Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baba yake Chaula amepigiwa simu, anatakiwa Atoe mil 3,ili Chaula aachiwe!..Na Chadema inapopata makwazo watu wa serikali hufurahia. Je, unafahamu?
..Pia kuna baadhi ya watu serikalini wanajihusisha na matukio ya utekaji, utesaji, na mauaji, dhidi ya wafuasi wa Chadema. Je, unaunga mkono?
""CHAWA WA CCM HANA TOFAUTI NA KUNGUNI ZA CHADEMA""Watu wapo busy kumsifia mama unafikiri wana balls za kumshauri mambo makubwa kama hayo.af kinachoudhi wengi ni wasomi wakubwa tu wanakanyaga taaluma zao wanaenda kupiga uchawa
HH rais wa Zambia ana akili sana!Umefuatilia na kuijua mipango ya DRC? Kwa DRC punde tu tutayasikia maumivu mengine.
Hili la Zambia nitashangaa kama Serikali italiona limekuja as a surprise sababu Zambia baada ya kuona hatusomeki walianza project kubwa ya barabara wakishirikiana na Mozambique. Barabara hiyo ilikuwa inaiunganisha nchi yao na Mozambique.
Kwa viherehere vyetu tuliiona hiyo threat tukajitahidi kuistua serikali kuhusu projects zinazoendelea Zambia na Congo DRC na Mozambique tukaambiwa “serikali ipo macho na ipo imara” na zaidi “kuna mambo mengi mazuri hatuyajui”, tukasema inshallah, hii yote ni sababu we are no bodies
Yes kinacho hitajika kwa sasa ni sera nzuri ya uchumi ikijumuisha maboresho mazuri ya mazingira ya uanzishwaji wa viwanda vidogo na hii iangalie mpaka biashara za wazawa, uboreshaji wa elimuNa hii ndio solution ya kudumu ya matatizo ya kiuchumi nchi hii .
Huu uchumi mfu tulio nao ni kwamba hatuzsalishi sana na kuuza nje kwa wingi kama inavyotakiwa , yaani inabidi tufanye massive overhaul ya mfumo wa uongozi nchi hii top to bottom .
Kuna mazezeta wameshikilia vitengo ambavyo hawakufaa hata kuwa wafagiaji wa hizo ofisi .
Na Sera za kishenzi zote na politics chafu za ccm zibadilishwe ,yaani tuanze upya kabisa .
Tanzania inabidi iwe China ya East and South Africa ,tukifanikiwa hapa ,hata sekta yenyewe ya uchukuzi itapanuka sana maana pesa itakuwepo ya kutosha na utasafirishwa bidhaa zetu wenyewe na si kutegemea importations za malonya lonya Toma China kuja kwetu na kwa majirani zetu
Cha kwanza sijawahi kuwa CCM. Hata siku Moja. So hapo nimejibu kama Mtanzania na sio CCM.Akili hizo mzitoe wapi , akili za kuwaza kutengeneza death squads za kuteka wapinzani wa Chadema ndio ccm wanazo
Wanaingia kichwakichwa hawana speculation hata ya miaka 2 ijayo kutatokea nini na nini kifanyike😃😃😃😃🙃Ina maana hata hao DPP WORLD wameingia cha kike? 😃😃😃😃
Huu utawala wa huyu Mama una nuksi mno
Nchi yoyote haiwezi kusonga mbele bila ya raia wake kuwa na uzalendo kwa nchi yao.Yes kinacho hitajika kwa sasa ni sera nzuri ya uchumi ikijumuisha maboresho mazuri ya mazingira ya uanzishwaji wa viwanda vidogo na hii iangalie mpaka biashara za wazawa, uboreshaji wa elimu
Tutume na kuwatumia watanzania wenye ujuzi kwenye nafasi au sekta zenye mapengo na ambazo zinaweza leta ufufuaji wa uchumi wa taifa hii aliitumia raisi wa china baada ya Mao nadhani ya kupeleka na kuwasomesha wazawa kisha kuwarudisha na wao wakafanya mageuzi lakini waliopewa dhamana na mfumo wao wote waliwapa back up ya kutosha na hii ndio China tuka anza kuisikia Kwenye level nyingine baada ya kipindi cha ukimya
Swala jingine ni kwamba mifumo yote iwe na nia ya kuendeleza taifa kwa ujumla tuwe na moyo wa kweli, tujitahidi angalau matumizi muhimu na vitu vinavyo tumiwa kila siku viwepo pasipo shida za hapa na pale wananchi wakipata usafiri wa uhakika, maji ya uhakika, umeme wa uhakika, chakula kinachoweza kuendana na kipato, nyumba zilizo boreshwa sidhani kama hawatokuwa na nia nzuri kwa taifa watakuwa tayari kuzalisha ili maisha yaende mbele zaidi.
Mfano tunaona hizi nchi za Asia zilizo fanya mapinduzi ya kiuchi China, sibgapore,Malaysia wananchi wao wanashirikiana na kupenda kila kitu na wana jitahidi kusogeza mbele uchumi wao kwa asilimia kubwa
Tanzania tueleke huko
Huenda ni kweli kabisa, tatizo sio uzalendo zaidi ni ubinafsi wa kimakundi, tunaweza songa kama taifa na wengine wakawa nacho kutokana na kupambana kwao lakini pia isiwe chanzo cha hali mbaya kwenye mahitaji muhimu ya jamiiNchi yoyote haiwezi kusonga mbele bila ya raia wake kuwa na uzalendo kwa nchi yao.
Sisi tuko na rasilimali ila tumekosa uzalendo ndio maana kila siku tunaanza upya.
Afrika ni unafiki tu,ndio maana hata DRC,ameona EAC haina faida kwake,na kutaka kujiondoa kwani kama wanachama walio ndani ya jumuia hiyo wanapokuwa hawaelewani na jumuia inashindwa kutafuta suluhisho,kwa kumuogopa mchokozi!!!na hizo nchi ndio roho ya bandari ya DarNchi ya Mozambique imeamua kuteka biashara ya Usafirishaji Kwa njia ya Maji Kwa Nchi zote za Sadc na kuiachia Tanzania maumivu makubwa.
Katika kutekeleza Hilo, Mozambique wameamua kuikodisha Bandari Yao ya Nacala Kwa Nchi ya Malawi na Zambia ambapo wataitumia Kwa kipindi Cha miaka 100 ijayo.
Nchi hizo 3 zinapanga kujenga miundombinu ya reli kutoka Nakala Hadi Mji Mkuu wa Malawi Lilongwe na kisha Hadi Mji Mkuu wa Zambia Lusaka.
Njia hiyo Mpya ya reli itapunguza umbali wa Zambia kuifikia Bandari ya Dar hivyo zaidi ya asilimia 90% ya mzigo wa Zambia utapitia Bandari za Msumbiji za Nakala na Beira.
Kwa hatua hiyo itakuwa ni pigo kubwa sana kwa Tanzania ambayo Bandari ya Dar ilikuwa inategemea zaidi mzigo wa Nchi ya Congo DRC na Zambia kama wateja Wakuu huko Nchi zingine zikiongesea ongezea shehena.
Endapo Zambia itaondoka rasmi kuwa mteja wa Tanzania sio tuu itapunguza mzigo wa Bandari ya Dar Bali itaua kabisa biashara ya Malori ya mizigo Tanzania ambapo Kwa sehemu kubwa yatahamia Nchi hizo za Zambia,Malawi na Msumbiji na zingine za Afrika Ili kuendelea na Biashara ya Usafirishaji.
View attachment 3080432
Pia soma: Bandari za Dar na Mtwara Kuwa Mashakani Kutokana na Nchi za Zambia,Malawi na Mozambique Kuzindua Upanuzi Mkubwa wa Miundombinu ya Nacala Port.
Kwa maelezo zaidi soma hapa Ili Kuongeza Ufanisi wa reli ya TAZARA,Tanzania na Zambia Ziiombe China Wajenge reli Mpya ya Makambako-Mtwara & Kasama-Lubumbashi/Likasi
Ushauri,;
Serikali ihakikishe mipango yetu yote Kwa Sasa iwe inalenga kuikumbatia DRC kuanzia Kusini Hadi Kaskazini maana ndio mteja pekee ambae walau jiografia inatupa nafasi.
Serikali ifanye yafuatayo
1.Lazima tujihusishe na kutafuta amani directly ndani ya DRC Ikibidi Kwa gharama zetu.
2.Lazima Sgr na Barabara zivuke na kuifikia DRC(Bukavu,Goma,Kinshasa,Kindu)
3.Lazima tuwashawishi Zambia na DRC tujenge reli kutoka Tunduma-Kasama-Lubumbashi-Likasi na Kutoka Makambako-Mtwara Port.
4.Lazima Sgr itoke Mpanda-Karema na Kigoma
5.Lazima tutafute pesa za kujenga meli kubwa za mizigo na abiaria ndani ya Ziwa Viktoria na pia tujenge Bandari,Barabara na reli upande wa DRC hata Kwa kuwakomesha pesa
6.Lazima tuwape DRC,Rwanda na Burundi Ardhi za Bure za kumhudumia mizigo Yao Pwani.
My Take
Tusipofanya hayo tunaenda kupoteza hata hiyo DRC Kwa Kenya,Angola na Mozambique na ikizingatiwa DRC inajenga Bandari na reli kuunganisha na Zambia na Angola.
Washindani Wetu wa Kenya wao Wana uhakika na Uganda,South Sudan, Northern DRC na somehow Ethiopia na Rwanda.
Tuachane na Mpango wa kujenga reli ya Mtwara Corridor hiyo Haina maana tena imeshakufa,Nguvu zote zielekezwe Kujenga kioande Cha kutoka Makambako -Mtwara.
View attachment 3080431
Soko la bandari yetu lipo, kumbuka kuwa DPW alifungua biashara yake kule Rwanda na ameshajenga depot kubwa tu ya kuhifadhi mizigo ambayo itakuja na SGR hapa TPA tayari kupelekwa huko nje. Ni biashara kubwa na Samia ametumia nguvu nyingi kuhakikisha inasainiwa mikataba ya biashara hiyo, kuna wajinga wasiojua kitu gani wanapinga na walitumiwa katika kuichafua lakini ni ngumu kushindana na mfumo wa nchi.Acha kukariri , umeshaambiwa Congo wamefufua reli ya kutoka DRC mpaka Angola Lobito , na ukiangalia na hili suala la vita ya Houthis inayoendelea pale middle east, meli hazipiti tena red sea na suez canal , wanazunguka south Afrika na kupitia huko Atlantic meli zinazotoka asia kwenda Europe na baadhi ya maeneo ya middle east , so logically ina make sense that means kuna traffic kubwa ya meli kwenye bandari za kusini kwa Afrika kama Cape town ,Lobito nk
Ndio maana DRC wanaona hiyo ni option nzuri kwani umbali huo ni mfupi tofauti na wa kutoka huko kwenda Dar
Ndio biashara zilivyo , unabadilika na kuadapt kila kukicha na si kukariri na kuwa dormant kama Tanzania tulivyo dormant Kwa vitu vingi ,na tunafanya vitu kwa mazoea bila ubunifu na adaptability ,Ndio umuhimu wa taifa kuwa na think tanks ,watu wanaokaa chini na kuumiza akili kwa kufanya analysis ya mambo na kuangalia vitu kwa mapana na kufanya maamuzi na mipango yenye akili na impacts nzuri kwa future ya nchi .
Na si huu uchawa na upumbavu wa kuteuana kupeana vyeo kimalaya malaya kama tunavyofanya hapa nchini
Punguzeni huu unabii wa majanga, haiwezekani biashara nzima ya usafirishaji wa mizigo ya DRC ikahamia huko nacala na lobito ile ni nchi kubwa sana na nina uhakika kuna mzigo mwingi tu wa DRC utaendelea kupitia hapa TPA. Punguzeni hizi siasa za kichawi, haziwasaidii.Nchi ya Mozambique imeamua kuteka biashara ya Usafirishaji Kwa njia ya Maji Kwa Nchi zote za Sadc na kuiachia Tanzania maumivu makubwa.
Katika kutekeleza Hilo, Mozambique wameamua kuikodisha Bandari Yao ya Nacala Kwa Nchi ya Malawi na Zambia ambapo wataitumia Kwa kipindi Cha miaka 100 ijayo.
Nchi hizo 3 zinapanga kujenga miundombinu ya reli kutoka Nakala Hadi Mji Mkuu wa Malawi Lilongwe na kisha Hadi Mji Mkuu wa Zambia Lusaka.
Njia hiyo Mpya ya reli itapunguza umbali wa Zambia kuifikia Bandari ya Dar hivyo zaidi ya asilimia 90% ya mzigo wa Zambia utapitia Bandari za Msumbiji za Nakala na Beira.
Kwa hatua hiyo itakuwa ni pigo kubwa sana kwa Tanzania ambayo Bandari ya Dar ilikuwa inategemea zaidi mzigo wa Nchi ya Congo DRC na Zambia kama wateja Wakuu huko Nchi zingine zikiongesea ongezea shehena.
Endapo Zambia itaondoka rasmi kuwa mteja wa Tanzania sio tuu itapunguza mzigo wa Bandari ya Dar Bali itaua kabisa biashara ya Malori ya mizigo Tanzania ambapo Kwa sehemu kubwa yatahamia Nchi hizo za Zambia,Malawi na Msumbiji na zingine za Afrika Ili kuendelea na Biashara ya Usafirishaji.
Moja ya project ya hovyo kuwah kutokeaTanzania matahira ni wengi .
Wapo viongozi matahira, wapo wananchi matahira wa kutosha.
Kuna mambo yanahitaji akili ndogo tu kuandaa future ya Watanzania lakini hatuoni viongozi wakitumia hizo fursa kwaajili ya Tanzania ya kesho .
Sasa unatumiaje matrilioni kwa nchi maskini kama hii kujenga reli ya mwendokasi ya kubeba watu kwenda Dodoma?
Ndio tunarudi palepale shida ni uzalendo,ubinafsi huwa unakuja baada ya kukosa uzalendo.Huenda ni kweli kabisa, tatizo sio uzalendo zaidi ni ubinafsi wa kimakundi, tunaweza songa kama taifa na wengine wakawa nacho kutokana na kupambana kwao lakini pia isiwe chanzo cha hali mbaya kwenye mahitaji muhimu ya jamii
Yaani wewe kuwa nacho isiwe sababu ya wengine kukosa huduma nzuri au kupungukiwa nazo ama kuendelea kuwa katika wimbi hilohili zaidi ya miaka mingi, unaweza miliki unachotaka lakini iwepo huruma na kujali wengine.
Itumike hekima na maarifa kwenye hilo jambo
Ila Zambia tutaipoteza mazima ,tutasalia na part ndogo tuu ya DRCPunguzeni huu unabii wa majanga, haiwezekani biashara nzima ya usafirishaji wa mizigo ya DRC ikahamia huko nacala na lobito ile ni nchi kubwa sana na nina uhakika kuna mzigo mwingi tu wa DRC utaendelea kupitia hapa TPA. Punguzeni hizi siasa za kichawi, haziwasaidii.
Dp world hawezi jenga bandari huko kwasababu uwekezaji wa dp world ni wa kimichongomichongo ndio maana kwenye mkataba wa bandari ya dar es salaam hakuna sehemu wanayosema watapanua hata sentimita moja zaidi ya kuleta managementNdio kwanza DP World wameanza Ujenzi wa Bandari nyingine DRC
Wao wanachojali ni kufanya biashara ya Bandari bila kujalisha volume ya mzigo Kwa sababu wanachowekeza ni Kufanya oparesheni tuu DP World Yazidi Kujichimbia Mizizi Afrika,Yajitosa DRC Congo Kuwajengea Bandari Kubwa Itakayounganisha Bahari ya Atlantic na Bahari ya Hindi.
Kilichowapeleka Mombasa ni inefficiency ya Dar PortMkuu umeelewa ulichoandika mwanzo na unachoandika hapa?
Umesema Rwanda na Burundi lazima wapitishe mizigo yao Dar port, mm nimekuambia sio kweli na nikakutolea mfano kuwa Rwanda imeongeza kutumia bandari ya Mombasa kwa mizigo kwa zaidi ya 400%
Unasema ni ufanisi na sio umbali. Kwan issue ni ufanisi umbali au issue Ni Rwanda kutokua na ulazima uliosema?
Pia hii post uliyoweka kuhusu hiyo bandari kupewa Malawi kwa miaka 100 sio ya kweli. Mara nyingi nakuambia acha kuandika UONGO