Msumbiji yaanza kusafirisha Gesi kwenda Ulaya

Total Energies is the operator of the Mozambique LNG Project, with a 26.5 per cent stake. Its partners in the consortium are Mitsui of Japan, with 20 per cent, Mozambique's own National Hydrocarbon Company (ENH) with 15 percent, PRTTEP of Thailand with 8.5 per cent, and three Indian companies, ONGC Videsh Rovuma Limited, Beas Rovuma Energy Mozambique Limited, BPRL Ventures Mozambique, with 10 per cent each.

BPRL Ventures Bharat Gas Resources Ltd. is a wholly owned subsidiary of the Indian company Bharat Petroleum Corporation Ltd.
Source: allafrica.com
 
Hapo juu ndio wanufaika wa hiyo gesi ya wana Msumbiji.
 
Hata kwenye umeme angewekeza kwenye umeme wa Gesi leo kusingekuwa na mgao. Na uharibifu huu wa mazingira hata uwekezaji wa nyerere Dam utakuwa wa hasara tu
Ngumu kuamini lakini hata mimi nimeanza kuamini gas ingemaliza tatizo la umeme Tanzania, na lile bwana naona itakuwa hasara tupu, tumepewa zawadi ya gas lakini hata kujisaidia tuu kununua mitambo tuwashe umeme wetu tumeshindwa, ngumu sana kumwelewa mtu mweusi ni laana au ni kweli tuna low IQ?
 
Hapo juu ndio wanufaika wa hiyo gesi ya wana Msumbiji.
Sawa lakini wanalipa kodi, royalities etc na watu wanapata kazi, na Mozambique nao wana shares zao, ndio biashara zilivyo kila mtu lazima apate, usichanganye ile mikataba ya rushwa ya CCM ambayo hata wazungu wenyewe hawaielewi
 
Siku utakapomuelewa mtu mweupe utaniambia inshallah
 
Lakini Magufuli alisema gas siyo ya kwetu, iliishachukuliwa!

Na mimi nawauliza CCM, kwa nini gas ilitolewa Mtwara ikaletwa Dar?

Je, nani anasimamia usafirishaji wa gas kutoka Mtwara mpaka Dar?
Yule mzee alikuwa muongo na mfitini aliyejaa chuki sana
 
Tunazingatia kabila na asili kwa sababu kuna makabila yamejaa ukatili na roho mbaya. Watanzania sio wakatili na hawana roho mbaya
 
subiri facts hivyo hivyo. Wewe unajua kwanini wanavamiwa na wale wanaowaita magaidi. hivi unajua kwanini walishindwa kujenga LNG mpaka wakaamua kusafurish gesi kutumia FLNG kwa maana ya Floating Liquified Natural Gas?
Hiyo siyo fact ni nadharia.
 
Tusipotafuta dawa ya wanasiasa kuwa waamuzi wa mwisho wa maisha yetu na sio watendaji tutalia milele
 
Hivyo ndo biashara ilivyo dunia nzima. We unataka kila kitu kifanywe na serikali?
 
Kwaiyo kila kitu mlitaka afanye Magufuli!nyie mle kuku kwa mlija, Magufuli alifanya aliyoyaweza,nanyi fanyeni yaliomshinda,Sio kila kitu Magufuli wakati ameongoza miaka 5 tu.
Kwa miaka mitano aliyoongoza aneturudisha nyuma sana kwa kuacha kuendeleza mambo ya msingi kwa chuki zake tu.

Leo hii LNG plant yetu ingekuwa imeshaanza uzalishaji na tunaingiza matrilion kutoka ulaya na Asia huko.
 
Katika vitu waafrika wanadanganyika ni kufikiri gesi inayopatikana ni mali yao...gesi ikishazalishwa na kusafirishwa sio mali ya nchi tena.mle tutaambulia vitu kama ajira pekee na mirahaba...ndiyo maana Mwalimu Nyerere aliipa kazi TPDC ifanye kazi ya kutafuta na kuzalisha gesi ili ikipatikana hata kama baada ya miaka 50 itakuwa mali ya watz...kwa haraka tukawapa watu binafsi.ukitaka kujua hebu fuatilia bei _gesi msumbiji kama ina unafuu wowote
 
Na hakika material yote ya ujenzi wa visima vya kuchakata gesi ya LNG northern Mozambique yalipita Bandari ya Mtwara

HAPA KAZI TU, pumbavu!
 
Na hakika material yote ya ujenzi wa visima vya kuchakata gesi ya LNG northern Mozambique yalipita Bandari ya Mtwara

HAPA KAZI TU, pumbavu!
Hii nchi ina katiba inayowapa nguvu sana wanasiasa ambapo wanaweza kufanya lolote wakati wowote ujinga mtupu. Na tutazidi kuwa nyuma hadi mwisho wa dunia
 
Sisi tuliambiwa tumepigwa!! Sio yetu !! Tutaisafirishaje. ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…