Mstaafu mwenye umri wa miaka 53 amejiua kwa kujichoma moto baada ya mahakama kuamuru kuuza mali zote na kugawana na mkewe mara baada ya kupeana talaka

Wanaume tujifunze jambo gumu!

Ukiamua kuishi na mwanamke akakuzalia watoto automatic umejitoa mhanga nguvu zako zote za ujana!!

Wahakikishie kuwa hizo ni zao yaani watoto na mama yao yaani kiroho waachie!

Ukiona kiburi kimepamba moto ,tafuta saizi.yako sepa waache hapo.na waambie watoto kwamba nimeoa mwingine hatuelewani mama yenu !!

Hivyo TU,usinganganie Mali kwamba ni zako.wakati una watoto umezaa na mwanamke!!
 
Shadow7 naomba uni letee link ya Uzi wa kataa ndoa ni hazina ya kesho.
 
Umesahau kutaja chimbo bora la muda wote MRINA ANNEX
 
Naam uko sahihi kabisa πŸ˜†, Kataa ndoa ni hazina ya kesho
 
Wewe mpuuzi ungesoma habari ungepata jibu la hizo fikra zako za kipuuzi. Ukiwa kiongozi wa serikali tutapigwa snaa kwenye mikataba kwa uvivu wako kipuuzi.
 
We nani tenaπŸ˜†πŸ˜„πŸ€”, aisee Ile task kwa Lizzy si ni lazima.
Si alikwambia atakufutia ole wako uzingue 🀣🀣🀣
Ushaanza print za kataa nddoa, akifanikiwa kukutafutianna akipita humu 🀣🀣🀣 ili Hali anakuhitaji ndoani
Ushachomaaa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Si alikwambia atakufutia ole wako uzingue 🀣🀣🀣
Ushaanza print za kataa nddoa, akifanikiwa kukutafutianna akipita humu 🀣🀣🀣 ili Hali anakuhitaji ndoani
Ushachomaaa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nisha kujua pimbi weeπŸ˜„πŸ€£πŸ€£,,
 
hizi tabia za kufata kila kitu cha umagharibi ndipo vinavyotufikisha hapa
 
hatujuani hata kidogo 🀣🀣🀣 ...nakupa warning kama mwanaume mwenzangu precautions muhimu labda uwe hujamaanisha request Kwa Dr Lizzy maana hawezi kukupa Pande kimeo
We Nisha kujua makarai πŸ˜†, pasi ikiwa Safi na scoreπŸ€“
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…