Msumbiji Wamekodisha Bandari ya Nacala Kwa Malawi & Zambia Kwa Miaka 100. Tanzania Kupoteza Mteja namba 2 wa Dar Port

Dp world hawezi jenga bandari huko kwasababu uwekezaji wa dp world ni wa kimichongomichongo ndio maana kwenye mkataba wa bandari ya dar es salaam hakuna sehemu wanayosema watapanua hata sentimita moja zaidi ya kuleta management
Kazi Yao sio kuwekeza kwenye miundombinu ya upanuzi Bali miundombinu ya operations kama mitambo
 
Kama hawawekezi kwenye upanuzi ndio wajenge bandari huko congo
Ile ya DRC Congo ni kama wamepewa Waanzishe from scratch,hata hivyo lazima watalazimika kupanua ya kwetu kama uhitaji utakuja maana wanatakiwa wawekeze Trilioni 2.5 Kwa miaka 5 ijayo.
 
Huu mpango ulikuwapo muda mrefu sana ukazungurushwa uka simama pale Mazabuka Zambia kuna Dry port ilikuwa imeshaanza kujengwa pale na Joseph Kabila aliichangia pesa wakati yupo madarakani ili mzigo wa DRC utue pale, hebu ngoja tutulie tuangalie wachumi wetu wana mpango gani wa kuigombania Nchi.
 
Potelea pote maana hata hiyo bandari miaka na miaka imefanya kazi lakini tunachonufaika nacho kama wananchi ni mikodi na mitozo kibao unaagiza gari japan bei M8 unakuja bandarini unaambiwa M12 sasa kuna haja ya kuwa na bandari
 
h
k

kabisa malawi na zambia wako na hali mbaya kiuchumi ingawa pia si kuwapuuza mazima.
hizo nchi zimechoka sna afadhali ya bongo
 
We nae akili kisoda reli ile ni abiria na mizogo .....sasa ww unafikiria ...barabara za rami hujengwa kwa ajili ya mizigo au abiria na mzigo..... ndo ile reli ......tena sio dodoma sema kipande cha dodoma kimekamilika inaenda mwanza kisa mpakani rwanda
 
Potelea pote maana hata hiyo bandari miaka na miaka imefanya kazi lakini tunachonufaika nacho kama wananchi ni mikodi na mitozo kibao unaagiza gari japan bei M8 unakuja bandarini unaambiwa M12 sasa kuna haja ya kuwa na bandari
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
h

hizo nchi zimechoka sna afadhali ya bongo
Kwani uchumi uko stagnant? Unasema zimechoka wakati hapo Mozambique wameshajenga kiwanda Cha LNG na exports imeanza,Tanzania ni stori tuu hakuna Cha maana.

Pili Mozambique hao wanaendelea na ujenzi wa kiwanda kikubwa Cha Chuma ambapo Tanzania tunaendelea na Hadithi za liganga
 
Ile ya DRC Congo ni kama wamepewa Waanzishe from scratch,hata hivyo lazima watalazimika kupanua ya kwetu kama uhitaji utakuja maana wanatakiwa wawekeze Trilioni 2.5 Kwa miaka 5 ijayo.
Hiyo trillioni 2.5 watakwambia wamewekeza kwenye management
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Mkuu usione watu wanatelekeza magari bandari unakutana na tozo hadi ya kujenga reli ina maana reli inajiendesha kwa hasara mpaka watuwekee tozo bandarini?
 
Mkuu usione watu wanatelekeza magari bandari unakutana na tozo hadi ya kujenga reli ina maana reli inajiendesha kwa hasara mpaka watuwekee tozo bandarini?
hatari sana inakuwa kama tunakomoana hivi
 
tatizo wabongo wengi exposure ni ndogo wanaongea sana nchi ambayo hata kununu petrol imekwama unailinganisha na tanzania
 
Kwa Afrika inawezekana tatizo ni kwamba shamba letu halikauki na limeshamiri vipindi vyote, kujaribu kuweka mazingira mazuri kwa watu kwa namna fulani ni kujaribu kujiondoa kwenye utegemezi, kwa namna hiyo itafanyika namna yoyote ya kuwaweka kuwa wategemezi mpaka mwisho kujinasua huko kuna hitaji mfumo na watu imara sio tuu kwa nchi yetu bali bara zima.

Ni kazi ambayo inaweza ondoka na kumbukumbu, maisha na mengine mengi ya watu
 
Boresheni bandari ya mtwara, tatizo tunaongea Sana, hizi pesa tunawapa yanga na Simba please peleka kuboresha bandari
 
Nimekuelewa,mfano nauona kwa nchi ya burkinafaso Rais wao anavyowindwa na kukoswakoswa na mikasa mara kwa mara ila anakomaa kwa vile na yeye ni mwanajeshi ila kama ni raia tu wa kawaida angelegea mapema tu.
 
Nimekuelewa,mfano nauona kwa nchi ya burkinafaso Rais wao anavyowindwa na kukoswakoswa na mikasa mara kwa mara ila anakomaa kwa vile na yeye ni mwanajeshi ila kama ni raia tu wa kawaida angelegea mapema tu.
Umemaliza mbu wa dengue, kwa hiyo mambo ni zaidi ya haya walio kwenye nafasi nao wana jitahidi ila kuna limit kujinasua huko kunahitaji zaidi ya kujiamini kwa sababu inaweza ibuliwa skendo ama propaganda zikafanya uone kwa nini hata nilikalia hichi kiti
 
Watu wetu wengine hawana uzalendo, TPA wana ofisi DRC na Rwanda kule kuna staff wanashindwa kuandika hata proposal ya kuomba eneo wajenge Bandari kavu Tunduma,Zambia au DRC.

DP world aliona Rwanda akiweka Logistics centre itafaa, Kagame akampa eneo akaweka miaka ya 2019
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…