Mtaala Mpya wa Elimu Kenya, Competency Based Carriculum (CBC). Sisi bado tuko busy na kukaririsha watoto

Mtaala Mpya wa Elimu Kenya, Competency Based Carriculum (CBC). Sisi bado tuko busy na kukaririsha watoto

Hivi una habari maparachichi yao mengi wanayo export wanayatoa Tanzania?

Mimi hao wakenya nawafahamu kila kona.
Ni watu waongo waongo wanaopenda kupika data ili waonekane wapo vizuri kumbe hakuna kitu.

Hivi unafahamu kuwa bado wanapokea misaada ya chakula karne hii?
Kwa hio kuyatoa tanzania ndio ishu kubwa kuliko kuya export? tungekuwa tuna akili si tunge export wenyewe.
Korosho wahindi walipo jitoa si zilituozea mpaka leo soko limeyumba.
Ndugu kuloma si ujanja bali ujanja ni ku process na ki export.
Japan hawana mashba ola ni nchi tajiri kuliko sisi wenye mashamba makubwa.
We have to learn how to do business like Kenyans, they are ahead of us in EA zone.
 
Kwa hio kuyatoa tanzania ndio ishu kubwa kuliko kuya export? tungekuwa tuna akili si tunge export wenyewe.
Korosho wahindi walipo jitoa si zilituozea mpaka leo soko limeyumba.
Ndugu kuloma si ujanja bali ujanja ni ku process na ki export.
Japan hawana mashba ola ni nchi tajiri kuliko sisi wenye mashamba makubwa.
We have to learn how to do business like Kenyans, they are ahead of us in EA zone.
Siku ukipata bahati ya kuitembelea Kenya utaacha tabia ya kuifananisha Tanzania na hizo cha ajabu failed state.

Unaanzaje kufananisha Tanzania na failed state inayopokea chakula cha msaada karne hii?
 
Kenya wameisha anza mfumo wao mpya wa elimu wa CBC yaani Competency Based Curriculum, huu mfumo unachukua nafasi ya mfumo ulio kuwepo ambao ni sawa tu na wetu kwa sasa, mfumo wa Mwalimu kuingia na chaki na kuanza kuandika na watoto kuandika au kukariri.

Huu mfumo wao mpya unafuta pia mitihani ya Taifa, hivyo kwa walio anza na huu mfumo hawatakuwa na kitu kinaitwa mitihani ya Taifa bali watapimwa mashuleni mwao.

Huu mfumo pamoja na kwamba ni ghari sana lakini ni mfumo mzuri kabisa wa wakati huu, huu mfumo watoto wana fanya Practical zaidi, group work na Group Discusion kuliko kaukaririshwa vitu na Kwa wale wenye watoto wanao soma zile shule za mbele za International School, wanatumia sana huu mifumo pia.

Tanzania bado tunawakaririsha wanafunzi, kuna she moja nilishangaa kukuta Wanafunzi wa Darasa la saba tangu janauary hadi wanahitimu walikuwa wana solve tu past paper, yaank ni mwendo wa past paper mwanzo mwisho, tujiulize mwanafunzi anapata nini kwenye hizo past paper zaidi ya kukariri?

Pia hii mifumo ya mitihani ya Taifa isha pitwa na wakati, na hii ndo inafanya shule zijikite kukaririsha watoto past paper, watoto wanafundishwa kujibu paper na sio kuelewa mambo.

Tuna lag behind.

Shida siyo huo mfumo! Je, walimu wote wameandaliwa vyema kuufundisha mfumo huo? Isije ikawa ni copy and paste tu! Mazingira yatatoa jibu!
 
Elimu bila mitihani hiyo sio elimu hata mara moja. Marekani, Uk, Norway kote wanafanya mitihani na bado ukitaka kwenda nje ya nchi kusoma wanataka tena ufanye mtihani wao wa kiingereza ili kukupima huko marekani ndio unafanya na pepa la hesabu. Msije mkadanganywa ninyi elimu bila mitihani sio elimu.

Upo sahihi kabisa! Hawa wanadhani kila kitu ni cha kudandia tu! Nenda Oxford au Havard na sehemu zote duniani, wapi na level ipi ya wanafunzi hawafanyi mitihani! Mtihani ni moja ya indicators za kumpima mwanafunzi ameelewa vipi maarifa kwa kipindi fulani alichojifunza!
 
Upo sahihi kabisa! Hawa wanadhani kila kitu ni cha kudandia tu! Nenda Oxford au Havard na sehemu zote duniani, wapi na level ipi ya wanafunzi hawafanyi mitihani! Mtihani ni moja ya indicators za kumpima mwanafunzi ameelewa vipi maarifa kwa kipindi fulani alichojifunza!
Mitihani wanafanya ...kilicho ondolewa ni national exams
 
Hata wa kenya hihi system inawashinda there not as competent as mnavo fikiria, waKenya wengi mkazo wao uko kwenye lugha na kupata minimum basic skills za ku ajiriwa tu......elimu ya Tz sio mbaya kivile kwa wale wanao weza kichaguwa shule nzuri na kumudu ada zao.

Ungeandika kwa kiswahili hii paragraph yote. Umechefua tu hicho kiingereza, sidhani hata wewe mwenyewe ukisoma kama unaelewa. Kwa mfano hapo unaposema ‘there not’ nadhani ulitaka kuandika ‘ they are not’. Umerudi na wewe kwenye mborongo wa ligha! Shida sana!
 
Mfumo bora wa Elimu unapatikana Finland. Ukitaka kuuelewa fuatilia wana mfumo upi wa elimu utaona wapo tofauti.

1.Watoto wanatakiwa kuenda shule saa tatu. Ili kupata muda wa kulala wanasema mtoto anatakiwa kulala ili ubongo wake uweze kudevelope vizuri maeneo muhimu.

2. Darasa moja lina walimu zaidi ya m'moja. Yaani instructor ni m'moja wengine wanasimamia tu kuelekeza watoto namna ya kufanya tasks na kuwasikiliza.

3. Hakuna mitihani , ni mwendo wa assignments tu na class activities na group works no individual tests au assignments. Wana encourage zaidi team work na sio individual capabilities.

4. Mkao ni mduara kama meza za bar na sio kama huu mkao tunaokaa.

5. Walimu primary minimum qualifications ni Masters ya elimu ya msingi. Si mchezo yaani.

Mengine mengi sijayasema hapa ........ Wapo vema.

Nakupa heko!
 
Elimu ni zaidi ya shule. Uwezo wa mtu unaanzia kwenye malezi.

Watu wangapi wamesoma na kurudi hapa Bngo na hawana jipya lolote?

Lundo la watu samesoma huko nje ya nchi na kurudi hapa kuuza iPhone Makumbusho.

Education means training the mind to think! Lugha ya kiingereza is not the definition of education.
 
Mitaala yetu ya ovyo na yenye kukakarisha wanafunzi ndiyo iliyotufikisha hapa. Badala ya wanasiasa kushughulikia matatizo ya elimu, wanashughulikia matumbo yao mapana yasiyojaa.
View attachment 1992690
Tanzania tuna watu kibao wamesoma nje Ulaya na Marekani mbona hatuoni Cha maana walichogundua au Cha Ajabu wanachofanya?
 
Mitihani wanafanya ...kilicho ondolewa ni national exams
Tatizo ni moja huo mfumo mwalimu anayekufundisha ndie pekee anayeku access kuwa wewe umefaulu Hakuna external examiner wa kuthibitisha kuwa uko vizuri.

Mwalimu mvivu anaweza hata asifundishe akakupa marks za bure

Mitihani ya kitaifa lengo ni kuthibitisha Kama external examiner kuwa mwalimu kafanya kazi sawasawa na mwanafunzi je yukoje kiakili?

Huo mfumo wa Kenya mbovu sababu unamwondoa external examiner kwa hiyo kunakuwa Hakuna external examiner wa kuthibitisha ubora wa aluchofundisha mwalimu na ubora wa mwanafunzi
 
Mitihani wanafanya ...kilicho ondolewa ni national exams
Sasa national exam inatatizo gani wewe uvivu wa kusoma tu. Watu wengi wanaofeli national exam ndio wanaleta shida kwenye huu uzi.
Mtihani hauna shida kwenye elimu ya Tanzania, shida ipo kwenye kuelewa na kueleweshwa.
 
Tanzania tuna watu kibao wamesoma nje Ulaya na Marekani mbona hatuoni Cha maana walichogundua au Cha Ajabu wanachofanya?
Hawo nao ni ovyo tu hawana maana yoyote ktk nchi hii.
 
Hivi una habari maparachichi yao mengi wanayo export wanayatoa Tanzania?

Mimi hao wakenya nawafahamu kila kona.
Ni watu waongo waongo wanaopenda kupika data ili waonekane wapo vizuri kumbe hakuna kitu.

Hivi unafahamu kuwa bado wanapokea misaada ya chakula karne hii?
Kwa hio kuyatoa tanzania ndio ishu kubwa kuliko kuya export? tungekuwa tuna akili si tunge export wenyewe.
Korosho wahindi walipo jitoa si zilituozea mpaka leo soko limeyumba.
Ndugu kuloma si ujanja bali ujanja ni ku process na ki export.
Japan hawana mashba ola ni nchi tajiri kuliko sisi wenye mashamba makubwa.
We have to learn how to do business loke Kenyans, they are ahead of us in EA zone
Tatizo ni moja huo mfumo mwalimu anayekufundisha ndie pekee anayeku access kuwa wewe umefaulu Hakuna external examiner wa kuthibitisha kuwa uko vizuri.

Mwalimu mvivu anaweza hata asifundishe akakupa marks za bure

Mitihani ya kitaifa lengo ni kuthibitisha Kama external examiner kuwa mwalimu kafanya kazi sawasawa na mwanafunzi je yukoje kiakili?

Huo mfumo wa Kenya mbovu sababu unamwondoa external examiner kwa hiyo kunakuwa Hakuna external examiner wa kuthibitisha ubora wa aluchofundisha mwalimu na ubora wa mwanafunzi
Mkuu utafundishwa na mwalimu mmoja toka la kwnza hadi chuo?
Mbona hawa wa mfumo wa sasa wanavujisha mitihani hilo haulioni.
Huwezi zuia mabadiroko kisa mwalimu mvivu.
Ulaya wana home school kitambo wewe bado unaamini mifumo ile ya kale tu huku aliekurithisha hoo ilimu ashaboresha.
Sio mda maroboti yataanza kufanya kazi sisi bado tunaamini yale ya kale.
Unautetea huu mfumo swali,
Umetusaidia nini tangu tupate uhuru wakati barabara wanajenga wachina ?
Mfumo huu haujawezesha kugundua teknolojia yoyoye ya mana inayoitambulisha TZ kuwa ina mfumo mzuri wa elimu. Kwa hio hata tukilivunja hili limfumo hskuna hasara yoyote tutayopata ni woga usio na maana.
Ni sawa na mtu kuhofia kupoteza mtaji huku hana hik mtaji au wale wanaohofia kuindoa ccm madarakani hatutaendelea huku ccm yenyewe haileti maendeleo sawa na nchi zingine.
Wazungu wame take risk leo wapo mbali sisi woga wa nini.
 
Kwa hio kuyatoa tanzania ndio ishu kubwa kuliko kuya export? tungekuwa tuna akili si tunge export wenyewe.
Korosho wahindi walipo jitoa si zilituozea mpaka leo soko limeyumba.
Ndugu kuloma si ujanja bali ujanja ni ku process na ki export.
Japan hawana mashba ola ni nchi tajiri kuliko sisi wenye mashamba makubwa.
We have to learn how to do business loke Kenyans, they are ahead of us in EA zone

Mkuu utafundishwa na mwalimu mmoja toka la kwnza hadi chuo?
Mbona hawa wa mfumo wa sasa wanavujisha mitihani hilo haulioni.
Huwezi zuia mabadiroko kisa mwalimu mvivu.
Ulaya wana home school kitambo wewe bado unaamini mifumo ile ya kale tu huku aliekurithisha hoo ilimu ashaboresha.
Sio mda maroboti yataanza kufanya kazi sisi bado tunaamini yale ya kale.
Unautetea huu mfumo swali,
Umetusaidia nini tangu tupate uhuru wakati barabara wanajenga wachina ?
Mfumo huu haujawezesha kugundua teknolojia yoyoye ya mana inayoitambulisha TZ kuwa ina mfumo mzuri wa elimu. Kwa hio hata tukilivunja hili limfumo hskuna hasara yoyote tutayopata ni woga usio na maana.
Ni sawa na mtu kuhofia kupoteza mtaji huku hana hik mtaji au wale wanaohofia kuindoa ccm madarakani hatutaendelea huku ccm yenyewe haileti maendeleo sawa na nchi zingine.
Wazungu wame take risk leo wapo mbali sisi woga wa nini.
Sawa tuchukulie mfumo wetu wa elimu mbovu Sasa inakuweje tumesomesha watu kibao nje ya nchi Ulaya na Marekani huko unakosema elimu mbona Hakuna walichogundua Hilo unaliongeleaje?
 
Education means training the mind to think!
Uko sahihi ndio maana tumesomesha watu kibao Ulaya na Marekani kwenye best schools na universities lakini Hakuna Cha maana wanachogundua sababu thinking haiamki wanaishia kumeza notisi tu jitu bwege hata ulipeleke best universities in the world litabaki bwege tu likirudi nchini hamna Cha maana litafanya maana mind haiamki ku think
 
Kenya wameisha anza mfumo wao mpya wa elimu wa CBC yaani Competency Based Curriculum, huu mfumo unachukua nafasi ya mfumo ulio kuwepo ambao ni sawa tu na wetu kwa sasa, mfumo wa Mwalimu kuingia na chaki na kuanza kuandika na watoto kuandika au kukariri.

Huu mfumo wao mpya unafuta pia mitihani ya Taifa, hivyo kwa walio anza na huu mfumo hawatakuwa na kitu kinaitwa mitihani ya Taifa bali watapimwa mashuleni mwao.

Huu mfumo pamoja na kwamba ni ghari sana lakini ni mfumo mzuri kabisa wa wakati huu, huu mfumo watoto wana fanya Practical zaidi, group work na Group Discusion kuliko kaukaririshwa vitu na Kwa wale wenye watoto wanao soma zile shule za mbele za International School, wanatumia sana huu mifumo pia.

Tanzania bado tunawakaririsha wanafunzi, kuna she moja nilishangaa kukuta Wanafunzi wa Darasa la saba tangu janauary hadi wanahitimu walikuwa wana solve tu past paper, yaank ni mwendo wa past paper mwanzo mwisho, tujiulize mwanafunzi anapata nini kwenye hizo past paper zaidi ya kukariri?

Pia hii mifumo ya mitihani ya Taifa isha pitwa na wakati, na hii ndo inafanya shule zijikite kukaririsha watoto past paper, watoto wanafundishwa kujibu paper na sio kuelewa mambo.

Tuna lag behind.
Mnavyoongea hivyo ni kama hamjui mfumo wa ajira wa nchi yenu.

Ndiyo ninyi baadae hamwataki wenye GPA under 2.5 sijui GPA gani huko.

Mara kama huna I au II hupati kazi....mara mwenye I asilinde bank alinde mwenye IV.

Halafu watoto wakitaka wakariri na wao wapate hizo I na GPA kubwa mnasema wanakaririshwa.

Mwanafunzi wa darasa 7 anaendaje form one bila kupiga msuli??

Si mnataka apate daraja C-A ndiyo achaguliwe kidato I??

Ili walimu wafundishe 'mambo' badala ya mitihani,basi kila anayesoma shule ya msingi aende sekondari...hapo wanafunzi watafundishwa badala ya kukaririshwa.

Yaani uwe bize na kufundisha masuala ya mengine uache 'past papers'??

Halafu aje mkuu wa wilaya sijui afisa elimu akuulize kwanini umefelisha??

Seriously??
 
Sawa tuchukulie mfumo wetu wa elimu mbovu Sasa inakuweje tumesomesha watu kibao nje ya nchi Ulaya na Marekani huko unakosema elimu mbona Hakuna walichogundua Hilo unaliongeleaje?
Sababu ni nyingi. Innovation au invention ina misingi na sio kila msomi ni innovator, inawezekana talent halisi hazijapelekwa bado.
Vile vile unampeleka mtu akasome chuo kikuu wakati ashakuwa poluted na mifumo yetu!
Mfano mwenzio chuo kikuu alishafundishwa kudizaini roboti,electronics circuits in primary school wewe unaanzio chuo kikuu utagundua nini?
Wazungu wanafundishwa computer programming wakiwa shule za msingi au sekondari sisi tunajifunza vyuoni, je utagundua software gani ?
Tunaishia kuandaa wasimamizi hata kama wameenda ulaya. Invention na innovation ni mchakato mrefu sana usione akina billgate ukafikiri ni raisi tu ukimpeleka mtu ulaya basi anakuwa mgunduzi, haipo hivyo kuna mambo mengi sana nyuma ya pazia.
 
Mnavyoongea hivyo ni kama hamjui mfumo wa ajira wa nchi yenu.

Ndiyo ninyi baadae hamwataki wenye GPA under 2.5 sijui GPA gani huko.

Mara kama huna I au II hupati kazi....mara mwenye I asilinde bank alinde mwenye IV.

Halafu watoto wakitaka wakariri na wao wapate hizo I na GPA kubwa mnasema wanakaririshwa.

Mwanafunzi wa darasa 7 anaendaje form one bila kupiga msuli??

Si mnataka apate daraja C-A ndiyo achaguliwe kidato I??

Ili walimu wafundishe 'mambo' badala ya mitihani,basi kila anayesoma shule ya msingi aende sekondari...hapo wanafunzi watafundishwa badala ya kukaririshwa.

Yaani uwe bize na kufundisha masuala ya mengine uache 'past papers'??

Halafu aje mkuu wa wilaya sijui afisa elimu akuulize kwanini umefelisha??

Seriously??
Ndo maana tunasema tuna mfumo mbovu wa elimu
 
Back
Top Bottom