Zombie S2KIZZY
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 826
- 1,622
Wanawashangaa madada zetu walvo na mazigoWanatafuta maisha
Mtaa Gani tufahamu na mkoa gani?Kunani mtaani kumejaa hawa vijana kutoka Lagos na Abuja na wako kimakund makund Kuna nn Hapa bongo ?
Je wamekuja kutalii au wamekuja kuota jua la bongo maana wanalalamika bongo joto au wamekuja na mishe zngne tusizozijua au kutafuta maisha? Ila wanantia mashaka wanavozd kuwa weng na wengne hawatak kutambulika kama ni wanaijeria maana ukimsalimia iwe ni kiswahili kiarabu au kiingeleza hakujb anatumbua macho like bubu.
Kunani naulizaaa bila kusahau wamalawi had kwenye sensa wamesema wao n watanzania na wanauficha mno uraia wap.
Dar mitaa kwanzia tegeta ,ununio mpk mbweniMtaa Gani tufahamu na mkoa gani?
Aisee wasije wakawa Boko Haram.Dar mitaa kwanzia tegeta ,ununio mpk mbweni
Mifumo dhaifu ya kimtandao ni kivutio namba moja kwa hao mabwana
Mifumo rahisi ya kimichongo ya kufanikisha dili mbalimbali haramu ni kivutio namba nyingine kwa hao mabwa
Ndy inaweza kua kwel sabab wanaija ni wanjanja Sana wa mitandao hata kule kwao kampuni za kubet zilishakimbiaMifumo dhaifu ya kimtandao ni kivutio namba moja kwa hao mabwana
Mifumo rahisi ya kimichongo ya kufanikisha dili mbalimbali haramu ni kivutio namba nyingine kwa hao mabwana
Kwanini waje kutafuta maisha bila utaratibu?Wamekuja kutafuta maisha, sisi vijana wetu wanabanana mjini kutembeza bahasha kujaribu kuokota kazi, badala ya kuvuka boda
Kuna mdada mmja alpata bwna mnaija wakadate wee mwsh wa siku yule jamaa akamwambia nataka tufake kama tumeoana ili uhamiaj waniruhusu nifany biashara Zang huku mdada akaulza n biashara gan utajua badae basi mdada akakataa hiyo insh na akakata mahusianoAisee wasije wakawa Boko Haram.
mmm, tunatakiwa tuwe makini, nigeria bado wana hasira na vita ya Biafra..TZ iliwasapoti waasi Malawi bado wanalikodolea macho ziwa nyasa, wanatamani sana mafuta na gesi iliyopo katika ukanda huo wa ziwa. TZ tunatakiwa tuongeze umakiniKunani mtaani kumejaa hawa vijana kutoka Lagos na Abuja na wako kimakund makund Kuna nn Hapa bongo ?
Je wamekuja kutalii au wamekuja kuota jua la bongo maana wanalalamika bongo joto au wamekuja na mishe zngne tusizozijua au kutafuta maisha? Ila wanantia mashaka wanavozd kuwa weng na wengne hawatak kutambulika kama ni wanaijeria maana ukimsalimia iwe ni kiswahili kiarabu au kiingeleza hakujb anatumbua macho like bubu.
Kunani naulizaaa bila kusahau wamalawi had kwenye sensa wamesema wao n watanzania na wanauficha mno uraia wap.
Na wao wanaita matako ety hahahaWanatafuna sana misambwanda ya dada zetu hawa
Ova
Duuh hatar kubwa nikikumbuka na lile tamko la ubalozin USA mmmhmmm, tunatakiwa tuwe makini, nigeria bado wana hasira na vita ya Biafra..TZ iliwasapoti waasi Malawi bado wanalikodolea macho ziwa nyasa, wanatamani sana mafuta na gesi iliyopo katika ukanda huo wa ziwa. TZ tunatakiwa tuongeze umakini
Ndo ushangaeKwanini waje kutafuta maisha bila utaratibu?
Na kwanini wanaficha identity zao?