Msonde maagizo yako yanaipoteza elimu

Msonde maagizo yako yanaipoteza elimu

Kwa ufupi tu msonde tangu ufike Tamisemi umekuwa na Mambo mengi Sana ambayo mengine hayana ufanisi ebu yapunguze, kutokana na karenda kuanzia tarehe 31/03/2023 ni likizo Ila kutokana na maagizo yako ya ajaubu ajabu likizo imekuwa Kama kiini macho shule zinaendelea na kazi wanafunzi na walimu wanakiwa kuwepo shuleni eti KPI huu ujinga mmeutoa wapi Yani umeleta mambo mengi mpaka sasa uko mashuleni baada ya walimu kufundisha walimu wamekuwa bize na kuandaa documents tu maana unamini katika tarifa siyo ufundishaji hivi nani akwambia andalio la somo likiwepo mtoto ndio ataelewa Yani mmekalia uzamani zamani pasipo kuangalia dunia inataka nini

Na nyie watu wa vetting huwa mnakwama wapi mtu Kama alikuwa mwalimu shule ya msingi uko msimpe madaraka ya kusimamia vitu vikubwa hawa watu huwa wanaalibiwa na elimu yao ya cheti hata apate udokta bado atakuwa na mambo akili ile ile ya kidato Cha nne ndio haya msonde anayofanya Kama mnabisha subilieni natokea ya kidato Cha nne na darasa la saba na darasa la nne mwakani uyu msonde kaja na vitu vya hivyo hivyo katika elimu

Hivi mwalimu unasainishaje mkabata mpya eti wa kufaurisha wakati uyu mwalimu tayali ni mwajiriwa na anamkataba wa kudumu wa ajira yake na serikali Ila leo unageuza walimu watoto eti saini huu mkataba usipofaurisha upandi daraja huu si utoto Yani mkataba mama unasema hivi wewe inakuja na vitu vya ajabu ajabu ebu acheni huo utoto


Kama idara zenu zinapesa za kuzungukia mashule kukagua vitu vya ajabu ajabu nashauri hizo pesa endelezeni michezo
Acha makelele mengi yasiyo na msingi.Performance agreement ni muhimu na inafanywa Kwa Watumishi wote.

Lengo ni kuwajua wavivu,wenye midomo na wasio na matokeo kama wewe mtoa mada.
 
Ushauri wangu kwa hao mabosi wa elimu sijui ndo wadhibiti ubora msiishie kukagua maandalio na lesson notes pekee mpange na muda wa kuwasiliana na Wanafunzi kwani kuna mengi huko kuwahusu hao washika chaki wao na dropouts.
 
Binafsi nishaliongelea sana huyu jamaa hakuja kujenga bali kubomoa
Who cares?
Stahiki za MTEULE Dr
1. V8 na dereva,
2. Free airtime (monthly),
3. Per diems,
4. Responsibility allowance,
5. Up keep allowance,
6. Sitting allowance,
7.outfit allowance,
8. Housing allowance.
 
Kwa ufupi tu msonde tangu ufike Tamisemi umekuwa na Mambo mengi Sana ambayo mengine hayana ufanisi ebu yapunguze, kutokana na karenda kuanzia tarehe 31/03/2023 ni likizo Ila kutokana na maagizo yako ya ajaubu ajabu likizo imekuwa Kama kiini macho shule zinaendelea na kazi wanafunzi na walimu wanakiwa kuwepo shuleni eti KPI huu ujinga mmeutoa wapi Yani umeleta mambo mengi mpaka sasa uko mashuleni baada ya walimu kufundisha walimu wamekuwa bize na kuandaa documents tu maana unamini katika tarifa siyo ufundishaji hivi nani akwambia andalio la somo likiwepo mtoto ndio ataelewa Yani mmekalia uzamani zamani pasipo kuangalia dunia inataka nini

Na nyie watu wa vetting huwa mnakwama wapi mtu Kama alikuwa mwalimu shule ya msingi uko msimpe madaraka ya kusimamia vitu vikubwa hawa watu huwa wanaalibiwa na elimu yao ya cheti hata apate udokta bado atakuwa na mambo akili ile ile ya kidato Cha nne ndio haya msonde anayofanya Kama mnabisha subilieni natokea ya kidato Cha nne na darasa la saba na darasa la nne mwakani uyu msonde kaja na vitu vya hivyo hivyo katika elimu

Hivi mwalimu unasainishaje mkabata mpya eti wa kufaurisha wakati uyu mwalimu tayali ni mwajiriwa na anamkataba wa kudumu wa ajira yake na serikali Ila leo unageuza walimu watoto eti saini huu mkataba usipofaurisha upandi daraja huu si utoto Yani mkataba mama unasema hivi wewe inakuja na vitu vya ajabu ajabu ebu acheni huo utoto


Kama idara zenu zinapesa za kuzungukia mashule kukagua vitu vya ajabu ajabu nashauri hizo pesa endelezeni michezo
Elimu tanzania haieleweki ,viongozi wa wa juu wa elimu pia hawaelewi elimu tanzania inataka nini,

watoto wanaambiwa wafundishwe kwa kingereza mwanzo hadi mwisho hahahaa matokeo yake mtoto anarudi nyumbani jioni kama alivyo kuja asubuhi , watu wana theories za vichwani halafu wanaamini yatafanikiwa kwenye practical ni bange hizi.

Wanasahau huyu mtoto kasoma kishwahili kitupu miaka 9 halafu leo kafika tu sekondari anakutana na kingereza kitupu eti wanaamini mtoto atakuwa na hamasa ya kutafuta na kujifunza kingereza ili aelewe kumbe mambo ni tofauti na matarajio yao kabisaaa

mtoto huyu huyu aliye enda sekondari hata kuandika na kusoma vizuri kwa ufasaha kiswahili hicho hicho hajui kutokana na athari za lugha mama eti leo awe na hamasa ya kutafuta msamiati wa kingereza alio usikia kwa mwalimu wakati anafundishwa kwa kingerez kitupu?
 
Ushauri wangu kwa hao mabosi wa elimu sijui ndo wadhibiti ubora msiishie kukagua maandalio na lesson notes pekee mpange na muda wa kuwasiliana na Wanafunzi kwani kuna mengi huko kuwahusu hao washika chaki wao na dropouts.
Hilo linafanyika mbona?
 
Twende mbele turudi nyums.

Msonde ni mtu kazi na ni mtu wa mabadiriko,nazani wote tumeona alichokifanya baraza,baraza lina oparate kama jeshi kiyfupi lipo smart.

Sasa huko tamisemi anataka mambo ya kale yaishe,japo kuna vitu hajazingatia ila sekta ya elimu na mifumo lazima ibadirike tuache kulia lia.

Sasa hapo mnaongelea likizo,likizo watumish ipo ya siku 28 kwa mwaka,likizo zingine ni za wanafunzi,kama kuna kazi za kufanyika mashulen bila wanafunzi kuwepo zifanyike,hiyo mifumo ishughulikiwe.

Jambo ambalo napingana nae ni hilo la watoto kurudia orientation course,kwa muda upi uliopo?je topic zitamalizwa lini?

Pia watoto wasilazimishwe shule na ufaulu usilazimishwe
Sijaelewa wao wanaamini nini katika ufahamu wa binadamu , kifupi sio lazima wote tupite njia inayo fanana, hakuna ulazima wa kumlazimisha mtu kusoma kwa mifumo hii iliyopo na madude ambayo kichwa chake kimesha kataa kuyapokea,

ndio maana kila mtu anakipaji chake hapa duniani sitaki kuamini kwamba kusoma kwa mfumo huu uliopo wa kukalilishana matakataka meeengi ni kipaji cha binadamu wote.
 
Kwa ufupi tu msonde tangu ufike Tamisemi umekuwa na Mambo mengi Sana ambayo mengine hayana ufanisi ebu yapunguze, kutokana na karenda kuanzia tarehe 31/03/2023 ni likizo Ila kutokana na maagizo yako ya ajaubu ajabu likizo imekuwa Kama kiini macho shule zinaendelea na kazi wanafunzi na walimu wanakiwa kuwepo shuleni eti KPI huu ujinga mmeutoa wapi Yani umeleta mambo mengi mpaka sasa uko mashuleni baada ya walimu kufundisha walimu wamekuwa bize na kuandaa documents tu maana unamini katika tarifa siyo ufundishaji hivi nani akwambia andalio la somo likiwepo mtoto ndio ataelewa Yani mmekalia uzamani zamani pasipo kuangalia dunia inataka nini

Na nyie watu wa vetting huwa mnakwama wapi mtu Kama alikuwa mwalimu shule ya msingi uko msimpe madaraka ya kusimamia vitu vikubwa hawa watu huwa wanaalibiwa na elimu yao ya cheti hata apate udokta bado atakuwa na mambo akili ile ile ya kidato Cha nne ndio haya msonde anayofanya Kama mnabisha subilieni natokea ya kidato Cha nne na darasa la saba na darasa la nne mwakani uyu msonde kaja na vitu vya hivyo hivyo katika elimu

Hivi mwalimu unasainishaje mkabata mpya eti wa kufaurisha wakati uyu mwalimu tayali ni mwajiriwa na anamkataba wa kudumu wa ajira yake na serikali Ila leo unageuza walimu watoto eti saini huu mkataba usipofaurisha upandi daraja huu si utoto Yani mkataba mama unasema hivi wewe inakuja na vitu vya ajabu ajabu ebu acheni huo utoto


Kama idara zenu zinapesa za kuzungukia mashule kukagua vitu vya ajabu ajabu nashauri hizo pesa endelezeni michezo
Malengo yao ni kuumiza shule za kayumba watoto wao hawasomi huku,wanaogopa kutoa mikopo ya elimu ya juu
 
Back
Top Bottom