Mtaala mpya wa elimu kufundisha coding katika shule za msingi na sekondari

Mtaala mpya wa elimu kufundisha coding katika shule za msingi na sekondari

Hesabu sio specialization. Hesabu ni kati ya basics. Hesabu ni pana saaanaaa haiwezi kuwa specialization. Au haujui maana ya specialization? Hesabu inazaa branches nyingi ambazo ndio zinakuwa specialization. Hata coding inaingia kidogo kwenye hesabu.
Coding ni specialization ambayo ni branch ya basics mbalimbali kama computer science na ICT ambazo zenyewe ni branches za masomo mengine kama hesabu nk.
Basi hujui maana ya hiyo Computer Programming na upana wake. Maana kama ulivyoelezea kwenye hesabu ndivyo na hiyo ilivyo!
 
Basi hujui maana ya hiyo Computer Programming na upana wake. Maana kama ulivyoelezea kwenye hesabu ndivyo na hiyo ilivyo!
BIG NO. Ni sawa useme hesabu na engineering ni kitu kimoja kwenye upana na specialization ambacho si kweli hata kidogo.
 
Running before you can Crawl...,

Secondary maybe..., Primary I doubt it..., ila haya mambo watoto wakiwa interested magwiji wengi ni self taught (ukiwa na interest kwenye haya mambo vitu vitajipa tu)

Primary kwanza tuhakikisha magazijuto tumezielewa
Primary nazani wataanza na zile arduino
 
Back
Top Bottom