Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Dk LEO NIMEELEEWAawa. Ushauri wangu ni yafuatayo:
1. Baada kumaliza haja kubwa na ndogo hakikisha una kausha pembeni ya mapaha na miferej ya mapaja.
2. Usivae nguo za ndani ya kubana.
3. Tumia Dawa Hizi:
- Terbinafine Tablets 250mg; Kidonge kimoja kila siku asubuhi kwa muda wa miezi moja.
- Terbinafine Cream; pakaa kutwa mara mbili, asubuhi na usiku kabla ya kulala kwa muda wa miezi moja.
MAANA NILISOMA SEHEMU YALE MABAKA MABAKA ATII NI JOTO LA CHOO CHA SHIMOO DAH NKASEMA. KAZII IPo