Dr. Sajjad Fazel
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 435
- 428
- Thread starter
-
- #841
dr samahan hv kwenye suala la rhizhas factors ni combination gan isiyofaa kupata mtoto kwa mke na mume wakioana? je, ni +&-, blood groups, the like or
Asante mkuu. Sasa hizi Valacylovir na Penciclovir natumia zote kwa mpigo au nachukua moja kati ya hizo
Asante sana DR. Ingawa huku Lindi hizo dawa hazipo. Na kidonda kilichosababishwa na Herpes kinatibiwa na dawa gani?Unachukuwa moja tu kati ya hizi utakayopata.
Habari wakuu,
Nakaribisha maswali yoyote kuhusu magonjwa, dawa, tiba na afya kwa ujumla. Kama una maswali kuhusu ugonjwa wowote, vipi kuishi na magonjwa, kufanya mabadiliko kwenye maisha baada yakupata ugonjwa, matibabu, matumizi ya dawa, matumizi ya dawa pamoja na dawa nyingine au athari zake.
Karibuni sana.
View attachment 361607
Kama umejibiwa maswali na mtu mwingine na haijakufaa ni kosa lako.
Mimi nitajibu maswali zote mwenyewe kama Daktari.
Habar Dr. Niliona ki uvimbe sehem ya haja kubwa nikamueleza rfk angu akaniambia niwe nachemsha maji nachanganya na detol ya maji nakanda asbuh mpka jioni kweli kile ki uvimbe kikaisha lkb sasa nina kama wiki mbili nime observe kama kuna uchafu wa maji unatoka sehem ya haja kubwa kwa mbali sana na ham ya tendo la ndoa imepungua je ni nn? Na tiba yake ni nn?Habari wakuu,
Nakaribisha maswali yoyote kuhusu magonjwa, dawa, tiba na afya kwa ujumla. Kama una maswali kuhusu ugonjwa wowote, vipi kuishi na magonjwa, kufanya mabadiliko kwenye maisha baada yakupata ugonjwa, matibabu, matumizi ya dawa, matumizi ya dawa pamoja na dawa nyingine au athari zake.
Karibuni sana.
View attachment 361607
Kama umejibiwa maswali na mtu mwingine na haijakufaa ni kosa lako.
Mimi nitajibu maswali zote mwenyewe kama Daktari.
wakat tukimngoja dr.mume wangu aliteseka mno na hyo shida na ikawa akivua viatu kutoka kazin mpka akaoshe miguu ila dawa ilo mponyesha n kibiriti upele ndani ya siku 5 tuHabari mkuu.
Nina tatizo la fungas ktk vidole vya mikono na miguu,nimejaribu kutumia dawa za kumeza na kupaka lakini bado cjapata nafuu zaidi ya kupungua na kurudia hali yake ile ile.nifanye nini ili niondokane na hili tatizo.shukran
Hiyo dawa ndo ipi mbona siifahamwakat tukimngoja dr.mume wangu aliteseka mno na hyo shida na ikawa akivua viatu kutoka kazin mpka akaoshe miguu ila dawa ilo mponyesha n kibiriti upele ndani ya siku 5 tu
Uliwahi kupima minyoo?MSAADA WA MATIBABU YA NGOZI
Ni zaidi ya miaka kumi sasa nasumbuliwa na tatizo muwasho katika ngozi. Nimefanya jitihada mbalimbali katika kutafuta matibabu bila ya mafanikio. Nimefanyiwa vipimo vya HIV, VDRLA na allergies lakini nashukuru katika uchunguzi wote nimekutwa sina tatizo lolote. Ila pia nimekuwa nikitumia dawa mbalimbali bila mafanikio.
Ngozi yangu ipo kawaida kabisa haina ukurutu/harara zozote. Miwasho hujitokeza zaidi mgongoni na katika sehemu za siri na wakati mwingine huambatana na hali ya unga unga. Vile vile nikitokwa na jasho hujisikia kama nachomwa/chumvi imeingia kwenye jeraha. Na hujitokeza endapo nimechelewa kuoga, mfano ikifika saa 2 usiku kabla sijaoga mwili huwasha sana, nikiwa maeneo yabaridi kama Mbeya, Arusha, nk, au kuogea sabuni zisizo na mafuta kama muarobaini au zile za magadi hivyo ngozi hukauka na kuanzisha muwasho. Sabuni pekee ambayo hunipa nafuu ni Family Medicated soap. Nikitumia aina zingine kama protex, dettol, hazisaidii kabisa.
Tangu nimepata tatizo hili naona kama mwili hauongezeki tena; uzito na ujazo wa mwili uko vile vile kwa zaidi ya miaka 10 tangu nipate hili tatizo.
Naomba usaidizi wako wa kitalamu juu ya tatizo hili.
Asante.
Uliwahi kupima minyoo?
Kama hauna minyoo basi, maana mm nliwahi kupatwa na tatizo hilo kipindi nakaa maeneo ya baridi kama njombe ila nlikuja kugundua ni minyoo nkapona kwa dawa za minyoo, ila usikate tamaa endelea kutafuta dawa,Nimeshapima tena katika nyakati tofauti na sikukutwa na hilo tatizo.
Kwa ujumla hili tatizo linanitesa sana bila dalili yoyote ya kupata ufumbuzi.
Ute mweupe kama karatasi usikusumbue siyo ugonjwa ni kipindi cha ovulation na kipindi hicho ukingonoka mimba itaingia ni kipindi cha rutuba kwa mwanamke fertile period kipindi hicho utajisikia sana hamu ya kujaamiiana
Dr inabidi uwe unatuvumilia kwa maswali.. Maana maswali mengine unauliswa ni kwa hatuna kidato hata kimoja, pengine tungekuwa nacho yangekuwa yamejibika mashule. Je Dr MTU anatakiwa kupata haja kubwa kwa wingi au kidogo?
Habar ya kazi pia pole kwa majukumu,
Nna swali lifuatalo,Mdogo wangu yupo chuon mwk wapil n anasumbuliw n TATZO la EPIGASTRIC HERNIA, ametokwa kauvmbe kwny epigastric area lkn ni painless.. Alichekiw hospital akapangiw tar ya operation lkn hkwenda hd leo anaofia masomo pia anaogp operation.
SWALI:JE Dokta nn madhara ya EPIGASTRIC HERNIA km atakaa nayo kwa Muda Bila tiba? je kuna tiba ya ilo tatzo tofaut n operation??
Please i need ur advice Dr.
Thanks!!!
Asante sana DR. Ingawa huku Lindi hizo dawa hazipo. Na kidonda kilichosababishwa na Herpes kinatibiwa na dawa gani?
MSAADA WA MATIBABU YA NGOZI
Ni zaidi ya miaka kumi sasa nasumbuliwa na tatizo muwasho katika ngozi. Nimefanya jitihada mbalimbali katika kutafuta matibabu bila ya mafanikio. Nimefanyiwa vipimo vya HIV, VDRLA na allergies lakini nashukuru katika uchunguzi wote nimekutwa sina tatizo lolote. Ila pia nimekuwa nikitumia dawa mbalimbali bila mafanikio.
Ngozi yangu ipo kawaida kabisa haina ukurutu/harara zozote. Miwasho hujitokeza zaidi mgongoni na katika sehemu za siri na wakati mwingine huambatana na hali ya unga unga. Vile vile nikitokwa na jasho hujisikia kama nachomwa/chumvi imeingia kwenye jeraha. Na hujitokeza endapo nimechelewa kuoga, mfano ikifika saa 2 usiku kabla sijaoga mwili huwasha sana, nikiwa maeneo yabaridi kama Mbeya, Arusha, nk, au kuogea sabuni zisizo na mafuta kama muarobaini au zile za magadi hivyo ngozi hukauka na kuanzisha muwasho. Sabuni pekee ambayo hunipa nafuu ni Family Medicated soap. Nikitumia aina zingine kama protex, dettol, hazisaidii kabisa.
Tangu nimepata tatizo hili naona kama mwili hauongezeki tena; uzito na ujazo wa mwili uko vile vile kwa zaidi ya miaka 10 tangu nipate hili tatizo.
Naomba usaidizi wako wa kitalamu juu ya tatizo hili.
Asante.