Ni wapi kati ya mikoa ya kanda ya Kati na Pengine na ziwa naweza pata ng'ombe wa kisasa wenye uwezo wa kutoa Lita kati ya 10 na 20 kwa siku? Nasisitiza hapo Daktari Lita 10 au 20! Unajua kuna kuwa na maneno mengi ya hamasa nane nane na kwenye baadhi ya mashamba .Kuna jamaa yangu ana ng'ombe hao , hawatoi maziwa kama alivyoambiwa wakati akinunua licha ya marisho na care! Anapata 4 na iwe mapema baada ya kujifungua zinapungua kadri muda unakwenda! Ufugaji wa kibiashara nautamani, mfano unajikunja unapata ng'ombe say 4 ,Lita 10@ sawa 40 ltrs @ 1000= 40,000/ perday x 30 per month= 1,200,000/.Huku mikoani kwa DSM ni twice. Ushauri wako tafadhali, aina gani ya ng'ombe haswa! Mpwapwa hybrid kuna jamaa yangu kachukua,aliambiwa 8ltrs perday, anapata 4 ,