Mtaalamu wa mifugo (Dr. by Veterinarian): Karibuni kwa ushauri, tiba na dawa za mifugo tu

Mtaalamu wa mifugo (Dr. by Veterinarian): Karibuni kwa ushauri, tiba na dawa za mifugo tu

Tatizo ambalo limekuwa sugu na hivyo kuwapelekea baadhi ya wafugaji kupata hasara katika suala zima la uendeshaji au ufugaji wa kuku ni kutokuwa na elimu kuhusiana na uleaji wa vifaranga pindi wakiwa wadogo mpaka kufikia kuwa kuku wakubwa

Na hii hupelekea kuwapoteza vifaranga wengi pindi wakiwa wadogo na hivyo kukata tamaa katika ufugaji wa kuku, hivyo basi yafuatayo ni Mambo ya muhimu ya kuzingatia unapotunza vifaranga vya kuku;
  • Baada ya vifaranga kuanguliwa vinapaswa kuwekwa katika sehemu yenye joto la wastani kwa muda unaofaa
  • Hakikisha vifaranga wanakaa katika eneo lililo kavu na lisiwe na vimelea
  • Hakikisha vifaranga wote wanapata chanjo ya Marek's katika siku ya kwanza
  • Hakikisha vifaranga wote wanapata chanjo ya kideri siku ya saba
  • Hakikisha vifaranga wote wanapata chanjo ya gumboro katika siku ya 14
  • Rudia chanjo ya kideri kwa vifaranga wote siku ya 21
  • Rudia chanjo ya gumboro kwa vifaranga wote siku ya 28
  • Baada ya week 8 wachanje vifaranga wote na chanjo ya ndui
Hitimisho
Pamoja na kuzingatia vyema ratiba ya chanjo kumbuka kuwapa chakula bora na maji safi na salama ili kuwapa vifaranga wako afya boro.
 
Tatizo ambalo limekuwa sugu na hivyo kuwapelekea baadhi ya wafugaji kupata hasara katika suala zima la uendeshaji au ufugaji wa kuku ni kutokuwa na elimu kuhusiana na uleaji wa vifaranga pindi wakiwa wadogo mpaka kufikia kuwa kuku wakubwa

Na hii hupelekea kuwapoteza vifaranga wengi pindi wakiwa wadogo na hivyo kukata tamaa katika ufugaji wa kuku, hivyo basi yafuatayo ni Mambo ya muhimu ya kuzingatia unapotunza vifaranga vya kuku;
  • Baada ya vifaranga kuanguliwa vinapaswa kuwekwa katika sehemu yenye joto la wastani kwa muda unaofaa
  • Hakikisha vifaranga wanakaa katika eneo lililo kavu na lisiwe na vimelea
  • Hakikisha vifaranga wote wanapata chanjo ya Marek's katika siku ya kwanza
  • Hakikisha vifaranga wote wanapata chanjo ya kideri siku ya saba
  • Hakikisha vifaranga wote wanapata chanjo ya gumboro katika siku ya 14
  • Rudia chanjo ya kideri kwa vifaranga wote siku ya 21
  • Rudia chanjo ya gumboro kwa vifaranga wote siku ya 28
  • Baada ya week 8 wachanje vifaranga wote na chanjo ya ndui
Hitimisho
Pamoja na kuzingatia vyema ratiba ya chanjo kumbuka kuwapa chakula bora na maji safi na salama ili kuwapa vifaranga wako afya boro.
Chanjo ya marek ni kwa ajili ya kuzuia nini
 
Chanjo ya marek ni kwa ajili ya kuzuia nini
Kinga hiyo hutolewa ili kuwakinga kuku dhidi ya virusi wajulikanao kama Lymphotropic herpesvirus ambao hushambulia mfumo mzima wa nerve pamoja na organs ambazo hutumika kuzalisha cells ambazo hutumika kuzalisha antibodies na lymphocytes ambazo hupambana na kuukinga mwili dhidi ya vimelea ambavyo husababisha magonjwa kwa kuku..

Na pia ugonjwa huu hupunguza sana uzalishaji na hivyo hupelekea mkulima kupata hasara iwapo ugonjwa huo ukivamia shamba coz atapoteza almost 30-50% wa kuku wake wote hivyo basi tahadhari inabidi ichukuliwe mapema ili kuepuka hasara zisizo na ulazima.....
 
msaada dr kuku wangu hawatagi kabisa kwa mwaka sasa

Mkuu vitu vifuatavyo vinaweza pelekea kuku wako kutokuta;
  • Umri
kwa kawaida kuku huanza kutaga afikishishapo umri wa miezi mitano ambazo ni sawa na week 18-22 na mara nyingi hutaga mayai kwa peak ya 90% kwa week nane za kwanza na baada ya hapo trend ya utagaji huanza kupungua na wakifikisha umri wa mwaka mmoja uzalishaji wao hupungua na kufikia 65%
  • Chakula
kwa kawaida kuku hutakiwa kupewa balance diet, hasahasa huwa tunaangalia ingrideints kama vile carbohydrate (wanga), protein na madini kama vile calcium na phosphorus huwa na msaada mkubwa sana kwa kuku ambao hutaga mayai

kwa mfano kuku huitaji kiwango cha 16% tu ili kumwezesha yeye kutaga na pia huitaji madini kama vile sodium ambazo hutumika sana katika suala zima la uzazi, calcium hutumika kutengeneza egg shells baada ya mayai kutengenezwa na pia hutumika katika suala zima la ukuaji wa mifupa, vitamin D hutumika sana sana katika reabsorption of calcium ili isipotee na hivyo hutumika sana katika uzalishaji wa mayai.

Na pia kwa kuku wanaotaga huitaji maji mengi safi na salama nadhani kila mmoja hujua umuhimu wa maji.
  • Light intensity (mwanga)
Mwanga ni muhimu sana katika suala zima la utagaji wa mayai katika kuku.... the more you expose them to light the more they laying egg and vice versa is true....

so kwa hali ya kawaida kuku wanaotaga inashaulika ya kwamba wapewe mwanga atleast kwa masaa 16 kwa siku ili kuweza kutaga mayai mengi.
  • Magonjwa
Magonjwa ni tatizo sugu sio kwa kuku wanaotaga tu bali hata kwa jamii ya ndege nyingine na hivyo hupelekea hasara katika suala zima la ufugaji wa kuku, magonjwa kama ndui huathiiri ukuaji na hivyo hupekekea uzalishaji wa mayai kupunga na vile vile magonjwa mengine kama coccidiosis na infectious bronchitis pia yaweza pelekea kuku kutokutaga kabisa

Hivyo kama mkulima unashauriwa kuwakinga kuku wako kwa kuwapa chanjo katika muda muafaka na pia ku maintain Biosecurity measure katika shamba lako.

Hitimisho

kwa maelexo yako hapo juu nahisi tatizo linaweza kuwa suala zima la chakula or tatizo la mwanga katika banda hivyo basi nakushauri jaribu kubadili chakula unachowapa kwa kuwanunulia chakula kingine ambacho kiko well balanced na kama unachanganya chakula chako hapo nyumbani jaribu kubadili formular nzima ya chakula na ujitahidi kuwapa chakula kingi kadli iwezekanvyo kama unavyojua hao kuku wasiposhiba hawawezi kutaga kamwe mkuu.

Na kama tatizo ni mwanga jaribu kuwapa mwanga wa kutosha atleast 16hrs exposure to light per day, ni hayo tu na karibu tena mkuu
 
Mkuu nisaidie lishe bora kwa mbwa mzazi amekonda hadi namuogopa

Mkuu suala la mbwa wako kukonda yaweza kuwa ni ishu ya nutrition or infectious factor ambayo yaweza kuwa either parastic (external and internal), viral or bacterial infection

Na pia kumbuka unaweza wapa chakula kizuri tu na bado mwisho wa siku akaendelea ku emaciate (kukondeana), hivyo basi nakushauri mtafute Daktari yoyote ambaye ataweza mfanyia diagnosis ili kuweza kujua tatizo hasa ni nini.. (zingatia)

Kuhusu suala zima la chakula waweza mtafutia nyama zile za buchani or dagaa hakikisha unazichemsha vyema kabla ya kumpa changanya na ugali na pia kumbuka kumchemshia uji wa mahindi mpe kila siku asubuhi afu ulete mrejesho mkuu kila la kheri
 
Back
Top Bottom