Mstaafu mwenye umri wa miaka 53 amejiua kwa kujichoma moto baada ya mahakama kuamuru kuuza mali zote na kugawana na mkewe mara baada ya kupeana talaka

Mstaafu mwenye umri wa miaka 53 amejiua kwa kujichoma moto baada ya mahakama kuamuru kuuza mali zote na kugawana na mkewe mara baada ya kupeana talaka

mnachuma wote juani kwa bidii na baadaae mpongezana kwa upendo na mapenzi mazito 🐒

halafu mkishindwana ati sasa moja anabadilika kua ni mmiliki wa mwingine kwenye suala la mali 🐒

hapana,
si sawa.
mmekutana mkaamua kuishi papoja, mmepambana pamoja kwa jasho, gawaneni sawa sawa, kwa haki na usawa kwa mujibu wa sheria, kila moja akaanze maisha mengine kwa amani 🐒

kujipiga kitanzi haina maana yeyote na wala haisaidii 🐒
Hakika
 
Wanaume tujifunze jambo gumu!

Ukiamua kuishi na mwanamke akakuzalia watoto automatic umejitoa mhanga nguvu zako zote za ujana!!

Wahakikishie kuwa hizo ni zao yaani watoto na mama yao yaani kiroho waachie!

Ukiona kiburi kimepamba moto ,tafuta saizi.yako sepa waache hapo.na waambie watoto kwamba nimeoa mwingine hatuelewani mama yenu !!

Hivyo TU,usinganganie Mali kwamba ni zako.wakati una watoto umezaa na mwanamke!!
Unafanya hivyo anahamia baba wa watoto halisi apo ulipokimbia[emoji1787][emoji1787]
 
Inaumiza sana pale unapoingia kwenye ndoa ukitarajia kuondoka na Mali za mtoto wa watu....mi naona tujifunze kuondoka na wanetu Mali mwachie Mwenye nazo

Cc: DR SANTOS
Wakikusikia wale wa kule machame, watakukata miguu.wanapenda mali hakuna mfano
 
Mimi kama wanataka tugawane jasho langu nitamuachia vyote na sitaenda mahakamani hata mahakama ikiniita, nitakachofanya ni kurudi kwa Shetani kumshitakia dhuluma hiyo kimyakimya.

Mahakama za Duniani ni za kipumbavu sana, haiwezekani mali nitafute mimi kisha tugawane 50/50 ila mali alizotafuta mwanamke eti yeye ni zake zote.
Sheria ipi inasema mali ya mwanamke ni yake pekee?

Umelishwa Matango pori ndugu
 
Angekubali afu wanatafuta mteja,kwenye mgawanyo Sasa.
Angefanya umafia,afu akatokomea kusikojulikana,swala la kujiuwa afu mbwa yule anabaki hai hapana.
Mahakama bhana,kwani walikuwa hawana Watoto 🙄🙄.

Maajabu haya,
 
Back
Top Bottom