Mtaalamu wa Dawa na Tiba: Ninakaribisha maswali kuhusu Magonjwa, Tiba na Dawa

Mkuu yaonyesha inaweza kuwa maji iliyopo kwenye kiungu ndani ya masikio ina tatizo au haipo sawa. Ningekushauri umuone daktari bingwa wa masikio, pua na koo (ENT Specialist). Wanapatikana Muhimbili pamoja na SANITAS Hospital.
nilienda hospital daktari akasema akapima na vifaa vyake akasema hiyo hali itaisha tu yenyewe mpaka sasa mwaka umeisha bado inasumbua na kitu kingine mimi huwa ninapotumia computa muda mwingine macho yananza kuona kizunguzungu kisha kichwa kuuma mimi nipo arusha
 
Dr
ukweli ni kwamba hana tatizo lolote kati ya hayo zaidi ya kulalamika miguu inauma hata akiwa amekaa .la kushangaza ni ile kutafuna vifuniko vya chupa za maji au soda.
 
Niliambiwa moyo umepanuka,jee hali hvo inaweza pelekea tatizo la kukohoa nyakat za Jioni na asubuh?
 
Kuna mgonjwa wangu amepotexa sense kuanzia kiunoni kushuka chini......na miguu yake wala sio ya baridi ila hata ukimgusa hasikii kabisa
Je tatizo litakuwa nini? nisaidie doctor
 
hivi dokta dawa ya typhoid nzuri ukiacha chloromphemical na ciproflaxin,ni ipi,maana mimi nasumbuliwa na typhoid lakini nikitumia dawa hizi siponi kabisa
 
Kuna mgonjwa wangu amepotexa sense kuanzia kiunoni kushuka chini......na miguu yake wala sio ya baridi ila hata ukimgusa hasikii kabisa
Je tatizo litakuwa nini? nisaidie doctor

Inaonyesha mpshipa yake imebanwa kwenye spinal cord. Tafadhali mchukue kwa neurosurgeon Muhimbili Hospital.
 
Nina tatizo la allergic condition ,ninawashwa sana maeneo ya kinywani,masikio na macho.nisipokunywa kitu cha moto kama chai hali hiyo inanisumbua hasa kwenye tezi zilizo kinywani taya la chini,napewa dawa za mzio lakini zinatuliza tu,baadae hali inaendelea vivyo hivyo.
 
[emoji3] [emoji1] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Dr. Ni dawa gan inaweza kutibu ulimi wenye michilizi na unauma ukila vyakula vya moto na vyenye chumvi !!??

thanks 4 your time!!!
 
Doctor habari yako na pia pole kwa majukumu lakini pia pongezi kwa kusaidia bin adam wenzako katika kujaribu kutatua matatizo yao ya kiafya.
Doctor naomba kuuliza kuna ugonjwa nimesikia unaitwa BLOOD CLOTTING, doctor huu ugonjwa husababishwa na nini na pia ni ipi tiba yake?.
 
Dr .habar yako ? mke wangu anatatizo la kukosa usingizi. Ktk usiku mmoja saa 4 had saa 12 asubuh analala masaa mawili na kuamka na hukosa usingiz kabisa baada ya hapo had asubuh. Tatizo ni nini na ipi tiba?
 
Ninapofanya mapenz na mke wangu anatatizo la kutetemeka miguu(vibrate) na humchukua dk15 kuacha kutetemeka .hali hii hutokea kila baada ya kumaliza round. Nini tatzo na tba pia?
 
Mkuu nilikuwa hospital (Fortis) wiki mbili zilizopita mana niko Delhi kimasomo nikapima nikaonekana nina acid dokta akaniandikia Nexium nimemaliza lakin bado najisikia kama awali no improvements. Dawa gani nzuri niwaondoe hawa acid mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…