Hakikamnachuma wote juani kwa bidii na baadaae mpongezana kwa upendo na mapenzi mazito π
halafu mkishindwana ati sasa moja anabadilika kua ni mmiliki wa mwingine kwenye suala la mali π
hapana,
si sawa.
mmekutana mkaamua kuishi papoja, mmepambana pamoja kwa jasho, gawaneni sawa sawa, kwa haki na usawa kwa mujibu wa sheria, kila moja akaanze maisha mengine kwa amani π
kujipiga kitanzi haina maana yeyote na wala haisaidii π
Nilitaka nishangae love akeπ€¨Lakini kipenzi mimi sijakataa ndoa, elewa hiyo
Unafanya hivyo anahamia baba wa watoto halisi apo ulipokimbia[emoji1787][emoji1787]Wanaume tujifunze jambo gumu!
Ukiamua kuishi na mwanamke akakuzalia watoto automatic umejitoa mhanga nguvu zako zote za ujana!!
Wahakikishie kuwa hizo ni zao yaani watoto na mama yao yaani kiroho waachie!
Ukiona kiburi kimepamba moto ,tafuta saizi.yako sepa waache hapo.na waambie watoto kwamba nimeoa mwingine hatuelewani mama yenu !!
Hivyo TU,usinganganie Mali kwamba ni zako.wakati una watoto umezaa na mwanamke!!
π³are you serious?π€Kataa ndoa ni utapeli
Yule dada sikutegemea uwezo wake wa kufikiri ni mdogo hivyo.'Wanawake msiwapigie Kura wanaume.....'
-Joke Mwogero
Wakikusikia wale wa kule machame, watakukata miguu.wanapenda mali hakuna mfanoInaumiza sana pale unapoingia kwenye ndoa ukitarajia kuondoka na Mali za mtoto wa watu....mi naona tujifunze kuondoka na wanetu Mali mwachie Mwenye nazo
Cc: DR SANTOS
Tuko pamoja kamanda, kataa ndoaMkuu naona umegongelea msumari wa nchi 6 kabisa KATAA NDOA, Nakuunga mkono master.
π€£ π€£ π€£ Usitishike na hao wajingaRaine Col ule ushauri wako wa kuoa baki nao π
Mxiiiiiie ujasirii wakutaka shangaziKila siku ana kazaππ, ana ringa huyo π€£
Watoto wa siku hizi hamna adabu kabisaπ€£π€£Mpeleke polepole bado ni underground
Ina maana Raine Col pm zangu 5 haoniπ€πMpeleke polepole bado ni underground
[emoji23][emoji23][emoji23]mkuu umenicgekisha sana#KataaNdoa hadi Zambia.
Nasikia mshangazi waa kwendaa π€ππ€£ π€£ π€£ Usitishike na hao wajinga
Mxiiiiiie ujasirii wakutaka shangazi
Watoto wa siku hizi hamna adabu kabisaπ€£π€£
Endelea kusikia tena π€£ π€£Nasikia mshangazi waa kwendaa π€π
Sheria ipi inasema mali ya mwanamke ni yake pekee?Mimi kama wanataka tugawane jasho langu nitamuachia vyote na sitaenda mahakamani hata mahakama ikiniita, nitakachofanya ni kurudi kwa Shetani kumshitakia dhuluma hiyo kimyakimya.
Mahakama za Duniani ni za kipumbavu sana, haiwezekani mali nitafute mimi kisha tugawane 50/50 ila mali alizotafuta mwanamke eti yeye ni zake zote.
aisee hebu fanya Kama una shitua kale ka mzigo kakoπ€πEndelea kusikia tena π€£ π€£
Nawaona wana logic kabisaπ€£ π€£ π€£ Usitishike na hao wajinga
Unanichanganya na bata maji π€£aisee hebu fanya Kama una shitua kale ka mzigo kakoπ€π
π usiku tutaonana kombaniaWatoto wa siku hizi hamna adabu kabisaπ€£π€£
Yaani una ka hold kidogo, Kisha una angalia mbele, then u look back at meπ€Unanichanganya na bata maji π€£