- Thread starter
- #121
pole sana mkuu kwa wewe pia kuwa mnywaji wa bia hizo na kuwa na utajiri wa hizo homoni nyingi za kikeSio Daktari yule. Daktari hawezi kuongea uongo wa namna yake kwamba kuna sehemu za mwili hazina nerves hivyo zinatumia homones? Au na wewe kilaza?