Mtaalam wa Saikolojia: Mwanaume asipolia tena kwa kutoa kabisa Machozi mara Nne kwa Mwezi ajue anaukaribisha Uwendawazimu

Mtaalam wa Saikolojia: Mwanaume asipolia tena kwa kutoa kabisa Machozi mara Nne kwa Mwezi ajue anaukaribisha Uwendawazimu

Bila shaka kuna wanaume wengi ambao huwa hawafanyi hivi(na Mimi nikiwemo ), sasa siwangekuwa wendawazimu.

Au huwa inachukua muda gani mpaka kupata huo Wenda wazimu?

Au hili swala ni jipya limeanza na hii mitano tena?...... Natania
Mkuu tutasikia na kuyaona mengi
 
Babu wa mtoa mada itakuwa ana tabia za kikekike. Kila mwezi analia mara 4 au zaidi.
 
Wewe unajiona uko gado lakini kwa hakika haupo gado.

Katika maisha kuna kupanda na kushuka, kuna Mwanamke na mwanaume, kuna usiku na mchana, kuna shetani na malaika, kuna majonzi na furaha, kuna kushoto na kulia, kuna wema na wabaya, sasa iweje kusiwe na kulia na kucheka.

Kulia ni sehemu ya maisha kama jinsi shida na raha ni sehemu ya maisha.

Kuto kulia kwa sababu fulani ni tatizo, Watu wengi hawajui.

Nasema tena mimi huwa nalia kama mtoto ninapojiona nipo mbele ya Mungu nikitoa shukurani au nikiomba shida zangu ziondoke, ila silii ili watu wasikie nikilia laa, bali nalia kiasi kwamba hakuna anayejua na hapo hupata faraja na moyo wangu hutulia.

That's my personal experience.
Ukilia Lia ndio shida zinatoka? Huo ni uwendawazimu haswaaa maana huwa mnashindana kukiliza mbele ya mapasta uchwara kwenye makanisa ya ujasiliamali afu mnanyamaza yaani mnapanga dakika za kulia,huu sasa ndio wehunwenyew imagine usingekuwa unalia ingekuwaje kama sio kutembea uchi
 
Ukilia Lia ndio shida zinatoka? Huo ni uwendawazimu haswaaa maana huwa mnashindana kukiliza mbele ya mapasta uchwara kwenye makanisa ya ujasiliamali afu mnanyamaza yaani mnapanga dakika za kulia,huu sasa ndio wehunwenyew imagine usingekuwa unalia ingekuwaje kama sio kutembea uchi


Wewe umeshikwa na hasira kusikia kwamba huwa ninalia.

Je umesoma vyema nilichoandika??

Watu wanalia mbele ya watu wengine kuumba msamaha au kuomba mahitaji yao yatimizwe sembuse mimi nisilie kuomba au kutoa shukrani mbele ya Mungu aliyeniumba???.

Yesu mwenyewe na manabii wengine walilia mbele ya Mungu kuomba misaada mimi ni nani nisilie mbele ya Mungu muumba??.

Wewe sio bure bali roho yako imetawaliwa na pepo mchafu, Ibilisi.

Mungu mwenye huruma akuongoze.
 
Back
Top Bottom