Dk LEO NIMEELEEWAawa. Ushauri wangu ni yafuatayo:
1. Baada kumaliza haja kubwa na ndogo hakikisha una kausha pembeni ya mapaha na miferej ya mapaja.
2. Usivae nguo za ndani ya kubana.
3. Tumia Dawa Hizi:
- Terbinafine Tablets 250mg; Kidonge kimoja kila siku asubuhi kwa muda wa miezi moja.
- Terbinafine Cream; pakaa kutwa mara mbili, asubuhi na usiku kabla ya kulala kwa muda wa miezi moja.
Dr naomba unisaidie dawa ya bawasiri ya nje
Habar za majukumu mkuu nina dada yangu anasumbuliwa na maumivu sehemu za sili nakunawakati anatokwa na ute mweupe wakati mwingine anahisi muwasho mkali sana hasa wakati wa hajandogo pamoja na maumivu.
Doctor naomba msaada juu ya hilo tatizo nililo kuelezaHabar za majukumu mkuu nina dada yangu anasumbuliwa na maumivu sehemu za sili nakunawakati anatokwa na ute mweupe wakati mwingine anahisi muwasho mkali sana hasa wakati wa hajandogo pamoja na maumivu.
Nakushukuru nitakuparejesho baada yayeye kumaliza kutumia dawa ulizo nielekezaTumia Dawa hii:
- Nitrofurantoin 100mg, Kidonge kimoja kutwa mara mbili kwa siku saba.
- Cital Syrup 30ml, kunywa kutwa mara mbili baada yakuchanganya na maji kwa siku sana.
- Pia Kunywa maji kwa wingi na osha sehemu za siri vizuri baada yakumaliza haja Ndogo.
Nipe mrejesho.
Wa mitishambatozi25 Wewe ni Daktari au?
Dr nakuomba kwa maelekezo yako uliyonipa na mizunguko niliyozunguka kwa matabibu nashindwa ni dr yupi ndio bingwa wa matatizo ya uzazi kwa wanawake naomba kwa msaada wako niambie nimuone dr gani au hospital gani ambayo naamini kwangu sasa itakuwa ni fainal