NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Wanaume tujifunze jambo gumu!
Ukiamua kuishi na mwanamke akakuzalia watoto automatic umejitoa mhanga nguvu zako zote za ujana!!
Wahakikishie kuwa hizo ni zao yaani watoto na mama yao yaani kiroho waachie!
Ukiona kiburi kimepamba moto ,tafuta saizi.yako sepa waache hapo.na waambie watoto kwamba nimeoa mwingine hatuelewani mama yenu !!
Hivyo TU,usinganganie Mali kwamba ni zako.wakati una watoto umezaa na mwanamke!!
Ukiamua kuishi na mwanamke akakuzalia watoto automatic umejitoa mhanga nguvu zako zote za ujana!!
Wahakikishie kuwa hizo ni zao yaani watoto na mama yao yaani kiroho waachie!
Ukiona kiburi kimepamba moto ,tafuta saizi.yako sepa waache hapo.na waambie watoto kwamba nimeoa mwingine hatuelewani mama yenu !!
Hivyo TU,usinganganie Mali kwamba ni zako.wakati una watoto umezaa na mwanamke!!