Mtaalamu wa mifugo (Dr. by Veterinarian): Karibuni kwa ushauri, tiba na dawa za mifugo tu

Mtaalamu wa mifugo (Dr. by Veterinarian): Karibuni kwa ushauri, tiba na dawa za mifugo tu

Chanjo ya kuchoma ndio iko njema zaidi mkuu kwa kutumia technique ya wing web stab per cutaneous ....

Hiyo ya maji pia yaweza tumika but sidhani kama yaweza kuwa more effective kama iyo ya kuchoma mkuu....

kila la kheri...
Asante sana kwa kunielewesha. Kingine chanjo ya typhoid wanapewa kuku wakifika week ngap? na utaratibu mzuri wa chakula je wanakula kwa kiwango gn
 
Salama mkuu,
Nina kuku chotara wana miezi 3 sasa ila sasa wamekumbwa na ugonjwa wa kuharisha sanaa,wanakufa hatari,kinyesi chenyewe ni yellowish,maji maji nimetumia dawa kama za aina 4 tofauti lkn bila bila.

Naomba ushauri wako au kama itawezekana nikutafute maana mm niko dsm.
 
Asante sana kwa kunielewesha. Kingine chanjo ya typhoid wanapewa kuku wakifika week ngap? na utaratibu mzuri wa chakula je wanakula kwa kiwango gn
Mkuu chanjo hupewa ndani ya week ya kwanza ....

Kuhusu chakula kwa vifaranga kwa kawaida kila kifaranga hula gram 40 kwa kila mmoja kwa siku ....
 
Salama mkuu,
Nina kuku chotara wana miezi 3 sasa ila sasa wamekumbwa na ugonjwa wa kuharisha sanaa,wanakufa hatari,kinyesi chenyewe ni yellowish,maji maji nimetumia dawa kama za aina 4 tofauti lkn bila bila.Naomba ushauri wako au kama itawezekana nikutafute maana mm niko dsm.
Mkuu... unaweza niambia ni dalili gani nyingine ambazo wanaonesha na ningependa unipe majina ya dawa ulizotumia?
 
Mkuu... unaweza niambia ni dalili gani nyingine ambazo wanaonesha na ningependa unipe majina ya dawa ulizotumia?
Wanakua dhaifu sana pia kuweweseka,hizi ni dawa nilizotumia pamoja na Emprolium (spelling sina uhakika nazo)
20171012_070622.jpg
20171012_070425.jpg
20171012_070229.jpg
20171012_070344.jpg
20171012_070054.jpg
 
Asante sana kwa msaada mkubwa hasa kwetu sisi ambao tunajaribu kutafuta uzoefu ktk ufugaji,mie pia nimekutana na tatizo hilo la ndui kwa vifaranga ambavyo mpaka sasa wana umri wa mwezi mawili na siku kadhaa.

Nimeshindwa mpaka sasa kuchanja ndui ili nipambane na ugonjwa kwanza,Shukran napambana nao na kwa Kiasi maendeleo ni mazuri.Sasa swali la msingi doctor je ktk umri huu bado naweza kuchanja ndui na ikawa na matokeo chanya?
 
Asante sana kwa msaada mkubwa hasa kwetu sisi ambao tunajaribu kutafuta uzoefu ktk ufugaji,mie pia nimekutana na tatizo hilo la ndui kwa vifaranga ambavyo mpaka sasa wana umri wa mwezi mawili na siku kadhaa.

Nimeshindwa mpaka sasa kuchanja ndui ili nipambane na ugonjwa kwanza,Shukran napambana nao na kwa Kiasi maendeleo ni mazuri.Sasa swali la msingi doctor je ktk umri huu bado naweza kuchanja ndui na ikawa na matokeo chanya?
Unapambana nao vipi kiongozi?
 
Mkuu... unaweza niambia ni dalili gani nyingine ambazo wanaonesha na ningependa unipe majina ya dawa ulizotumia?
Aiss vifaranga wa mwezi na nusu wananyonyoka manyoya ya kichwani na vichwa kubaki na mapunye..vibarango!je ni tatizo gani na nini tiba yake
 
Doctor plz nisaidie nina vikuku vya vyangu kama 30 hivi vimetotolewa leo vina siku ya 4 naomba unipe mtiririko wa madawa na chanjo zake ikiwezekana na majina ya hizo dawa. Ni kuku wa kienyeji
 
Doctor plz nisaidie nina vikuku vya vyangu kama 30 hivi vimetotolewa leo vina siku ya 4 naomba unipe mtiririko wa madawa na chanjo zake ikiwezekana na majina ya hizo dawa. Ni kuku wa kienyeji
Njoo PM mkuu.... kwa maelezo zaidi
 
Asante sana kwa msaada mkubwa hasa kwetu sisi ambao tunajaribu kutafuta uzoefu ktk ufugaji,mie pia nimekutana na tatizo hilo la ndui kwa vifaranga ambavyo mpaka sasa wana umri wa mwezi mawili na siku kadhaa.

Nimeshindwa mpaka sasa kuchanja ndui ili nipambane na ugonjwa kwanza,Shukran napambana nao na kwa Kiasi maendeleo ni mazuri.Sasa swali la msingi doctor je ktk umri huu bado naweza kuchanja ndui na ikawa na matokeo chanya?
Ndio mkuu pia unaweza wachanja kwa muda huo na bado wakakupa matokeo mazuri tu.....

Lakni ukumbuke ya kuwa mwangalifu next time unapoamua kufuga ufuate njia sahihi ya chanjo....

Kila la kheri mkuu....
 
Back
Top Bottom