Mtaala mpya wa elimu kufundisha coding katika shule za msingi na sekondari

Mtaala mpya wa elimu kufundisha coding katika shule za msingi na sekondari

Kusoma coding iwe ni lazima kama ilivyo hesabu. Specialization mbele huko. Coding kwa sasa ni sehemu ya maisha. Hizo program unazozisema ni too advanced for kids!
Kuna binadamu anaweza kuishi bila hesabu ? Hesabu is the building block ya kila somo au kila kitu katika maisha yetu, mathematics inasaidia thinking na logic huwezi fananisha na coding...,

Coding is an art, hata ukijua basics huenda mwingine akafanya kile kile unachofanya wewe more efficiently ndio maana nikasema gwiji wa haya mambo wewe mpe computer tu achezee (maisha ya sasa ambayo ni information at your fingertips kijana yoyote capable anajifundisha bila kulazimishwa kukariri)

That said iwepo tu culture ya kuelezea umuhimu wa haya mambo, clubs na marafiki kujiunga ili kudevelop hiki na kila..., kwa kasi tunayoenda huenda code unayojifunza leo mwezi wa nane ikawa obsolete, au kikapatikana kitu more efficient and effective ya kufanya kile kile unachofanya...

Narudia huku chini lets stick to the basics..., ila interested parties wanaweza kujifunza wakati wowote (self taught inatenga the average from the absolute brilliant)
 
Narudia huku chini lets stick to the basics..., ila interested parties wanaweza kujifunza wakati wowote (self taught inatenga the average from the absolute brilliant)
Kwenye age ya information technology, Computer is a basic foundation. Sio kama kipindi chetu.
Unaongelea self taught kwa sababu hawakufundishwa. After Primary kila mtu ataamua.
Kwa uzoefu wangu kuna watu nawafahamu ni fani nyingine (kuna madaktari, waalimu na wachumi kwa uchache) ambao wamejifunza Programming wenyewe.

Mfano huyu ni MD na ni hatari huko tuliko naye huko...
Screenshot from 2022-04-23 20-01-42.png


Tufundishe watoto mapema ili wanaopenda wajue mapema. Wasiopenda wataachana nayo!

Cha msingi tuhakikishe mahitaji yapo na tuanze na ku expand kidogo kidogo!
 
Serikali ya Kenya imepitisha mtaala mpya ambao wanafunzi wa shule ya msingi na sekondari watafundishwa coding.
Halafu baadae turudi kukataa ukweli kwamba hawa wakenya likija suala la ubunifu katika teknolojia na startups wanatuzidi.
Sisi bado hatuko serious katika mambo mengi hata elimu yetu pia ndo inazidi kuharibika.
Lawama zote kwa kijani hata usiende mbali..hawa jamaa wameinajisi nchi hii kwa kiwango kikubwa..mbaya zaidi wamegeuka fisi kwenye mnofu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Ukiondoa ujuha wa kujisifu na kujiona bora usiokua na maana kwa hawa wakikuyu ,kwenye swala la elimu mnalitendea sana haki
 
Why do you think it's not possible for primary?
From standard 4 onwards should be possible
Std 4 - Basics of Computers
Std 5- Basics of Python Language
Std 6 - writing Simple programs solving mathematical problems and related problems in console apps
Std 7 - Writing UIs and Simple Games with Python

It is very possible. But two things need to be done beforehand. 1. Programming teachers must be found or trained. There are many ways to solve this in our context and 2. We need computers and power. Again there are many ways to solve this.

We can start with select schools and expand. PPP is crucial here!
Zichaguliwe shule kama 10 za majaribio.

Waanze ku-scale up kutokana na vigezo vya uwezo wa shule kupata walimu wa aina hiyo.

Kwanza vijana wengi wanamaliza vyuo vikuu hawana ajira. Wapewe crash course ya ualimu na watengenezewe mitaala waende fundisha hizo course kuanzia shule ya awali na upili.
 
Sasa nchi mzima ikijua coding si itakuwa hatari

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama nchi bado hatujakidhi idadi ya coders, bado tuko wachache na soko linazidi kuongezeka kadiri jamii inaendelea kukumbatia teknolojia.

Sio kila mmoja atakua coder hatimaye, ila watakaokubali kuendelea hadi mwisho watanufaika, kwangu nina watoto wanne, mmoja ndiye ana utashi wa coding, kutwa yupo w3school anapambana japo pia huwa namsaidia, ila wengine imekua kama nawapush tu hawaitaki.
Nachojua kuna wengi wataikumbatia kama ikifanywa lazima shuleni. Itafanywa kuwa kama somo lingine lolote.
 
Tuanze na lile somo la historia la Kiswahili ili watoto wajue jinsi mabeberu walivyowalaghai mababu zetu na kuiba madini🐒
 
Tuanze na lile somo la historia la Kiswahili ili watoto wajue jinsi mabeberu walivyowalaghai mababu zetu na kuiba madini🐒
Watu wanadiscuss points za msingi, wewe umekalia kuweka ma-comment yako ya kiduwanzi!
 
Kama nchi bado hatujakidhi idadi ya coders, bado tuko wachache na soko linazidi kuongezeka kadiri jamii inaendelea kukumbatia teknolojia.

Sio kila mmoja atakua coder hatimaye, ila watakaokubali kuendelea hadi mwisho watanufaika, kwangu nina watoto wanne, mmoja ndiye ana utashi wa coding, kutwa yupo w3school anapambana japo pia huwa namsaidia, ila wengine imekua kama nawapush tu hawaitaki.
Nachojua kuna wengi wataikumbatia kama ikifanywa lazima shuleni. Itafanywa kuwa kama somo lingine lolote.
Mkuu sio lazima wawe coders wakijua basics unaweza hata wahamishia kwenye UX. Kuna mdada humu kamuintroduce mwanae kwenye UX, anaipenda sana na yuko form 1 nadhani baadae atakuja kuwa mzuri kwenye hayo mambo ukizingatia anapenda sana mambo ya art marangi rangi na graphics kwa ujumla
 
M nadhani in general computer science ingeanza kufundishwa kuanzia level ya chini,wale ambao watakuwa wanainterest nayo wataendelea in advance.
 
M nadhani in general computer science ingeanza kufundishwa kuanzia level ya chini,wale ambao watakuwa wanainterest nayo wataendelea in advance.
Mkuu mazingira matters sana, mimi nina mtoto ana miaka saba now, ana idea almost ya kila software anayoona naitumia kuanzia office, photoshop, illustrator, aegisub, trados studio, reaper, na mengine coz kakua anayaona na mimi simzuii kuchezea vitu vyangu japo kuna muda uwa anavivuruga lakini anapenda.
Nina home studio uwa sometimes anaenda anawasha anavaa headphones anaanza jirekodi mwenyewe anaimba nyimbo za shule halafu anajisikiliza. Ni mazingira tu
 
Hakuna mtoto kilaza shuleni. Kuna watoto wenye uwezo tofauti wa kuelewa. Tatizo ni mwalimu kuwa na wanafunzi wengi, ukosefu wa vifaa na mengine ambayo sote tunayajua.

Hata historia huwa wanafeli. Siamini kama watoto wa mikoa ya kusini ni vilaza. Ila kuna shida kule inahitaji kutatuliwa.

Hata hii computer inabidi ifanyiwe maandalizi au la itageuka kuwa laana na mzigo kwa watoto.

Tatizo sio somo, tatizo kuna masomo yanahitaji vitu kadhaa kama prerequisites ili mambo yaende.
Kwa hio walioweka msamiati wa low iq,high iq na normal ni wajinga ola wewe ndio mjuzi ?
Kwa hio kama shuleni hakuna vilaza Tanzania ni nchi ya ma 'geneus 'eti?
Unafurahisha genge au una andika uhalisia.Naona kama haupo siliasi hivi au unataka kuweka ligi!
 
Hawafaulu kwa sababu ya matatizo ambayo tunayajua. Waalimu, vitabu nk
Aliekwambia mashuleni kuna shida ya vitabu nani? Kuna sekondari Abbot zinapigwa vumbi tu hazina wasomaji. Msingi kuna vitabu lundo labda kama wanafunzi wamechana ola shule zinapelekewa vitabu vya kutosha.
 
Back
Top Bottom