Msonde maagizo yako yanaipoteza elimu

Tatizo wanataka mgeuza mwalimu awe mungu Yani hata mtoto mwenye uelewa mdogo awe na uelewa mkubwa Yani mtoto wanapasisha kimagumashi uko akifika sekondari wanataka apate arama B somo la hesabu wakati ufauru wake uelewa wake magumashi
 
Nchi hii kadiri watu wanavyoelimika ndiyo wanazidi kuwa wajinga.
 
Huyu aliletaa mfumo wa kusahihisha mitihani kwa Computer wachaa tusubiri. Yaan kuna mambo ya hovyo hovyo sana kila siku mifumo mifumo
 
Unaitwa mkataba mdogo ndani ya mkataba mkubwa,kwamba mkataba ndani mkataba😂

Taifa Lina mambo ya hovyo hili
 
Huyu aliletaa mfumo wa kusahihisha mitihani kwa Computer wachaa tusubiri. Yaan kuna mambo ya hovyo hovyo sana kila siku mifumo mifumo
Wanasiasa ilibidi watenganishwe na wanataaluma,,Kuchanganya siasa na taaluma Kuna athari kubwa Sana ,,,

Mkuu wa wilaya na mambo ya Taaluma wap na wap
 
Huyu aliletaa mfumo wa kusahihisha mitihani kwa Computer wachaa tusubiri. Yaan kuna mambo ya hovyo hovyo sana kila siku mifumo mifumo
Yani jamaa anakaa anawaza linalomuiijia anawasilisha wakihoji Unasikia wasomi wamekaa wameona Sasa wasomi hawawezi kosea nchi ya kijinga Sana hii
 
Unaitwa mkataba mdogo ndani ya mkataba mkubwa,kwamba mkataba ndani mkataba😂

Taifa Lina mambo ya hovyo hili
Wakitaka matokeo mazuri watoe motivation waone siyo wawatishe tishe kwa vitu vya hivyo ovyo ajabu walimu wapo kimya wanasubilia wadau wa wa elimu wawasemee
 
Ila mbona malengo ya chini hivyo? Mi nilidhani labda div. 1 - 4 wawe walau 99%?!
 
Wakitaka matokeo mazuri watoe motivation waone siyo wawatishe tishe kwa vitu vya hivyo ovyo ajabu walimu wapo kimya wanasubilia wadau wa wa elimu wawasemee
Mwalimu, uandishi gani huu?

Wengine humu wanaandika bila kuzingatia herufi kubwa, koma,kituo kikuu,kufungua sentensi n.k. Mfano subiri anaandika subili. Walimu wenzangu mnakwama wapi kiuandishi? Andikeni vizuri basi tuwaelewe. Halafu mjue kuwa kila "transformation" yoyote inapotokea sehemu yoyote ya kazi wengi wetu huwa hatupendi kwa sababu ya kufanya kazi kimazoea miaka nenda rudi.
 
Scheme of work, lesson plans,log book.
Sijui hizi nyalaka kazi yake ni nini yaani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…