theriogenology
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 8,748
- 15,681
- Thread starter
- #141
VITU VYA KUZINGATIA KATIKA UTEUZI WA ENEO LA KUFUGIA SAMAKI
Leo ningependa kuzungumzia vitu muhimu kabla huja amua ku launch project yako ya samaki katika eneo husika hivyo basi wewe kama mfugaji ambaye una malengo ya kunufaika na ufugaji wa samaki vifuatavyo ni vitu vya kuzingatia katika uteuzi wa eneo la kujengea bwawa lako la samaki;
Maji hutumika kwa shughuli mbali mbali kama vile; kujaza mabwawa, kujazilishia mabwawa ka maji yaliyopotea kwa njia ya evaporation or transpiration na mwisho katika suala zima la flushing ( ni njia inayotumika ku restore quality ya maji)
2. Slopping of the area (mwonekano wa ardhi)
Eneo la kujenga bwawa linapaswa kuwa gentle slope in nature (mteremko kiasi) ili kusaidia katika suala zima la flushing (kuondoa maji) katika bwawa na kuwezesha ujazaji wa maji katika bwawa.
3. Nature of the soil (Udongo)
Katika suala zima la ujengaji wa bwawa la samaki udongo ni kitu muhimu sana , na udongo unaoshauriwa ni ule ambao una uwezo wa kushikilia maji kwa muda mrefu hii huwa ni faida coz huepusha usumbufu wa kuzaja bwawa mara kwa mara hivyo basi udongo unaohitajika hapa ni aina ya clay (ufinyanzi) or clay-loam soil udongo wa kichanga haufai,
njia ambazo hutumika ili kuweza kutambua udongo mzuri unashauria kuchimba kishimo cha mita 1 then kijaze maji yaache kwa muda wa saa24 ukirudi ukikuta kiwango cha maji hakijapungua then jua ya kwamba udongo huo ni mzuri na ukikuta kiwango cha maji kimepungua jua udongo huo si mzuri kwa ajili ya bwawa.
4. Uwe na Guarantee ya land ownership
Hili pia lina umuhi u sana katika suala zima la uanziswaji wa ufugaji wa samaki ni vyema uapate eneo ambalo halina mgogoro wa aina yoyote na itapendeza sana iwapo utakuwa na hati miliki ya eneo husika ili kuepuka hasara usiyo itarajia, coz hakuna kitu kinachouma kama kuanzisha mradi wako kwa gharama afu mwisho wa siku kila kitu kinafutika kwa muda mfupi tu hivyo basi suala zima la ardhi lina umuhimu wake katika project nzima ya samaki.
5. Labour availability (upatikanaji wa wafanyakazi)
Katika project yoyote ile ili kuweza kusonga mbele kunahitaji la kuwa na wafanyakazi both skilled and unskilled labour, kwa nchi yetu ya tanzania suala zima la unskilled labour is not a big deal wapo wengi tu kusaidia shughuli fulani za shamba na pia ishu ya kuwa na skilled labour hapa nazungumzia daktari ambaye atakuwa na majukumu ya kuhakikisha hakuna kitu kinaharibika na mradi unaleta faida ya kutosha.
6. No risk of floods
Eneo husika la kuanzisha mradi lisiwe na historia yoyote ya mafuriko pindi mvua zinaponyeesha, hivyo basi unashauriwa kufanya research ya kutosha katika eneo unalotaka kuanzisha mradi wa samaki ili kuweza kuepuka hasara zisizo na ulazima.
7. Potential market area and area free from social taboo restriction
Kuwekeza shamba lako karibu na mjini itakuwa na faida kwako kwani walaji wengi wa samaki ni watu wa mjini coz ndio wenye uwezo wa kumudu gharama za samaki na pia kuepuka different social taboos ambazo mara nyingi huwa zipo sana maeneo ya vijijini ( thou hili liko rarely sana kwa nchi yetu).
8. Natural and alignment of other social activities
Ni vyema eneo unalofugia likawa na mwingiliano na shughuli nyingine za kilino kama vile ufugaji wa kuku ama bata na pia horticulture activities (kilimo cha mbogamboga) huu mfumo kwa kitaalamu inaitwa intergrated farming system.
9. Peace and Order
Eneo husika linapaswa kuwa na amani muda wote, hii ni kuepukana na wizi wa hapa na pale coz unakuta maeneo mengine yamezungukwa na wivu ambavyo hupelekea mfugaji kutokuwa na amani usiku kwa sababu unaeza amka asubuhi ukakuta hakuna kitu katika bwawa la samaki (wezi washafanya yao)
Pia kuwa mtu wa amani sana na kila mtu coz kuna watu wengine huwa na vinyongo wanaweza kukutilia sumu katika bwawa lako ambayo huweza pelekea samaki wote kufa katika bwawa.
Hitimisho
Vijana wenzangu nawahamasisha sana muingie katika ufugaji wa samaki ambao gharama yake huwa ni ya chini mno na hukupa faida ya juu sana.... for more information about fish tuwasiliane kupitia pm
Leo ningependa kuzungumzia vitu muhimu kabla huja amua ku launch project yako ya samaki katika eneo husika hivyo basi wewe kama mfugaji ambaye una malengo ya kunufaika na ufugaji wa samaki vifuatavyo ni vitu vya kuzingatia katika uteuzi wa eneo la kujengea bwawa lako la samaki;
- Water supply (upatikanaji wa maji)
Maji hutumika kwa shughuli mbali mbali kama vile; kujaza mabwawa, kujazilishia mabwawa ka maji yaliyopotea kwa njia ya evaporation or transpiration na mwisho katika suala zima la flushing ( ni njia inayotumika ku restore quality ya maji)
2. Slopping of the area (mwonekano wa ardhi)
Eneo la kujenga bwawa linapaswa kuwa gentle slope in nature (mteremko kiasi) ili kusaidia katika suala zima la flushing (kuondoa maji) katika bwawa na kuwezesha ujazaji wa maji katika bwawa.
3. Nature of the soil (Udongo)
Katika suala zima la ujengaji wa bwawa la samaki udongo ni kitu muhimu sana , na udongo unaoshauriwa ni ule ambao una uwezo wa kushikilia maji kwa muda mrefu hii huwa ni faida coz huepusha usumbufu wa kuzaja bwawa mara kwa mara hivyo basi udongo unaohitajika hapa ni aina ya clay (ufinyanzi) or clay-loam soil udongo wa kichanga haufai,
njia ambazo hutumika ili kuweza kutambua udongo mzuri unashauria kuchimba kishimo cha mita 1 then kijaze maji yaache kwa muda wa saa24 ukirudi ukikuta kiwango cha maji hakijapungua then jua ya kwamba udongo huo ni mzuri na ukikuta kiwango cha maji kimepungua jua udongo huo si mzuri kwa ajili ya bwawa.
4. Uwe na Guarantee ya land ownership
Hili pia lina umuhi u sana katika suala zima la uanziswaji wa ufugaji wa samaki ni vyema uapate eneo ambalo halina mgogoro wa aina yoyote na itapendeza sana iwapo utakuwa na hati miliki ya eneo husika ili kuepuka hasara usiyo itarajia, coz hakuna kitu kinachouma kama kuanzisha mradi wako kwa gharama afu mwisho wa siku kila kitu kinafutika kwa muda mfupi tu hivyo basi suala zima la ardhi lina umuhimu wake katika project nzima ya samaki.
5. Labour availability (upatikanaji wa wafanyakazi)
Katika project yoyote ile ili kuweza kusonga mbele kunahitaji la kuwa na wafanyakazi both skilled and unskilled labour, kwa nchi yetu ya tanzania suala zima la unskilled labour is not a big deal wapo wengi tu kusaidia shughuli fulani za shamba na pia ishu ya kuwa na skilled labour hapa nazungumzia daktari ambaye atakuwa na majukumu ya kuhakikisha hakuna kitu kinaharibika na mradi unaleta faida ya kutosha.
6. No risk of floods
Eneo husika la kuanzisha mradi lisiwe na historia yoyote ya mafuriko pindi mvua zinaponyeesha, hivyo basi unashauriwa kufanya research ya kutosha katika eneo unalotaka kuanzisha mradi wa samaki ili kuweza kuepuka hasara zisizo na ulazima.
7. Potential market area and area free from social taboo restriction
Kuwekeza shamba lako karibu na mjini itakuwa na faida kwako kwani walaji wengi wa samaki ni watu wa mjini coz ndio wenye uwezo wa kumudu gharama za samaki na pia kuepuka different social taboos ambazo mara nyingi huwa zipo sana maeneo ya vijijini ( thou hili liko rarely sana kwa nchi yetu).
8. Natural and alignment of other social activities
Ni vyema eneo unalofugia likawa na mwingiliano na shughuli nyingine za kilino kama vile ufugaji wa kuku ama bata na pia horticulture activities (kilimo cha mbogamboga) huu mfumo kwa kitaalamu inaitwa intergrated farming system.
9. Peace and Order
Eneo husika linapaswa kuwa na amani muda wote, hii ni kuepukana na wizi wa hapa na pale coz unakuta maeneo mengine yamezungukwa na wivu ambavyo hupelekea mfugaji kutokuwa na amani usiku kwa sababu unaeza amka asubuhi ukakuta hakuna kitu katika bwawa la samaki (wezi washafanya yao)
Pia kuwa mtu wa amani sana na kila mtu coz kuna watu wengine huwa na vinyongo wanaweza kukutilia sumu katika bwawa lako ambayo huweza pelekea samaki wote kufa katika bwawa.
Hitimisho
Vijana wenzangu nawahamasisha sana muingie katika ufugaji wa samaki ambao gharama yake huwa ni ya chini mno na hukupa faida ya juu sana.... for more information about fish tuwasiliane kupitia pm