Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,752
- 7,861
- Thread starter
- #201
Mwambie wazi ataishia kwa walimu vichwa maji wasioelewa mwanzo wala mwisho na then mwisho atalizwa yeye badaya ya kupata msukule atapatikana yeye. Watu wana professional zao sio za kufundishwa na wakizitumia hata kama ni act inakuwa real
...kuna ile ya mtu anafanywa msukule then siku ya siku anakugeuzia kibao! ...si unaijua zile za mume na mke wanapanga kumtia adabu Ex-Spouse (msumbufu) halafu kinachompata anashindwa hata kwenda shitaki polisi?...