Skid Row Boy
JF-Expert Member
- Mar 15, 2023
- 290
- 401
Ni chuki zake kwa Msonde na Kayombo. Kabla ya Kayombo alikuwepo nani (nimedokezwa alikuwa some body ...... Sumbuye). Alikuwa mzuri?Nakubaliana na wewe kwa 100% mleta mada uwenda anachuki binafsi na msode tatizo ni huyo kayombo mbaya zaidi msonde anaonekana kumuamini.
alikuwa anapika data , umesahau kipindi kile hata nchi iliitwa ya uchumi wa kati . aisee tumepitia magumu mengi sana kwa kweli, walimu wanaonewa sana katika mambo mengi.Msonde, akiwa baraza la mitihani Mkoa wa Geita ulikuwa unaongoza kwa matokeo ya darasa la saba na F4, enzi za JPM
Nchi hii jamani 🤣🤣🤣🤣🤣 eti uchumi wa kati!alikuwa anapika data , umesahau kipindi kile hata nchi iliitwa ya uchumi wa kati . aisee tumepitia magumu mengi sana kwa kweli, walimu wanaonewa sana katika mambo mengi.
Hakuna elimu bora kama maslahi ya MWALIMU ni duniHuyu mwamba Msonde mnamwanzishia nyuzi hapa naamini ndiye mtu sahihi kwa sasa.
Hatuwezi kwenda kama tulivyozoea(business as usual).
Lazima apatikane mtu kama huyu mwenye uwezo wa kuchukua maamuzi kubadilisha mambo.
Tayari tumeona ndio watu waliosaidia kuondoa vitabu vya hovyo huko mashuleni.
Ninaanza kuwa na wasiwasi huenda ninyi mmetumwa na watu wa upinde kuleta fitna za kipuuzi hapa.
Acheni madhaifu ya elimu yetu yafanyiwe kazi.Vinginevyo mje na mapendekezo ya nini kifanyike na si kupinga tu ili mpunguziwe kazi
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Mwanafnz anakuja hâta mlo WA ucku ulikuwa WA kususa sua,Hana daftar Hana kalamu,Ana njaa ukimfundsha ataelewaje?Unaongelea wa sekondari na hawa wa primary ambao hawachujwi kutokea popote. Huoni kama walimu wa shule serikali kuna ulaini flan wanachukulia bora liende.
Mwaka huu wajifunze kusoma, kuandika,kusikiliza na kuongea kiingereza, mwakani waanze masomo ya kidato Cha kwanza!!Serikali inatengeneza tatizo la miaka ijayo
Kama mwanafunzi hajui kusoma asiendelee na darasa, ajifunze kusoma kwanza
Mada za kula tunda kimasiharaMada za elimu hazina wachangiaji! Kuna mada hapa zina pendwa siyo hii.
Hawaoni watakuwa wameharibu mfumo mzima?Mwaka huu wajifunze kusoma, kuandika,kusikiliza na kuongea kiingereza, mwakani waanze masomo ya kidato Cha kwanza!!
Aliye standardize na mwenye matokeo ni nani mhalifu?Kwani huwezi kuongea kama msomi mbn unabweka2 tu Sasa elimu ya cheti inahusiana Nini , watu wenyewe ndo mliopata digrii baada ya matokeo yenu my standize Yale ya form four, nenda kakalie ww kiti kile tuone utumbo wako!
Hapo ulipotoa angalizo la kusubiri matokeo ya la 4, 7 na kidato Cha 4 unajidanganya tu,nyanga zitapigwa ili ionekane Mzee Msonde ana tija!Kwa ufupi tu msonde tangu ufike Tamisemi umekuwa na Mambo mengi Sana ambayo mengine hayana ufanisi ebu yapunguze, kutokana na karenda kuanzia tarehe 31/03/2023 ni likizo Ila kutokana na maagizo yako ya ajaubu ajabu likizo imekuwa Kama kiini macho shule zinaendelea na kazi wanafunzi na walimu wanakiwa kuwepo shuleni eti KPI huu ujinga mmeutoa wapi Yani umeleta mambo mengi mpaka sasa uko mashuleni baada ya walimu kufundisha walimu wamekuwa bize na kuandaa documents tu maana unamini katika tarifa siyo ufundishaji hivi nani akwambia andalio la somo likiwepo mtoto ndio ataelewa Yani mmekalia uzamani zamani pasipo kuangalia dunia inataka nini
Na nyie watu wa vetting huwa mnakwama wapi mtu Kama alikuwa mwalimu shule ya msingi uko msimpe madaraka ya kusimamia vitu vikubwa hawa watu huwa wanaalibiwa na elimu yao ya cheti hata apate udokta bado atakuwa na mambo akili ile ile ya kidato Cha nne ndio haya msonde anayofanya Kama mnabisha subilieni natokea ya kidato Cha nne na darasa la saba na darasa la nne mwakani uyu msonde kaja na vitu vya hivyo hivyo katika elimu
Hivi mwalimu unasainishaje mkabata mpya eti wa kufaurisha wakati uyu mwalimu tayali ni mwajiriwa na anamkataba wa kudumu wa ajira yake na serikali Ila leo unageuza walimu watoto eti saini huu mkataba usipofaurisha upandi daraja huu si utoto Yani mkataba mama unasema hivi wewe inakuja na vitu vya ajabu ajabu ebu acheni huo utoto
Kama idara zenu zinapesa za kuzungukia mashule kukagua vitu vya ajabu ajabu nashauri hizo pesa endelezeni michezo
Mkuu wewe ndo msonde au!? Acha unaa utakufa nakuiacha Tanzania na hizo ofisi unazojivunia,tembea taratibuNyalaka ndio kitu gani? Walimu huu uzi unawaumbueni na kuwadhalilisheni.
Ndio maana mnadharaulika kwasababu nyie wenyewe hamjielewi na pia hamjui hata kuandika
Mwalimu wa part-time vipi?Sio tu kufukuzwa kazi ila ningekuwa nipo jera maana ningepiga jiwe kichwa cha mkuu wa shule