...aisee! Imenibidi nicheke tu...ndio kusema hii hali haikwepeki! Once a Victim always a victim unless umtie sumu mwanao/wanao nao waanze kumchukia mama/baba yao...!
Msibishe, hii nimeiona bana...mama mtu kawatia sumu ya maneno watoto hawataki hata kumsikia baba yao. Jamaa hana
mbinu yoyote ya mawasiliano na Ex-mkewe wala watoto. Jamaa kaishia kumwaga misaada ya pesa kwa ndugu wa mke kama hana akili uzuri. Mke ananuna lakini hali ya uchumi ndio hivyo tena...[ndugu] wakatae pesa za bure?
Psychological abuses hizi, hata hujui mshindi nani.
Mkuu hii issue iache bana inaumiza wengi na wengi wanaingia kwenye mtego bila kujua ni wapi wamenaswa na kujikuta wanaishia kuwa ndio mzee
Mwanamke anajua mkuu kushika na kucheza katara yake na utaicheza bila hata kulazimishwa au kushikiwa bunduki yaani unajikuta tuu unaendeshwa kama gari bovu. Tuache ile kitu ambayo anaitengeneza yeye kukufanya uumie rohoni "emotional torture" yaani kukufanya wewe ujisikie kuwa kila unalofanya though she is your Ex unamuumiza na hata kuwa na mwenza ulie nae sasa hivi unamuumiza so she needs your care, your hospitality, emotional care, kiss and hug through the night, sweet sms and even call and protection. Na anapohold another key issue, watoto ndio kabisa atawafanya kama ndio chambo cha kuvulia samaki baharini yaani kila anapokuhitaji anaweka issue ya watoto mbele. Na anawatanguliza mbele ili wewe ufuate na ujue kuna nini.
Msibishe, hii nimeiona bana...mama mtu kawatia sumu ya maneno watoto hawataki hata kumsikia baba yao. Jamaa hana
mbinu yoyote ya mawasiliano na Ex-mkewe wala watoto. Jamaa kaishia kumwaga misaada ya pesa kwa ndugu wa mke kama hana akili uzuri. Mke ananuna lakini hali ya uchumi ndio hivyo tena...[ndugu] wakatae pesa za bure?
Psychological abuses hizi, hata hujui mshindi nani.
Mkuu hii issue iache bana inaumiza wengi na wengi wanaingia kwenye mtego bila kujua ni wapi wamenaswa na kujikuta wanaishia kuwa ndio mzee
Mwanamke anajua mkuu kushika na kucheza katara yake na utaicheza bila hata kulazimishwa au kushikiwa bunduki yaani unajikuta tuu unaendeshwa kama gari bovu. Tuache ile kitu ambayo anaitengeneza yeye kukufanya uumie rohoni "emotional torture" yaani kukufanya wewe ujisikie kuwa kila unalofanya though she is your Ex unamuumiza na hata kuwa na mwenza ulie nae sasa hivi unamuumiza so she needs your care, your hospitality, emotional care, kiss and hug through the night, sweet sms and even call and protection. Na anapohold another key issue, watoto ndio kabisa atawafanya kama ndio chambo cha kuvulia samaki baharini yaani kila anapokuhitaji anaweka issue ya watoto mbele. Na anawatanguliza mbele ili wewe ufuate na ujue kuna nini.