sicam
Member
- Aug 7, 2017
- 75
- 44
Msaada kuku wangu mguu wake umevimba hivyo anachechemea na umeanza kuvimba
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
inaweza kuwa tatizo la upungufu wa madini mkuu... jaribu kumjulisha bwana mifugo yoyote kwa ushauri mkuuMsaada kuku wangu mguu wake umevimba hivyo anachechemea na umeanza kuvimba
Sent using Jamii Forums mobile app
inaweza kuwa tatizo la upungufu wa madini mkuu... jaribu kumjulisha bwana mifugo yoyote kwa ushauri mkuu
Ng"ombe basha huyooMkuu Dr. tunashukuru kwa utayari wako wa kutaka kutusaidia. Sorry, nina ng'ombe dume mzuri chotara ambaye nia yangu ilikuwa kumtumia kwa mbegu ili kuendeleza mbegu lakini cha ajabu dume huyu mzuri hataki kuwapanda majike kutwa kucha ana attempt kuwapanda madume wenzie. Hii hali kitaalamu huwa inatokea? Sababu yake ni nini? Na dawa yake ni nini?
Ng"ombe basha huyoo
[emoji1] sorry mkuu nimetania kidogo[emoji1] [emoji1] [emoji1]Husna utachapwa. You may think nilimnunua Mombasa kumbe wala!
Nshukuru ngombe ameamka baada ya siku 14! It was hard work and despair! Kazi kubwa niliyonayo ni kurudisha afya yake. Doctor, nimlishe vipi aweze ku gain weight haraka. asante sana kwa ushauri wako. santetena.mkuu kwa maelezo yako hapo juu.... ng'ombe wako ana ugonjwa unaoitwa downer's syndrome ambao ni ugonjwa pacha wa milk fever ambao husababishwa na upungufu wa madini ya calcium katika damu hivyo kupelekea ulegevu wa misuli na hivyo kupelekea ng'ombe kukaa chini kwa muda mrefu bila kunyanyuka
treatment yake inakuwa inasumbua tofouti na milk fever ambayo hutibika kirahisi embu fanya yafuatayo;
- Mchome Calicium borogluconate kwa kiasi cha 800-1000ml nusu mwekee IV (mshipa wa damu jugular vein) na nusu nyingine mweke subcutaneous (chini ya ngozi)
- Jaribu kumpa maji yaliyochanganywa na glucose
- afu jitahidi sana kumnyanyua kama sehemu ya mazoezi ili aanze kuzoea kusimama tena
Mkuu samahani kuingilia. Lakini nina swali/maoni kwanini usifanye uhamilishaji kwa chupa (Artificial Insermination) tu kuliko kufuga dume kwa gharama na bado hafanyi kazi.Wote wana umri mmoja miaka mitatu mkuu!
Ndugu nina swali nisaidie kumuuliza huyu rafiki yako mfugaji.Ni wapi kati ya mikoa ya kanda ya Kati na Pengine na ziwa naweza pata ng'ombe wa kisasa wenye uwezo wa kutoa Lita kati ya 10 na 20 kwa siku? Nasisitiza hapo Daktari Lita 10 au 20! Unajua kuna kuwa na maneno mengi ya hamasa nane nane na kwenye baadhi ya mashamba .Kuna jamaa yangu ana ng'ombe hao , hawatoi maziwa kama alivyoambiwa wakati akinunua licha ya marisho na care! Anapata 4 na iwe mapema baada ya kujifungua zinapungua kadri muda unakwenda! Ufugaji wa kibiashara nautamani, mfano unajikunja unapata ng'ombe say 4 ,Lita 10@ sawa 40 ltrs @ 1000= 40,000/ perday x 30 per month= 1,200,000/.Huku mikoani kwa DSM ni twice. Ushauri wako tafadhali, aina gani ya ng'ombe haswa! Mpwapwa hybrid kuna jamaa yangu kachukua,aliambiwa 8ltrs perday, anapata 4 ,
Magonjwa hayo yote husababishwa na bacteria na yote husambulia mfumo mzima wa upuaji yaani respiratory system..Kuna ugonjwa wa kuku unafahamuka kama coryoza na pia huu mwingine unajulikana kama Chronic Respiratory Disease (CRD) ... ni nini kinga pamoja na chanjo na tiba ya magonjwa haya?
Mkuu kwa day 1 old chick chanjo zinazotakiwa kuwakinga vifaranga wako dhidi ya magonjwa hatari ya bacteria na virus ni kama ifuatavyo ; Chanjo dhidi ya Chronic respiratory disease, salmonellosis, avian leukosis, avian encephalomyelitis na avian influenza thou kwa local breed wetu ni nadra sana kupata magonjwa hayo but kama uko ki commercial zaidi ni vyema ukawakinga mkuu coz siku zote wanakuambia Kinga ni nzuri zaidi kuliko tiba.... kila la kheri mkuuAhsante Dokta kwa utayari wako kutuelimisha. Naomba kuuliza: Je, vifaranga wanatakiwa wakae siku ngapi ili wapate chanjo baada ya kutotolewa?, Je ni aina gani ya chanjo inafaa? (kuku wa kienyeji).
labda ungeniambia unatumia system gani ya ufugaji mkuu.... either free range system or intensive system na ukiacha hiyo dalili ya vifaranga kutoka vidonda mdomoni ni dalili nyingine ipi wanaonesha tena mkuu? tuanzie kwanza hapoShukran kwa wazo zuri mkuu. Mm nafuga kuku wa kienyeji, ila kuna ugonjwa wa vifaranga kutokwa na vidonda mdomoni unanimalizia sana vifaranga wangu sana. Kuna batch fulani waliugua huo ugonjwa nikamuona dr akaniambia unasababishwa na virus na hakuna tiba zaidi ya chanjo, ikanibidi batch iliyofuata nikapiga chanjo lakini vifaranga vyote vilikufa. Sasa sielewi nifanye nini na hivi karibuni kuku atatotoa vifaranga wengine. Je nini ushauri wako na tiba kabla ya hao wengine nnaotarajia kuwapata.
Mkuu yapo magonjwa mengi tu kama vile Newcastle, typhoid, coryza, hemorrhagic enteritis, avian encephalomyelitis na infectious bursa disease....Vipi magonjw ya bata mzinga ni yapi
mkuu swali lako liko ki upana zaidi waweza nicheki pm for more detailZa asubuh mkuu.... nina mpango wa kufuga kuku elfu 1 kwenye eneo moja.... wa kienyeji.
Naomba ushauri mkuu wa kitaalamu... vitu gani vya kuzingatia katika ukuaji na utagaji wao....
Na eneo ukubwa gani kitaalamu wanatosha.
Na chanzo gani muhimu na rahisi kwa woote kujikinga na magonjwa....?
Sent from "La -Vista"
Mkuu hizi ni chanjo ama dawa ya kuwapa wakiwa na day1. Mimi navyojua chanjo ya Day 1ni Malek, then zingine zinafuata wiki kwa wiki ( Gombolo na Newcastle);Mkuu kwa day 1 old chick chanjo zinazotakiwa kuwakinga vifaranga wako dhidi ya magonjwa hatari ya bacteria na virus ni kama ifuatavyo ; Chanjo dhidi ya Chronic respiratory disease, salmonellosis, avian leukosis, avian encephalomyelitis na avian influenza thou kwa local breed wetu ni nadra sana kupata magonjwa hayo but kama uko ki commercial zaidi ni vyema ukawakinga mkuu coz siku zote wanakuambia Kinga ni nzuri zaidi kuliko tiba.... kila la kheri mkuu