pole sana mkuu kwa wewe pia kuwa mnywaji wa bia hizo na kuwa na utajiri wa hizo homoni nyingi za kikeSio Daktari yule. Daktari hawezi kuongea uongo wa namna yake kwamba kuna sehemu za mwili hazina nerves hivyo zinatumia homones? Au na wewe kilaza?
pole sana mkuu kwa wewe pia kuwa mnywaji wa bia hizo na kuwa na utajiri wa hizo homoni nyingi za kikeNi kweli kabisa mkuu. Tunaambiwa tuwaamini kwa vile ni wataalamu, bila hata kuona hizo tafiti zimechukua mda gani.
Sijui tunatengeza wasomi wa aina gani tu.
pole sana mkuu kwa wewe pia kuwa mnywaji wa bia hizo na kuwa na utajiri wa hizo homoni nyingi za kikePropaganda Propaganda.... Hapo wanatafutwa wajinga wakauziwe miti shamba yake.
sasa mbona bado tu una homoni za kike kike?Situmiagi pombe mkuu.
kwa hiyo na wewe unamsapotipole sana mkuu kwa wewe pia kuwa mnywaji wa bia hizo na kuwa na utajiri wa hizo homoni nyingi za kike
kwahiyo ulitaka nikusapoti wewe mnywa bia mwenye homoni nyingi za kike kwa mujibu wa utaalamu wake aliousema?kwa hiyo na wewe unamsapoti
Huyu atakuwa ametumwa na Dk. JanabiSijasema mimi bali amesema mtaalam aliyenukuliwa na mtandao wa ommy msafi news hivyo nendeni huko mkaisikilize clip yake
Kitu pekee ninachofurahi cognizant mimi ni kwamba sinywi bia na haitotokea nikaja kunywa bia.
Akhsante mtaalam kwa ukweli wako
View attachment 2875102
we umejuaje kama nakunywa biakwahiyo ulitaka nikusapoti wewe mnywa bia mwenye homoni nyingi za kike kwa mujibu wa utaalamu wake aliousema?
uandishi wako umesadifu hivyowe umejuaje kama nakunywa bia
Na wewe unarudiarudia sentensi moja muda wote unafanana na huyo mjinga mwenzio.Wote ni masikini wa akili.Kunywa bia hakufananishwi na kuuza mitishamba.Tuliza kiuno.pole sana mkuu kwa wewe pia kuwa mnywaji wa bia hizo na kuwa na utajiri wa hizo homoni nyingi za kike
🤣🤣🤣 wewe jinga sanapole sana mkuu kwa wewe pia kuwa mnywaji wa bia hizo na kuwa na utajiri wa hizo homoni nyingi za kike
pole sana mkuu kwa wewe pia kuwa mnywaji wa bia hizo na kuwa na utajiri wa hizo homoni nyingi za kikeNa wewe unarudiarudia sentensi moja muda wote unafanana na huyo mjinga mwenzio.Wote ni masikini wa akili.Kunywa bia hakufananishwi na kuuza mitishamba.Tuliza kiuno.
Ni masikitikona wewe una homoni nyingi za kike?