Mtaa umejaa wanaijeria

Wee ndo Dalali wao
Never argue with an idiot in public because the general public will have no way of knowing who is who.

๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ

Umesoma nilicho andika tangu mwanzo wa hii thread au NDIO umekurupuka na mihemko yako๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜Š๐Ÿค“
 
Long journey to where you fool!!?..Kenya wanajulikana na tunawalisha
Kwenye hili haina haja ya ushabiki kama wa SIMBA NA YANGA ๐Ÿค“๐Ÿค ๐Ÿ˜Š

Google inaweza kukupa fact so easily kua kati ya nchi yetu TANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ VS KENYA nani yupo ahead ya mwenzake ki uchumi na maendeleo...
wenye kufahamu wanaweza kukusaidia pia
Tunaipenda Tanzania nchi yetu kisiwa Cha amani pia Kwenye resources tumewazid Kila kitu wa Kenya iz very true..
Wanasemaga mpak mlima Kilimanjaro ni wao๐Ÿค“

Kijana siku nyingine usiniite majina ya ajab ajab wew kitu pekee unacho nizidi mimi ni UJINGA ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Pia jitahid ku BRAIN ๐Ÿง  YOUR EYES
 
Mifumo dhaifu ya kimtandao ni kivutio namba moja kwa hao mabwana

Mifumo rahisi ya kimichongo ya kufanikisha dili mbalimbali haramu ni kivutio namba nyingine kwa hao mabwana
Umemaliza mkuu. Tutapigwa mpaka tuchakae. Lakini muda mwingine ni fursa pia kwa vijana wetu watafundishwa mengi na hawa vijana wanigeria hasa utafutaji,japo utafutaji wao 95% ni uwizi hasa wa mtandaoni. Hawa kenge wanaweza kuhamisha Bank nzima na msijue mmepigwaje?. Hapo mpaka muombe msaada FBI
 
tuwe makn wakikosa ajira watakuwa magaidi au majambaz
 
Chama cha ccm kimejaa watu wasio raia chungu mzima wamejipenyeza hadi kwenye siasa za chama tawala ni wengi mno ....tatizo ni serikali ya ccm kuongozwa na watu wasio na akili ...mfano swala la vitambulisho vya taifa kukwama tena walio kwamisha vitambulisho vya taifa ni wageni walio ndani ya ccm kwa makusudi nilitakaga kuleta uzi kuhusu jinsi gani vitambulisho vya taifa vimekuwa ni upumbavu usio na faida kwa taifa
 
Sio wapopo tu kuna hawa Wacomoro eeeh!!wapo kama panya road na wakitembea wanatembea kundi zima.
 
dah watu kama wew hamfai kweny nchi , ni watu wakurupukaj na hamtak kutumia akili zenu vzr huenda ukawa mnufaika wa uhamiaj harama huu au uwepo wa hawa wahamiaj haram
 
mmm, tunatakiwa tuwe makini, nigeria bado wana hasira na vita ya Biafra..TZ iliwasapoti waasi Malawi bado wanalikodolea macho ziwa nyasa, wanatamani sana mafuta na gesi iliyopo katika ukanda huo wa ziwa. TZ tunatakiwa tuongeze umakini
Ziwa lilishachukuliwa kitambo sana mpaka sasa linaitwa ziwa Malawi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ