Msukuma awajibu January na Nape asema kumkosoa hayati Magufuli ni nongwa kwa sababu wabunge wamekula viapo vya utii

UROHO na UCHU wa MADARAKA/ VYEO utawamaliza muda sio mrefu.

sisi watanzania tunawaangalia tu jinsi mnavyo jichimbia kaburi.

mwaka 2025 sio mbali, nyie endeleeni kuzongana zongana tu badala ya kujadili maendeleo ya wananchi.
 
Kwahiyo amechanganya madesa?
Hakika amechanganya mambo. Tumuhurumie. Anajua kuongea lakini hajui kuchanganua mambo hasa yanayohusu issues kubwa. Sasa hata kiapo ambacho huwa anaapa bungeni huwa hajui anaapa kwaajili ya nini. Yaani mbunge aape kumtii Rais!!!! Wakati bunge linatakiwa kuisimamia serikali. Hii ndiyo maana bungeni kumejaa mapambio na nyimbo za sifa, kwa sababu ya aina ya wabunge tulionao wakiwemo hawa wa "la 7 B"
 
Yamkosaji hayo
 
Well said my friend!!!

Msukuma, Lusinde, Josephat Gwajima inaonekana wana lao jambo nyuma ya pazia ndio maana wanatumia nguvu mnoo kwenye hoja zao to the extent kwamba inakuwa inaku ni vigumu sana kueleweka na watu wenye upeo wa kuelewa mambo.
Wewe mwenye upeo mbona haupo bungeni. Kazi kushinda mitandaoni tu.
 
Hesabu zinazotumika na kina jk ni kali sana, hawa lasaba b hawatakuja kuamini macho yao! hao wanao wasema muda siyo mrefu watakuja kuwa mabosi wao. Hapo wametulizwa tu ila game itavyo change wasije kulialia.
Huu ndio ukweli
 
...Alisha sema Julius Nyerere...dhambi ya kubaguana ni kama kula nyama ya mtu....ukianza hutoweza iacha....
 
Siasa ni mchezo wa maneno
 
...Alisha sema Julius Nyerere...dhambi ya kubaguana ni kama kula nyama ya mtu....ukianza hutoweza iacha....
 
UROHO na UCHU wa MADARAKA/ VYEO utawamaliza muda sio mrefu.

sisi watanzania tunawaangalia tu jinsi mnavyo jichimbia kaburi.

mwaka 2025 sio mbali, nyie endeleeni kuzongana zongana tu badala ya kujadili maendeleo ya wananchi.
CCM itaendelea kuongoza maana upinzani wote ni machoko tu.
 

Natamani sana kumsikia Nape akichangia hoja kwenye sheria ya vyombo vya habari itakapojadiliwa

Maendeleo hayana vyama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…