Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Never argue with an idiot in public because the general public will have no way of knowing who is who.Wee ndo Dalali wao
Kwenye hili haina haja ya ushabiki kama wa SIMBA NA YANGA ๐ค๐ค ๐Long journey to where you fool!!?..Kenya wanajulikana na tunawalisha
Wauza ngada wazuriKuna mdada mmja alpata bwna mnaija wakadate wee mwsh wa siku yule jamaa akamwambia nataka tufake kama tumeoana ili uhamiaj waniruhusu nifany biashara Zang huku mdada akaulza n biashara gan utajua badae basi mdada akakataa hiyo insh na akakata mahusiano
Umemaliza mkuu. Tutapigwa mpaka tuchakae. Lakini muda mwingine ni fursa pia kwa vijana wetu watafundishwa mengi na hawa vijana wanigeria hasa utafutaji,japo utafutaji wao 95% ni uwizi hasa wa mtandaoni. Hawa kenge wanaweza kuhamisha Bank nzima na msijue mmepigwaje?. Hapo mpaka muombe msaada FBIMifumo dhaifu ya kimtandao ni kivutio namba moja kwa hao mabwana
Mifumo rahisi ya kimichongo ya kufanikisha dili mbalimbali haramu ni kivutio namba nyingine kwa hao mabwana
tuwe makn wakikosa ajira watakuwa magaidi au majambazKunani mtaani kumejaa hawa vijana kutoka Lagos na Abuja na wako kimakund makund Kuna nn Hapa bongo ?
Je wamekuja kutalii au wamekuja kuota jua la bongo maana wanalalamika bongo joto au wamekuja na mishe zngne tusizozijua au kutafuta maisha? Ila wanantia mashaka wanavozd kuwa weng na wengne hawatak kutambulika kama ni wanaijeria maana ukimsalimia iwe ni kiswahili kiarabu au kiingeleza hakujb anatumbua macho like bubu.
Kunani naulizaaa bila kusahau wamalawi had kwenye sensa wamesema wao n watanzania na wanauficha mno uraia wap.
huko pia panya road wamekuwa weng mwez uliopita Bunju hapoDar mitaa kwanzia tegeta ,ununio mpk mbweni
ni lzm ila wajinga hawatoelewa , wanaeza saidia njia za panya kuingiza silaha hao wanataka ela tuAisee wasije wakawa Boko Haram.
Chama cha ccm kimejaa watu wasio raia chungu mzima wamejipenyeza hadi kwenye siasa za chama tawala ni wengi mno ....tatizo ni serikali ya ccm kuongozwa na watu wasio na akili ...mfano swala la vitambulisho vya taifa kukwama tena walio kwamisha vitambulisho vya taifa ni wageni walio ndani ya ccm kwa makusudi nilitakaga kuleta uzi kuhusu jinsi gani vitambulisho vya taifa vimekuwa ni upumbavu usio na faida kwa taifaKunani mtaani kumejaa hawa vijana kutoka Lagos na Abuja na wako kimakund makund Kuna nn Hapa bongo ?
Je wamekuja kutalii au wamekuja kuota jua la bongo maana wanalalamika bongo joto au wamekuja na mishe zngne tusizozijua au kutafuta maisha? Ila wanantia mashaka wanavozd kuwa weng na wengne hawatak kutambulika kama ni wanaijeria maana ukimsalimia iwe ni kiswahili kiarabu au kiingeleza hakujb anatumbua macho like bubu.
Kunani naulizaaa bila kusahau wamalawi had kwenye sensa wamesema wao n watanzania na wanauficha mno uraia wap.
Uhamiaji ni toilet paper ya wahalifu wa hivyo ... wanaitumia kuchambia tu nikama tbsmambo ni mengi,uhamiaji wamelala
form 4 failures walishindwa magazijuto wataweza kujua thaman ya usalama dhidi ya kilo 5mambo ni mengi,uhamiaji wamelala
Sio wapopo tu kuna hawa Wacomoro eeeh!!wapo kama panya road na wakitembea wanatembea kundi zima.Kunani mtaani kumejaa hawa vijana kutoka Lagos na Abuja na wako kimakund makund Kuna nn Hapa bongo ?
Je wamekuja kutalii au wamekuja kuota jua la bongo maana wanalalamika bongo joto au wamekuja na mishe zngne tusizozijua au kutafuta maisha? Ila wanantia mashaka wanavozd kuwa weng na wengne hawatak kutambulika kama ni wanaijeria maana ukimsalimia iwe ni kiswahili kiarabu au kiingeleza hakujb anatumbua macho like bubu.
Kunani naulizaaa bila kusahau wamalawi had kwenye sensa wamesema wao n watanzania na wanauficha mno uraia wap.
dah watu kama wew hamfai kweny nchi , ni watu wakurupukaj na hamtak kutumia akili zenu vzr huenda ukawa mnufaika wa uhamiaj harama huu au uwepo wa hawa wahamiaj haramBadala ya kuwashangaw Wachina, Waarabu na Wahindi wewe unamshangaa Mwafrika mwenzako!? Kama wanaishi kihalali hapa nchini wewe kinachokujalisha ni nini!? Na wewe nenda nchini kwao ukatafute fursa za kimaisha.
Rais Samia akihutubia taifa leo amesema kuwa huwa anasoma maoni kuhusu Serikali yake kupitia mtandao maarufu wa Jamii Forums. Huoni kuwa akisoma huu uzi wako atakushangaa sana kuhusu uelewa wako, wakati yeye tayari kashaifungua nchi kwa ajili ya wawekezaji kutoka nje ya nchi.
Hawajalala ndugu wanakula kwa urefu wa kamba zaomambo ni mengi,uhamiaji wamelala
Ziwa lilishachukuliwa kitambo sana mpaka sasa linaitwa ziwa Malawimmm, tunatakiwa tuwe makini, nigeria bado wana hasira na vita ya Biafra..TZ iliwasapoti waasi Malawi bado wanalikodolea macho ziwa nyasa, wanatamani sana mafuta na gesi iliyopo katika ukanda huo wa ziwa. TZ tunatakiwa tuongeze umakini
Nasikia hao wamehamia Tanga. Alafu Wana roho mbaya sana wakiwa huko kwaoSio wapopo tu kuna hawa Wacomoro eeeh!!wapo kama panya road na wakitembea wanatembea kundi zima.
Makumbusho wapo tena wauza nguo na cm.Dar mitaa kwanzia tegeta ,ununio mpk mbweni
usipokuwa mtu wakuchukua tahdhari bas utastuka kumekucha I.e Somalia , Drc , Centra Afrika na SudanUna waza kuchinjwa tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji117]
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app