipindi cha mitihani si nao huwa kwenye kamati za Baraza?
Sasa yale maagizo ya ufaulu wa 100% kwa wasimamizi na wakuu wa shule huwa yanalenga nini?
Ukweli ni kwamba msimamizi wa mtihani,mkuu wa shule maagizo ya kuwezesha ufaulu wa 100% wanapewa ila wazingatie mambo mawili;
1. Wakifanikisha bila kukamatwa ni jambo la kitaifa.

2. Wakiwezesha ila wakakamatwa hapo linamhusu aliye kamatwa.


Lkn wakati wa kusahihisha mitihani hii,baraza ni wawezeshaji wakuu.

2021 English km siyo Literature form 4 ili sahihishiwa Mkoani Mbeya,ufaulu ulikuwa wa chini mno ila baraza wakawahimiza wasahihishaji wafanye namna mambo yawe angalau.

2022 Civics imesahihishiwa Visiwani Zanzibar,mambo hayakuwa mazuri hasa kwa shule za Mkoani Mtwara,hapa ndipo kauli za usisomesome alama siyo zako,ni za baraza mpatie mtoto alama zikawa zinatoka.

Walimu hawapendi haya maagizo na maigizo ndio maana wanasema baada ya zoezi kukamilika.

Inaeleweka shule hazina Walimu,miundombinu km nyumba za Walimu hakuna,dharahu mnazo waonesha Walimu,Uhamisho sasa hapo bora kunyamaza tu.

Kule shule za Msingi hakuna Walimu wa hisabati na inajulikana lkn mkaziba mashimo ya panya kwa kutumia mkate (hisabati ni kuchagua majibu) lkn Walimu wanajitahidi kiukweli kuhakikisha wanatekeleza mnachotaka na wanafaulisha sana.
HONGERENI KWA KUONGEZA UFAULU KILA MWAKA WAKATI SHULE HAZINA WALIMU HUKU IDADI YA WANAFUNZI IKIONGEZEKA KILA MWAKA.
 
Hebu tuanze kueleweshana, hawa waalimu wanaofundisha private school adi zinashika nafasi ya juu walisoma wapi
Mbona issue hiko wazi mkuu, private wanafanya michujo kwa wanafunzi hawachukui watoto wenye uwezo wa chini. St Amedeus ya Moshi walioandikishwa kufanya mitihani ni 55 zaidi ya wanafunzi 60 wamewatawanya kwenda kwenye Shule zingine za kanisa, kwanini wasipate cream?...maslahi ya walimu ni makubwa huko private, Sasa Niko mtwara huku sekondari napokea mwanafunzi asiyejua kusoma na Kuandika ilo ni kosa la nani?...wanafunzi wanaokuja woote primary Wamepata C hakuna aliyepata B...nadhani umeanza kupata Mwanga.
 
Mbona issue hiko wazi mkuu, private wanafanya michujo kwa wanafunzi hawachukui watoto wenye uwezo wa chini. St Amedeus ya Moshi walioandikishwa kufanya mitihani ni 55 zaidi ya wanafunzi 60 wamewatawanya kwenda kwenye Shule zingine za kanisa, kwanini wasipate cream?...maslahi ya walimu ni makubwa huko private, Sasa Niko mtwara huku sekondari napokea mwanafunzi asiyejua kusoma na Kuandika ilo ni kosa la nani?...wanafunzi wanaokuja woote primary Wamepata C hakuna aliyepata B...nadhani umeanza kupata Mwanga.
Unaongelea wa sekondari na hawa wa primary ambao hawachujwi kutokea popote. Huoni kama walimu wa shule serikali kuna ulaini flan wanachukulia bora liende.
 
Msonde mtamuonea bure tu, kuna ngosi moja imepanda cheo mwaka jana inaitwa Kayombo ndiyo chanzo cha hayo yote.
Umeongea point ila nikakuona fala hapo ulipokandia walimu wa cheti
Nakubaliana na wewe kwa 100% mleta mada uwenda anachuki binafsi na msode tatizo ni huyo kayombo mbaya zaidi msonde anaonekana kumuamini.
 
Mbona issue hiko wazi mkuu, private wanafanya michujo kwa wanafunzi hawachukui watoto wenye uwezo wa chini. St Amedeus ya Moshi walioandikishwa kufanya mitihani ni 55 zaidi ya wanafunzi 60 wamewatawanya kwenda kwenye Shule zingine za kanisa, kwanini wasipate cream?...maslahi ya walimu ni makubwa huko private, Sasa Niko mtwara huku sekondari napokea mwanafunzi asiyejua kusoma na Kuandika ilo ni kosa la nani?...wanafunzi wanaokuja woote primary Wamepata C hakuna aliyepata B...nadhani umeanza kupata Mwanga.
Km haja kuelewa ni vyema akasogea psle Milembe.
 
Back
Top Bottom