Mstaafu mwenye umri wa miaka 53 amejiua kwa kujichoma moto baada ya mahakama kuamuru kuuza mali zote na kugawana na mkewe mara baada ya kupeana talaka

Kataa ndoa ni chama ambacho kina kuwa taratibu na kuchukua kasi kwa kuwa pata watu taratibu.Binafsi naweza kuungana na ninyi soon baada ya kumaliza taratibu za kutoa Talaka
 
Hapo aliyechuma ni mwanaume ila kisheria eti wamechuma wote,Akim hakua mjinga.
 
Ametumia nguvu nyingi bila akili angeanza kubadili umiliki wa mali kinyemela angemwandika hata mdogo wake au mama yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…