Dr. Sajjad Fazel
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 435
- 428
- Thread starter
- #861
Habari mkuu.
Nina tatizo la fungas ktk vidole vya mikono na miguu,nimejaribu kutumia dawa za kumeza na kupaka lakini bado cjapata nafuu zaidi ya kupungua na kurudia hali yake ile ile.nifanye nini ili niondokane na hili tatizo.shukran
Unakumbuka dawa ulizotumia?!