Msumbiji Wamekodisha Bandari ya Nacala Kwa Malawi & Zambia Kwa Miaka 100. Tanzania Kupoteza Mteja namba 2 wa Dar Port

Huyo ni chawa alafu bingwa wa matango pori
 
Kila siku nawaambia hii Nchi Ina shida kubwa sana ya watu wa planning na Wachumi wanaofikiria Kimkakati kujua kipi kianze na kifanyike wapi na kipi kifuate.

Mpaka Sasa hizo Barabara unazotaja zikikamilika tuu,Zambia tunampoteza
Siunasemaga tokea ameingia samia mambo yanaenda vizuri sasa inakuaje tena unatupiwa lawama watu wa planning na uchumi
 
Akili za mazezeta ccm zipo kwenye kuwaza kuteka watu wapinzani ,kuwapasua pumbu ,kuwabaka na kuwaua
Haya mambo ya msingi wala hutazikia wakihangaika nayo wala hata kuyaongelea
 
Tanzania itengeneze bomba la LPG liende Zambia, malawi, drc? Mkuu umetoa maoni pengine ya jambo ambalo hulifahamu

Unaifahamu LPG ni nn? Na Tanzania tunaitoa wapi?
LPG tunaitoa Qatar, ili uipate LPG ni lazima uwe na kiwanda cha kuisindika gas asilia tulionayo ( ambapo kulingana na January Makamba inaitajika Mradi w Tilioni 6 kubadili gas yetu tuliyonayo kuwa LPG ambayo ni ya kupikia). Mozambique wametengeza Hiyo Liquidified Petrochemical Gas na Total kutoka Ufaransa Pale wilaya ya kasikazini ya Palmas, na wanaisfirisha kwenda Ulaya kwa meli tokea mwaka wa jana mwezi wa 12. Sisi tunatakiwa kuwekeza kwenye kiwanda hiki cha LPG gas ya kupikia na kusupply kwa majirani zetu kwa bomba kama afanyavyo Russia, Norway na nchi zinginezo hii gas ina ela sana.
 
Hapo nimeelewa mantiki ya ulichosema. Mwanzo uliandika juu juu nilijua hufahamu wapi Lpg inatoka
 
kampuni ya total imeingia mkataba na jeshi la rwanda kulinda uwekezaji nchini msumbiji hao magaidi washadhibitiwa, kusema malawi haina hela sio kweli hela haipimwi kwa per km, malawi ina bandari kavu dar tangu enzi ya nyerere
Magaidi gani wamedhibitiwa? Hao Rwanda wanalinda kamji kamoja tu kenye bandari na visima vya gesi, kwingine hawaendi ndio maana wanajeshi wa SADC wamesusa na kuanza kuondoka Mozambique
 
Sie wakazi wa Tunduma kwa mujibubwa ramani hiyo hatutoathirika. Zaidi tutaanza kuwa wateja wa Zambia kwa bidhaa za bei nafui.
 
Bado kuna soko la Burundi na Rwanda kwani kwao ni mbali kupitishia mzigo huko Nacala. Pia sehemu ya DRC ni soko letu la uhakika katika masuala ya bandari.
Acha kukariri , umeshaambiwa Congo wamefufua reli ya kutoka DRC mpaka Angola Lobito , na ukiangalia na hili suala la vita ya Houthis inayoendelea pale middle east, meli hazipiti tena red sea na suez canal , wanazunguka south Afrika na kupitia huko Atlantic meli zinazotoka asia kwenda Europe na baadhi ya maeneo ya middle east , so logically ina make sense that means kuna traffic kubwa ya meli kwenye bandari za kusini kwa Afrika kama Cape town ,Lobito nk
Ndio maana DRC wanaona hiyo ni option nzuri kwani umbali huo ni mfupi tofauti na wa kutoka huko kwenda Dar

Ndio biashara zilivyo , unabadilika na kuadapt kila kukicha na si kukariri na kuwa dormant kama Tanzania tulivyo dormant Kwa vitu vingi ,na tunafanya vitu kwa mazoea bila ubunifu na adaptability ,Ndio umuhimu wa taifa kuwa na think tanks ,watu wanaokaa chini na kuumiza akili kwa kufanya analysis ya mambo na kuangalia vitu kwa mapana na kufanya maamuzi na mipango yenye akili na impacts nzuri kwa future ya nchi .
Na si huu uchawa na upumbavu wa kuteuana kupeana vyeo kimalaya malaya kama tunavyofanya hapa nchini
 
Uchumi inabidi kudiversify na kuwa na outputs na efficiency katika nyanja nyingi , si kuishi kwa kutegemea bandari tu ,wakati bandari hiyo tunategemea Zambia ,DRC ,Malawi na nchi chache sana ili tuingize faida ,hii ni failure .
Nchi inatakiwa tuwe wazalishaji wakubwa wa bidhaa za viwandani na tuwe wauzaji kwa majirani na nyingine tuuze nje ya nchi mbali huko , tusiishi kwa kubabaika na vipato vya malonya lonya ya kichina yanayoletwa kwa majirani zetu na sisi ndio tunalenga hapo tupate kodi mbaya zaidi tunabweteka na kuendelea kufanya mambo kimazoea kwa ufisadi na ukosefu wa maono tukidhania kila siku mambo yatakuwa vilevile ,hizo ni akili mfu za viongozi mazezeta wa ccm
Viongozi wenye akili wangewekeza kwa nguvu zote kuhakikisha hii nchi inakuwa Industrial superpower ukanda huu miaka yote hii zaidi ya 60 baada ya uhuru .
 
Na hii ndio solution ya kudumu ya matatizo ya kiuchumi nchi hii .
Huu uchumi mfu tulio nao ni kwamba hatuzsalishi sana na kuuza nje kwa wingi kama inavyotakiwa , yaani inabidi tufanye massive overhaul ya mfumo wa uongozi nchi hii top to bottom .
Kuna mazezeta wameshikilia vitengo ambavyo hawakufaa hata kuwa wafagiaji wa hizo ofisi .
Na Sera za kishenzi zote na politics chafu za ccm zibadilishwe ,yaani tuanze upya kabisa .


Tanzania inabidi iwe China ya East and South Africa ,tukifanikiwa hapa ,hata sekta yenyewe ya uchukuzi itapanuka sana maana pesa itakuwepo ya kutosha na utasafirishwa bidhaa zetu wenyewe na si kutegemea importations za malonya lonya Toma China kuja kwetu na kwa majirani zetu
 
Sasa Copper inaenda USA unataka pia ipite njia ndefu to Indian Ocean badala ya Atlantic? Na ukizingatia pia Lubumbashi ni karibu Atlantic Ocean kuliko Dar Port!!

Huu ulafi mwingine sasa ni hatari!!
 
Muhimu tuwe na share nzuri ya biashara ya bandari. Sio lazima tuwe namba moja. Kwa upande wa DRC tunaweza kutunza nafasi yetu kamba nba moja kwa kuwekeza kuimarisha miundombini na uwezo wa kusimamia wenyewe sio kukodishia wageni. Wanachofanya wageni ni usimamizi tu huku wenyewe tunawekeza mabilioni wao wanavuna huku wenyewe tukiambulia makombo.
 
Jamaa anaandika kile ambacho kinakuja muda huo kichwani, namuulizaga huwa unahisi unaandikia watu wajinga huku?

Hii tu post yenyewe ya Malawi kupewa hiyo bandari sio kitu cha kweli
Ni kama anapost ili alipwe ni bingwa wa matango pori yaani anaongeleaga mambo kirahisi sana ilihali hayako hivyo
 
Kuna vitu unachanganya
LPG ni liquified petroleum gas hii inatokana na crude oil na inachakatwa na oil refinery
nchi yeyote yenye oil refinery wanaichakata hii na ndo tunayoitumia majumbani kila siku kwenye mitungi

Kuna liquified natural gas (LNG) ambayo ni gas asilia na ipo mtwara na msumbiji kwenye bonde la ruvuma hii inachakwa na Natural gas refinery

Kusema mozambique wanayo natural gas refinery sio kweli ni gharama sana nilichosikia wako kwenye mchakato wa kukitengeneza
 
Kila siku nawaambia hii Nchi Ina shida kubwa sana ya watu wa planning na Wachumi wanaofikiria Kimkakati kujua kipi kianze na kifanyike wapi na kipi kifuate.

Mpaka Sasa hizo Barabara unazotaja zikikamilika tuu,Zambia tunampoteza
Watu wapo busy kumsifia mama unafikiri wana balls za kumshauri mambo makubwa kama hayo.af kinachoudhi wengi ni wasomi wakubwa tu wanakanyaga taaluma zao wanaenda kupiga uchawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…