Exy
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 3,146
- 5,520
Tafuta timu yako afu itaa wanaofaa kwako.kwa level yake kwa sasa. afai kuitwa kwenye kikosi cha taifa. he is poor.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafuta timu yako afu itaa wanaofaa kwako.kwa level yake kwa sasa. afai kuitwa kwenye kikosi cha taifa. he is poor.
give me reasons why aitwe?? and not peregrino??Tafuta timu yako afu itaa wanaofaa kwako.
Muhimu tu asije akawa prove wrong, halafu mkaishi kwa aibu humu jukwaani kama ilivyo kwa Mhasibu wa Mo.Kuna rumours that Msuva amesign youn Africans baada ya kutemwa na js kabylie. leo kacheza vibaya sana. kiwango amna kitu.
yanga mkimbieni huyu mtu. atakuja kupoteza mda na nafasi za kinda hapo yanga.
Kaisha timu ya taifa pia tumteme time is up. Afcon pelegrino ndani Msuva hapana. Hamna mchezaji mule, atulie tu bench.
Mbona mlinunua mkudeU cant buy a reject. Young African hawawezi mnunua
he is better than msuva
unakunywa mataputapu?Kuna rumours that Msuva amesign youn Africans baada ya kutemwa na js kabylie. leo kacheza vibaya sana. kiwango amna kitu.
yanga mkimbieni huyu mtu. atakuja kupoteza mda na nafasi za kinda hapo yanga.
Kaisha timu ya taifa pia tumteme time is up. Afcon pelegrino ndani Msuva hapana. Hamna mchezaji mule, atulie tu bench.