Dr. Sajjad Fazel
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 435
- 428
- Thread starter
- #261
nauliza Tiba ya vinyama sehemu ya haja kubwa Tiba Yake
Mkuu, Je hizi vinyama ni vidogo kama upele ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nauliza Tiba ya vinyama sehemu ya haja kubwa Tiba Yake
Dawa ya kuimarisha nguvu za kiume?
Hapana ya kuimarisha maana nmeathirika na punyeto.....Kama unauliza dawa kusaidia wakati unafanya mapenzi, hii hapa:
Sildenafil 50mg, ichukuwe saa moja kabla yakitendo.
Hapana ya kuimarisha maana nmeathirika na punyeto.....
Nina uvimbe kwenye tumbo la uzazi. Kuna dawa ya kuuondoa? Naomba msaada.
Asante Dr nitakupa mrejeshoMpakae calamine lotion kila siku mara mbili kwa muda wa siku tano. Naomba unipe mrejesho anavyoendelea. Asante.
Tatizo hii inaitwa: "Peripheral Neuropathy" na inatokana na tatizo mbali mbali.Nasumbuliwa sana na tatizo la miguu kuwaka moto, nn chanzo chake na tiba yake plz?
Tiba ya Midomo kubabuka na mba sugu
Asante Kati ya hizo ipi ya Mdomo na ipi ya mba sugu drTumia dawa hii yakupakaa Quadrajel kila siku mara mbili mpaka tatizo inaisha kabisa. Pamoja na dawa hii: Amoxiclav 625mg, kidonge kimoja kutwa mara mbili kwa siku saba.
Asante.
Asante Kati ya hizo ipi ya Mdomo na ipi ya mba sugu dr
Dr hujajibu tatizo langu la uvimbe kwenye kizazi.
Hizo mba hazipo kichwani tu zipo mwili mzima drHizo ni dawa za mdomo. Kwa ajili ya mba sugu kichwani tumia hii: Ketoconazole Shampoo.