Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,303
- 14,983
Na n mwaka wa 20 Sasa bado tunajadil swala la lughaSisi tupo kwenye mjadala mkali wa lugha ipi itumike kufundishia kuanzia shule ya msingi mpaka chuo[emoji1787]
Sawa ticha! Vitabu sio shida! Waalimu wa kutosha. Hakuna shida hata moja...!Aliekwambia mashuleni kuna shida ya vitabu nani? Kuna sekondari Abbot zinapigwa vumbi tu hazina wasomaji. Msingi kuna vitabu lundo labda kama wanafunzi wamechana ola shule zinapelekewa vitabu vya kutosha.
Sawa ticha wanafunzi wa Bongo wapo vilaza. I hope wewe sio kilaza wala hauko kwenye hao low IQ.Kwa hio walioweka msamiati wa low iq,high iq na normal ni wajinga ola wewe ndio mjuzi ?
Kwa hio kama shuleni hakuna vilaza Tanzania ni nchi ya ma 'geneus 'eti?
Unafurahisha genge au una andika uhalisia.Naona kama haupo siliasi hivi au unataka kuweka ligi!
inawezekana hata hapa kwetu, mi japo sikuendelea na maswala ya computer lakini O-level kwenye somo la ICT tulisoma HTML 5 japo ilikua kidogo, na NECTA form four swali lilikuja la HTML lilikuja kwenye prac, vilevile baadhi ya softwares za adobe tulijifunza basics zake na shule ilikua ya serikali,Kwanza isiwe laxima kila mtoto asome Programming wengime wasome application software kana graphics design, office, animation nk.
Mfano program kama toonz maker ni njema watoto waijue,
Wasome adobe, wasome gimps nk
Watoto wawe konki wapige code za kufa mtu, yani za kufa mtu.
Wanapomaliza wajue CSS,HTML, Javasctipt yani kwao iwe kama chai.
Website za shule,halmashairi zitengenezwe na wao badala ta graduate.
Ni sawa ila watu wanadhani kusoma computer ndio suluhisho la elimu TZ.inawezekana hata hapa kwetu, mi japo sikuendelea na maswala ya computer lakini O-level kwenye somo la ICT tulisoma HTML 5 japo ilikua kidogo, na NECTA form four swali lilikuja la HTML lilikuja kwenye prac, vilevile baadhi ya softwares za adobe tulijifunza basics zake na shule ilikua ya serikali,
Pamba secondary, Mwanza.
Mkuu English na computer vitu viwil tofauti, kumbuka kujua lugha haimaanishi wewe mwamba.Ni sawa ila watu wanadhani kusoma computer ndio suluhisho la elimu TZ.
Elimu ni dh na pana inayojumuisha mambo mengi. Wanashau engluxh tu inawasumbua hio comp itakuwaje.
Nina office na computer nawaza kufanya hii kitu niweke watu wakufundisha coding sijui italipaWhy do you think it's not possible for primary?
From standard 4 onwards should be possible
Std 4 - Basics of Computers
Std 5- Basics of Python Language
Std 6 - writing Simple programs solving mathematical problems and related problems in console apps
Std 7 - Writing UIs and Simple Games with Python
It is very possible. But two things need to be done beforehand. 1. Programming teachers must be found or trained. There are many ways to solve this in our context and 2. We need computers and power. Again there are many ways to solve this.
We can start with select schools and expand. PPP is crucial here!
Unajua unaloliongea au limekuja lenyewe kwa bahati mbaya.Mkuu English na computer vitu viwil tofauti, kumbuka kujua lugha haimaanishi wewe mwamba.
Italipa ukifanya homework yako vizuriNina office na computer nawaza kufanya hii kitu niweke watu wakufundisha coding sijui italipa
Hata sasq huyo mama enu anazunguka ulaya na marekani kuuza rasilimali zenuTuanze na lile somo la historia la Kiswahili ili watoto wajue jinsi mabeberu walivyowalaghai mababu zetu na kuiba madini[emoji205]
Naelewa lakini waanze kufundishwa sekondari. Ni kazi bure kuhangaika na watoto wote wajifunze coding primary. Tutakuwa tunatwanga maji kwenye kinu. Kuna mdau hapo juu katoa maoni kwa ngazi ya primary wawe na clubs na hiyo mambo ya coding iwe extra curricula activity. Kama tunataka coding iingizwe kati mtaala rasmi basi ianzie secondary form 1.Coders wazuri wengi walianza wakiwa wadogo. Si wanaanza ni basics unajua haya mambo ukikutana nayo ukubwani inakuwa kasheshe
Sababu ikiwa ni...?Kama tunataka coding iingizwe kati mtaala rasmi basi ianzie secondary form 1.
Coding ni specialization. Specializations hazitakiwi ziwepo kwenye elimu ya msingi (i.e mtaala rasmi kila mtu afundishwe darsani). Inafaa zaidi ziwepo kama extracurricular activities eg. after school clubs nk.Sababu ikiwa ni...?
Kinachoifanya iwe specialization ukilinganisha na hesabu ni nini?Coding ni specialization. Specializations hazitakiwi ziwepo kwenye elimu ya msingi (i.e mtaala rasmi kila mtu afundishwe darsani). Inafaa zaidi ziwepo kama extracurricular activities eg. after school clubs nk.
Coders wazuri wengi walianza wakiwa wadogo. Si wanaanza ni basics unajua haya mambo ukikutana nayo ukubwani inakuwa kasheshe
Hesabu sio specialization. Hesabu ni kati ya basics. Hesabu ni pana saaanaaa haiwezi kuwa specialization. Au haujui maana ya specialization? Hesabu inazaa branches nyingi ambazo ndio zinakuwa specialization. Hata coding inaingia kidogo kwenye hesabu.Kinachoifanya iwe specialization ukilinganisha na hesabu ni nini?
Hata mimi naungana na wewe, watu wakijua basics wenye passion nayo wanaendelea nayo watakuwa wazuri sanaWengi tunakumbana na coding ukubwani, kwanza mimi sikua najua hata mouse ni kitu gani, monitor yenyewe nilikua nadhani ni TV fulani hivi, ila leo natiririka coding, systems kadhaa ambazo zipo zinatumika.
Muhimu sana kutanguliza coding udogoni.