Mtaalamu wa mifugo (Dr. by Veterinarian): Karibuni kwa ushauri, tiba na dawa za mifugo tu

Mtaalamu wa mifugo (Dr. by Veterinarian): Karibuni kwa ushauri, tiba na dawa za mifugo tu

Hii ilitokea baada ya mchungaji kumpandisha kilima kikali wakati nilimwambia kuwa amwache kwenye banda. akakaidi
jaribu kama nilivyokuelekeza hapo juu.... ikishindikana then muite mtaalamu yoyote aje amchunguza pelvic region kama iko na matatizo mkuu
 
Ni wapi kati ya mikoa ya kanda ya Kati na Pengine na ziwa naweza pata ng'ombe wa kisasa wenye uwezo wa kutoa Lita kati ya 10 na 20 kwa siku? Nasisitiza hapo Daktari Lita 10 au 20! Unajua kuna kuwa na maneno mengi ya hamasa nane nane na kwenye baadhi ya mashamba.

Kuna jamaa yangu ana ng'ombe hao , hawatoi maziwa kama alivyoambiwa wakati akinunua licha ya marisho na care! Anapata 4 na iwe mapema baada ya kujifungua zinapungua kadri muda unakwenda! Ufugaji wa kibiashara nautamani, mfano unajikunja unapata ng'ombe say 4 ,Lita 10@ sawa 40 ltrs @ 1000= 40,000/ perday x 30 per month= 1,200,000/.

Huku mikoani kwa DSM ni twice. Ushauri wako tafadhali, aina gani ya ng'ombe haswa! Mpwapwa hybrid kuna jamaa yangu kachukua,aliambiwa 8ltrs perday, anapata 4 ,
 
Ni wapi kati ya mikoa ya kanda ya Kati na Pengine na ziwa naweza pata ng'ombe wa kisasa wenye uwezo wa kutoa Lita kati ya 10 na 20 kwa siku? Nasisitiza hapo Daktari Lita 10 au 20! Unajua kuna kuwa na maneno mengi ya hamasa nane nane na kwenye baadhi ya mashamba .Kuna jamaa yangu ana ng'ombe hao , hawatoi maziwa kama alivyoambiwa wakati akinunua licha ya marisho na care! Anapata 4 na iwe mapema baada ya kujifungua zinapungua kadri muda unakwenda! Ufugaji wa kibiashara nautamani, mfano unajikunja unapata ng'ombe say 4 ,Lita 10@ sawa 40 ltrs @ 1000= 40,000/ perday x 30 per month= 1,200,000/.Huku mikoani kwa DSM ni twice. Ushauri wako tafadhali, aina gani ya ng'ombe haswa! Mpwapwa hybrid kuna jamaa yangu kachukua,aliambiwa 8ltrs perday, anapata 4 ,
kuhusu upatikanaji wa ng'ombe wa maziwa kwa kanda ya ziwa sina uhakika mkuu.... labda kwa kanda ya kati jaribu Mpwapwa farm au Kongwa ranch (but kwa kongwa sina uhakika sana because wana beef cattle wengi thou hao pia wanaweza patikana hapo mkuu) But kwa ushauri wangu ungejaribu kufika Kitulo farm ranch ambayo inapatikana mbeya wanao fresian wazuri sana ambao hutoa lita zaidi ya 20 kwa siku.....

Kuhusu hilo la Ng'ombe kutoa maziwa pungufu hii inachangiwa na mazingira (environmental) and management factor ambazo kwa kiasi kikubwa huchangia uzalishaji wa maziwa pungua.... hapa nazungumzia vitu kama Housing condition,nutrition factor, vaccination and all preventive measure against infectious diseases ambazo huweza pelekea ng'ombe kupunza uzalishaji wa maziwa

Na vile vile unaweza fanya ishu ya management vizuri kabisa but mwisho wa siku ng'ombe akakupa lets say lita 12 or 15 badala ya lita 20 na si pungufu ya hapo.... hiyo tena haitokuwa ishu ya management tena bali itakuwa ishu ya environmental so litakuwa jukumu lako wewe mfugaji kuhakikisha ng'ombe hapati stress ya aina yoyote ambayo itapelekea ng'ombe kutokutoa maziwa ya kutosha.... hope nitakuwa nimejitahidi kujibu swali lako mkuu
 
Habari Wakuu....
Nipo mbele yenu kujibu maswali yenu mbalimbali kuhusiana na tiba na ushauri wa magonjwa yanayosumbumbua mifugo yetu mbalimbali na hivyo kupelekea uzalishaji kupungua....

Na pia kwa wale wakazi wa Dar es salaam wanaohitaji huduma za ki veterinarian natoa huduma za chanjo na kutibu kwa wanyama wote wa nyumbani.... pia nafanya surgical operation kwa pets (mbwa na paka) kama vile castration and ovariohysterectomy (kufunga vizazi kwa madume na majike) na operation nyingine nyingi kwa mifugo ya nyumbani tu.....

Kama utakuwa interested na huduma zangu just tuwasiliane kupitia namba zifuatazo +255686236365 Karibuni kwa maswali.....
Hongera mkuu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwa upande wangu hapo nitakushauri uzingatie sana suala zima la management... hapa nazungumzia ishu nzima ya chakula na maji viwe salama, na pia zingatia muda wa chanjo maana hawa kuku wa kisasa wengi wao ni prone to diseases hivyo suala la chanjo ni la kuzingatia sana mkuu kuhusiana na chanjo itabidi utembelee duka la mifugo kwa ushauri zaidi mkuu

Kuna mambo mengi ya kuzungumzia kuhusiana na kuku .... ukiwa na shida yoyote usisite kuniuliza karibu mkuu
mkuu mimi nimeanza kufuga kuku wa kienyeji na nimebahatika kutotolesha vifaranga na nikawa nazingatia suala la chanjo kulingana na interval inayoshauriwa na wataalamu kutoka chanjo moja hadi nyingine ila chakushangaza vimeanza kushambuliwa na ndui vikiwa na wiki mbili tu kabla ya wakati wa kuwapatia chanjo nya ndui ambayo nilishauriwa niwapatie wakiwa na wiki tatu au nne.
 
kuhusu hilo la kwanza... kuna condition mbalimbali ambazo zinaweza pelekea hilo tatizo la kupelekea kufa kwa mama na ndama wake so kwa sasa siwezi kuwa specific ni kitu gani kilichopelekea hilo tatizo mpaka labda ningeweza pata sampuli i could state the cause mkuu

kuhusu hilo la pili.... hakuna effect yoyote mkuu.....

kuhusu hilo swali la tatu.... kuku wako wanaweza kuwa na ukosefu wa vitamini ambayo hupelekea kuku wako kushindwa kusimama vyema yaani " rubber legs" na treatment yake ni kuwapa vitamini iliyochanganywa na calcium plus phosphorus
asante kaka ila naomba space nikuongezee muscles hapa kwenye ng'ombe kula placenta; placenta inapoliwa na mnyama ina effects kwenye uzalishaji wa maziwa.
- Placenta ina hormone inayojulikana kama progesterone na hyo hormone ina madhara hasi kwa prolactin hormone ambayo ndo hasa sababu ya uzalishaji wa maziwa kwamaana hyo maziwa yatapungua.

-Pia ita enterferes microbial activities ya rumen ambayo ita enterferes digestion- metabolism

-Pia itasababisha obstruction of lower part of oesophagus ambayo itasababisha kifo.

asante kaka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
asante kaka ila naomba space nikuongezee muscles hapa kwenye ng'ombe kula placenta; placenta inapoliwa na mnyama ina effects kwenye uzalishaji wa maziwa.
- Placenta ina hormone inayojulikana kama progesterone na hyo hormone ina madhara hasi kwa prolactin hormone ambayo ndo hasa sababu ya uzalishaji wa maziwa kwamaana hyo maziwa yatapungua.

-Pia ita enterferes microbial activities ya rumen ambayo ita enterferes digestion- metabolism

-Pia itasababisha obstruction of lower part of oesophagus ambayo itasababisha kifo.

asante kaka

Sent using Jamii Forums mobile app
ahsante mkuu.... kwa a useful information be blessed
 
mkuu mimi nimeanza kufuga kuku wa kienyeji na nimebahatika kutotolesha vifaranga na nikawa nazingatia suala la chanjo kulingana na interval inayoshauriwa na wataalamu kutoka chanjo moja hadi nyingine ila chakushangaza vimeanza kushambuliwa na ndui vikiwa na wiki mbili tu kabla ya wakati wa kuwapatia chanjo nya ndui ambayo nilishauriwa niwapatie wakiwa na wiki tatu au nne.
Mkuu pole sana kwa viranga wako kushambuliwa na ndui (chicken pox) kwa ushauri fanya yafuatayo
  • Kwanza hao viranga waliopatwa na ndui ni vyema ukawachukua na kuwatenga na viranga ambao hawajaonesha dalili yoyote ya ndui (hapa namaanisha uwahudumie peke yao)
  • Pili vyombo vyote vya chakula na maji unaweza kuvisafisha na bleach agent yoyote kama vile 10% ya sodium hydroxide or sodium hypochlorite kabla ya kuweka maji or chakula
  • Na mwisho kwa kuwa huu ungonjwa huenezwa na mbu ni vyema kama kuna madimbwi ya aina yoyote karibu na banda lako la kuku ni vyema ukayafukia ili kuepeka kuenea kwa ugonjwa huo katika kuku wako
Angalizo: usiwape kinga yoyote ya ndui kabla ya muda muafaka haujafika mkuu na imani nitakuwa nimekusaidia kwa namna moja ama ingine
 
Mkuu pole sana kwa viranga wako kushambuliwa na ndui (chicken pox) kwa ushauri fanya yafuatayo
  • Kwanza hao viranga waliopatwa na ndui ni vyema ukawachukua na kuwatenga na viranga ambao hawajaonesha dalili yoyote ya ndui (hapa namaanisha uwahudumie peke yao)
  • Pili vyombo vyote vya chakula na maji unaweza kuvisafisha na bleach agent yoyote kama vile 10% ya sodium hydroxide or sodium hypochlorite kabla ya kuweka maji or chakula
  • Na mwisho kwa kuwa huu ungonjwa huenezwa na mbu ni vyema kama kuna madimbwi ya aina yoyote karibu na banda lako la kuku ni vyema ukayafukia ili kuepeka kuenea kwa ugonjwa huo katika kuku wako
Angalizo: usiwape kinga yoyote ya ndui kabla ya muda muafaka haujafika mkuu na imani nitakuwa nimekusaidia kwa namna moja ama ingine
Nashukuru sana mkuu. Ubarikiwe sana.
Swali la nyongeza kama hutajali unisaidie. kwa walioathirika naweza kuwasaidiaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nashukuru sana mkuu. Ubarikiwe sana.
Swali la nyongeza kama hutajali unisaidie. kwa walioathirika naweza kuwasaidiaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
Just ni vyema kuwapa maji safi na salama yaliyochanganywa na vitamin na madini ili kuwezesha mwili wa hao kuku kufanya kazi vyema..... pia hakikisha suala zima la usafi katika banda , vyombo vya chakula na maji ni hayo tu mkuu
 
Back
Top Bottom