Uchaguzi 2020 Mstahiki Meya wa Ubungo Boniface Jackob achukua fomu ya kuomba ubunge wa Jimbo la Ubungo kwa Kishindo

Uchaguzi 2020 Mstahiki Meya wa Ubungo Boniface Jackob achukua fomu ya kuomba ubunge wa Jimbo la Ubungo kwa Kishindo

Haikuanza Jana......

Kwa muda mrefu nimekuwa nikijiuliza maswali juu ya CHADEMA....haswa KUHUSU MRENGO WAKE WA KISIASA....

LEO mh.Boniface Jackob amenipatia mwanga.....

MWANGA WENYEWE NI KUWA CHADEMA NI KIKUNDI TU CHA WANAOJIFANYA WANASIASA LAKINI WASIO NA HATA MWELEKEO WA KISIASA....

CCM inaamini katika ujamaa na kujitegemea na ndio mana ni kawaida kuwaona wakijinasibu na ujamaa ama hata UKOMUNISTI japo si Sana na CCM(si wakomunisti) hizi ni baadhi ya SLOGANS zake km;

1.Viva
2.Aluta Continua
3.Siempre Siempre
4.Hasta la victoria

Prof.Lumumba mtunduizi na mwanamajumui wa afrika alipata kusema kuwa,CCM na ANC ndivyo vyama viwili pekee vilivyo IMARA barani afrika,kiitikadi na KIMTANDAO.....

CHADEMA hawana ITIKADI imara...
CHADEMA hawana FALSAFA......
CHADEMA hawana MTANDAO kutoka mashinani mpaka TAIFA....

Kubwa la yote CHADEMA hawaamini katika ITIKADI YAO tusiyoijua na HAWAIJUI ITIKADI yao TUNAYOIAMINI.

Rudisha Jicho lako hapo juu na muangalie kwa Mara nyingne mh. BONIFACE JACKOB.....

Bwana huyu anajifananishaje na EL COMMANDANTE Tate Julius Malema?!!!!

Lini CHADEMA kimeanza kuwa chama Cha KIKOMUNISTI.....
Lini CHADEMA kimeanza kuwa chama Cha kijamaa mithili ya ujamaa wa CCM na taswira yake halisi ya Mwenyekiti mh.Magufuli......


CDM haina DIRA....
CDM ni wajanjajanja tu wa MJINI....

MAPICHAPICHA
MAPICHAPICHA

Bongo movies+Nollywood+Bollywood+Hollywood[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Communism ni Falsafa ambayo Mabwana zako CCM hawajawahi kuiishi hata Siku moja
Utakuwa hujui Maana ya communism ndio Maana unaropoka ndio falsafa ya CCM
 
Acha kudanganya kwan wapinzani waliokuwepo bungeni miaka iliyopita walishindaje mbona tume ni hii hii ya sasa?
Mchawi tume huru tu hapo, tofauti na hapo ni kujitekenya na kucheka mwenyewe. Kwa tume iliyopo hakuna mpinzi yoyote atakaerudi bungeni, mark my words.
 
Amekuwa Diwani amekuwa Meya hakufanya mabadiliko yoyote atauweza Ubunge.. anyway Dar es salaam Sasa Ni Kijani 2020.....Hakuna Mbunge wa upinzani hapa.
 
Amekuwa Diwani amekuwa Meya hakufanya mabadiliko yoyote atauweza Ubunge.. anyway Dar es salaam Sasa Ni Kijani 2020.....Hakuna Mbunge wa upinzani hapa.
Kwani Jiwe si ni Rais wa nchi nzima including Ubungo ?
Ulisikia Diwani na Mayor wanakusanya kodi ?
Halafu mbona Ubungo Mambo kibao tu yamefanyika
Miradi ya Maji,Barabara,Madaraja, tembelea Kimara Bonyokwa, Temboni Mpaka Goba ujionee.
 
Mkuu kama wewe na mzazi wako mnaongea pumba kiasi hiki sisi ni nani kuwakataza??

Endeleeni kuunga juhudi mkono
Huwa nakaa ufukweni na kuwatafakari Chadema.....

Nawatafakari sana vijana wa CDM....hususani wale wenye hulka Kama ya BONIPHACE JACKOB.....

Siku moja mama yangu aliniuliza swali juu ya asili ya MABOKSA,WACHEZA FILAMU ZA MAPIGANO NA MIELEKA...
Akaniuliza "Hawa inawezekana kweli wakawa ni vijana waliolelewa vizuri,kwa amani na utulivu wkt wa utoto wao, kama kuwa walokole ama maustadhi?!!!

Nikamjibu


Hao wengi wao ni kinyume chake....
Hao wengi wao ni wale MANUNDA....
Hao wengi wao ni wale wenye saikolojia ya kupenda SHARI,VURUGU,HASAMA,HAMKANI HALI SI SHWARI....

Wengi wao ni watu wanaofika "orgasm" kuona WANAVUTWAVUTWA KUSUKWASUKWA na VYOMBO vilivyowekwa KISHERIA......

Naendelea kumtafakari mh.Boniface Jackob na Hilo BERETI LAKE JEKUNDU CHINI MIBUTI KM KOMANDOO WA NGERENGERE[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tatizo lako nahisi unatokea kule kwetu kongwa kuwa hakuna kilichofanyika
Amekuwa Diwani amekuwa Meya hakufanya mabadiliko yoyote atauweza Ubunge.. anyway Dar es salaam Sasa Ni Kijani 2020.....Hakuna Mbunge wa upinzani hapa.
 
Mkuu kama wewe na mzazi wako mnaongea pumba kiasi hiki sisi ni nani kuwakataza??

Endeleeni kuunga juhudi mkono
Jamaa hakumuelewa Mamaake kuwa anatamani wanaume dizaini ya MABOKSA,WACHEZA FILAMU ZA MAPIGANO NA MIELEKA.
Kimsingi Mamaake akikutana na Boniface Jacob lazima akalishwe
 
Acha kudanganya kwan wapinzani waliokuwepo bungeni miaka iliyopita walishindaje mbona tume ni hii hii ya sasa?
Ukiendesha gari upande wa kulia wa barabara na ikatokea hujapata ajali haina maana kuwa ni sawa kufanya hivyo.

Bahati mbaya asilimia kubwa ya watanzania wana akili kama zako ndio maana tunashindwa kutoka hapa tulipo.
 
Communism ni Falsafa ambayo Mabwana zako CCM hawajawahi kuiishi hata Siku moja
Utakuwa hujui Maana ya communism ndio Maana unaropoka ndio falsafa ya CCM
Inaonekana ni namna gn usivyo MTULIVU kusoma between lines...endelea kuwa mateka wa ndoto zisizokuwepo.
 
Hukumuelewa Mama yako, ni kwamba anatamani Baba yako angekuwa kama hao Jamaa MABOKSA,WACHEZA FILAMU ZA MAPIGANO NA MIELEKA.
Kimsingi Mama yako akikutana na Jacob Boniface lazima atoe Mzigo
Sawa
 
Haikuanza Jana......

Kwa muda mrefu nimekuwa nikijiuliza maswali juu ya CHADEMA....haswa KUHUSU MRENGO WAKE WA KISIASA....

LEO mh.Boniface Jackob amenipatia mwanga.....

MWANGA WENYEWE NI KUWA CHADEMA NI KIKUNDI TU CHA WANAOJIFANYA WANASIASA LAKINI WASIO NA HATA MWELEKEO WA KISIASA....

CCM inaamini katika ujamaa na kujitegemea na ndio mana ni kawaida kuwaona wakijinasibu na ujamaa ama hata UKOMUNISTI japo si Sana na CCM(si wakomunisti) hizi ni baadhi ya SLOGANS zake km;

1.Viva
2.Aluta Continua
3.Siempre Siempre
4.Hasta la victoria

Prof.Lumumba mtunduizi na mwanamajumui wa afrika alipata kusema kuwa,CCM na ANC ndivyo vyama viwili pekee vilivyo IMARA barani afrika,kiitikadi na KIMTANDAO.....

CHADEMA hawana ITIKADI imara...
CHADEMA hawana FALSAFA......
CHADEMA hawana MTANDAO kutoka mashinani mpaka TAIFA....

Kubwa la yote CHADEMA hawaamini katika ITIKADI YAO tusiyoijua na HAWAIJUI ITIKADI yao TUNAYOIAMINI.

Rudisha Jicho lako hapo juu na muangalie kwa Mara nyingne mh. BONIFACE JACKOB.....

Bwana huyu anajifananishaje na EL COMMANDANTE Tate Julius Malema?!!!!

Lini CHADEMA kimeanza kuwa chama Cha KIKOMUNISTI.....
Lini CHADEMA kimeanza kuwa chama Cha kijamaa mithili ya ujamaa wa CCM na taswira yake halisi ya Mwenyekiti mh.Magufuli......


CDM haina DIRA....
CDM ni wajanjajanja tu wa MJINI....

MAPICHAPICHA
MAPICHAPICHA

Bongo movies+Nollywood+Bollywood+Hollywood[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Binadamu timamu yoyote,mke wa baba yake hawezi mwita "mke wa baba",bali atamwita mama.
Hapa hoja iliyopo mezani ni Bonifasi J kuchukua fomu ya kuomba kupitishwa na chama kugombea ubunge. Wewe kwa nini usifungue uzi kuhusiana na hayo uliyoyaandika?
 
Communism ni Falsafa ambayo Mabwana zako CCM hawajawahi kuiishi hata Siku moja
Utakuwa hujui Maana ya communism ndio Maana unaropoka ndio falsafa ya CCM
Hangover ya faru John hiyo....tatizo lenu hamsomi between lines....bavicha wepesi Sana sijui wapi mlikopewa kichwa na kuwa overrated...,supu njema😂
 
Back
Top Bottom