Dr. Sajjad Fazel
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 435
- 428
- Thread starter
- #501
me nataka niwasiliane nae direct...ugonjwa ni siri ya mtu
Nitumie PM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
me nataka niwasiliane nae direct...ugonjwa ni siri ya mtu
Dr, mtoto wangu anasumbuliwa na maumivu ya miguu, nyuma ya kisigino hadi kwenye vidole, kun wakati maumivu yanazidi hadi anachechemea kutembea, ametumia dawa za hospital (Prednisolone na calcimag) bila mafanikio. Msaada tafadhali, ni binti 13 yrs old
Naomba umpeleke kwa daktari wa watoto kufanya vipimo ili tatizo ijulikane. Vipimo vya calcium, vitamin D, Bone Density ni muhimu.
Habari wakuu,
Nakaribisha maswali yoyote kuhusu magonjwa, dawa, tiba na afya kwa ujumla. Kama una maswali kuhusu ugonjwa wowote, vipi kuishi na magonjwa, kufanya mabadiliko kwenye maisha baada yakupata ugonjwa, matibabu, matumizi ya dawa, matumizi ya dawa pamoja na dawa nyingine au athari zake.
Karibuni sana.
View attachment 361607
Kama umejibiwa maswali na mtu mwingine na haijakufaa ni kosa lako.
Mimi nitajibu maswali zote mwenyewe kama Daktari.
Mtaalamu nina mtoto Wangu ana miezI saba hivi ametoka malenge lenge sehemu za mapajani yaanI liki pasuka mmoja linaota lingine naomba msaada wako.
Dr. Nina kijana wangu wa miaka 14 ametokwa na malenge lenge yaani tuvipele sehemu za siri kwenye kichwa cha uume wake tatizo nn na atumie dawa gan
Nilishampeleka akapewa hizo dawa za calcium na vitamin D lakini hazina matokeo mazuri
Dr habari yako?nashukuru nilikueleza tatizo langu la kutipata choo kwa wakati, nashukuru ulishauri nitumie Lactlose oral kwa muda wa wk nimetumia nikapata choo kwa wakati lakini nisipotumia iyo dawa tatizo linarud pale pale?ushauri dct
Habari Dr
Nimetokewa na vipele vingi vidovidogo mikononi na miguuni tu. Vipele haviwashi wala haviumi. Nimeenda hospital wakanipima damu wakasema inawezekana ni allegy kutokana na vyakula ninavyotumia.Akanishauri nikapime kipimo cha allegy ambacho bado sijakifanya.Wakanipa dawa ya kupaka tu ambayo nilipaka lakini havijaisha. Msaada kama kuna dawa nyingine naweza kutumia kumaliza hili tatizo.
Ahsante
Dr tatizo la kujisaidia malendalenda afu kama yana damu na tumbo linauma kama la kuhara
Alaf pia ni kwa nini unaweza ukafanya tendo la ndoa na mwenye ukimwi lakini wewe usipate??
Dr nakuomba kwa maelekezo yako uliyonipa na mizunguko niliyozunguka kwa matabibu nashindwa ni dr yupi ndio bingwa wa matatizo ya uzazi kwa wanawake naomba kwa msaada wako niambie nimuone dr gani au hospital gani ambayo naamini kwangu sasa itakuwa ni fainal
Doctor nasumbuliwa na chunusi ndogo ndogo nimetumia Epidermal ,persol tube lakini zimedunda msaada plz?
Dkt pole sana na majukumu. Kuna katatizo kameanza sio muda mrefu. Nikiamka asubuhi na kufanya mazoezi ya jogging basi nawashwa sana kwenye mapaja baada ya mwendo wa dk kadhaa kiasi cha kushindwa kumaliza na nikisimama tu baada ya sekunde kadhaa hali inatulia. Nini yaweza kuwa shida.
asante mtaalam maana hii ilinitokea baada ya kusex masaa miwil Bila kupata bao na sikupumzika na kuja kumaliza nakuja kuona shahawa zinadam Dam but nilianza kutumia hizo dawa sasa naona imeisha isha
mimi na choka sana ni amukapo asubuhi na kila mara na taka ni lale dawa ni ipi