Zamaulid
JF-Expert Member
- May 25, 2009
- 19,697
- 15,497
hapana ila wanakuwa wadhaifuBut nahisi itakuwa ni hiyo dermatomycosis... vipi kuna vifo vyovyote?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hapana ila wanakuwa wadhaifuBut nahisi itakuwa ni hiyo dermatomycosis... vipi kuna vifo vyovyote?
Mkuu kwa case yako hapo juu ugonjwa unaosumbua vifaranga wako ni infectious coryza... ni ugonjwa ambao husababishwa na bacteria....
Labda kuna kifo chochote kilichotokea mkuuhapana ila wanakuwa wadhaifu
Hapana mkuu ondoa wasiwasi.... kabisa or kama unawasiwasi zaidi waweza kutumia Artificial Inserminationmiezi 4 sasa, ila kule kuugua incumbency for 21 days, si mufupa ni miteke madume mazito yanaweza kumvunja?
Hakuna kifo ila wenyewe wanakuwa wadhaifuLabda kuna kifo chochote kilichotokea mkuu
asante nashukuru sana. Nitampandisha. artifical ni elfu 50, isiposhika inakula kwako!Hapana mkuu ondoa wasiwasi.... kabisa or kama unawasiwasi zaidi waweza kutumia Artificial Insermination
asante mkuu nimepewa ushauri flani hivi ndo naufanyia kazi ikishindikana naleta tena kwenye hii threadstartergear leta swali lako hapa
Mkuu hapo tatizo yaweza kuwa ni avian pox (cutaneous form) or yaweza kuwa ni ectoparasite but na imani kuku wako una wa manage vizuri.... na pia yaweza kuwa ni dermatomycosis ambao husababishwa na fungus mkuu.... pia huwa na tatizo hilo la kunyonyoka manyoya....
Thou ningepata picha ingesaidia zaidi mkuu....
Huyo ngombe itakua hana calcium mbna ume mzembea hvyo yaani miezi miwili yoote?? Tafuta doctor anamuwekea drip ya calciumNgombe wangu anashindwa kusimama, amezaa sasa ni miezi miwili. nifanyeje na hii ni siku ya 5 ameshindwa kusimama. Nisaidie please
Mkuu kama wewe ni mfugaji wa ngombe jiunge na group hilo la whtsapMkuu naona bado hujapata yale majibu ya ng'ombe au umesahau? Apologies for botheration mkuu.
Ni wapi kati ya mikoa ya kanda ya Kati na Pengine na ziwa naweza pata ng'ombe wa kisasa wenye uwezo wa kutoa Lita kati ya 10 na 20 kwa siku? Nasisitiza hapo Daktari Lita 10 au 20!
Unajua kuna kuwa na maneno mengi ya hamasa nane nane na kwenye baadhi ya mashamba .Kuna jamaa yangu ana ng'ombe hao , hawatoi maziwa kama alivyoambiwa wakati akinunua licha ya marisho na care! Anapata 4 na iwe mapema baada ya kujifungua zinapungua kadri muda unakwenda! Ufugaji wa kibiashara nautamani, mfano unajikunja unapata ng'ombe say 4 ,Lita 10@ sawa 40 ltrs @ 1000= 40,000/ perday x 30 per month= 1,200,000/.
Huku mikoani kwa DSM ni twice. Ushauri wako tafadhali, aina gani ya ng'ombe haswa! Mpwapwa hybrid kuna jamaa yangu kachukua,aliambiwa 8ltrs perday, anapata 4 ,
Mkuu wanaweza kuwa wamekosa baadhi ya madini ambayokumepelekea kuku wako kupoteza manyoya sehemu ya mwili jaribu kuwapa multivitamin katika chakula au maji then ulete mrejesho.....
Mkuu ningekuwa karibu na wewe ningeweza kufika hapo katika shamba lako na kuweza kufanya PM ambayo ingeniwezesha mimi kujua nini tatizo but waweza niambia maji ya bwawa lako la samaki yan hali gani mkuu?Naomba msaada nimeamka Leo kwa bwawa lang Nime kuta samaki wang baadh wame kufa cjw Nn tatizo
Mkuu nina kitoto cha mbuzi umri wiki nne. Kimeugua ghafla miguu haina nguvu, kinatetemeka ovyo hata kunyonya hakiwezi na shingo inajipinda kurudi nyuma kama mgonjwa wa meningitis. Huu ni ugonjwa gani mkuu, na tiba yake ni ipi?!Baadae kidogo nitaweka makala hapa namna ya kuweza kujitengenezea chakula chako cha kuku mwenyewe ili kuepuka gharama zisizo na msingi.....