Kama mnavyotumia nguvu kubwa kutaka kutuaminisha eti hakuwa shetani muovuUkiona wanatumia nguvu nyingi kuchafua ujue ilikuwa safi. Angekuwa mchafu wala haihitajiki nguvu kubwa kuonesha umma.
Watanzania sio wajinga. Hao wamenikumbusa korean movie-iljimae) mwizi anayeiba kusaidia maskini.
Mengine ni majizi makubwa yanaiba na kupelekea mabeberu! Wamuache apumzike kwa amani
Sio tu hawatoweza ila wanachochea hasira na mafuriko kwenye mioyo ya wa Tz. Yani Kuna Mtanzania sasa hivi utamdanya na story mfu while maisha yamewagonga hawana kitu hatujuwi kesho yetu ajira ndio kama picha yaani amtajuwa hamjuwi. Yani mtu anunue mchele 1800 leo 3500 alafu umdanganye Magu alikuwa mbaya nadhani atakupiga Kofi. Uzuri hata ukichukua Magu mfu ukamueka watu wampigie kura walahi Magu mfu anawatoa kamasiNimeamini! Mtandao wa mafisadi nchini, mwenye kuuvinja sio mfano wa Magufuli tena, anapaswa awe ni mtu katili kuliko Hitila, mwenye sura mbaya kuliko Idd amini dadaa
Kila Mtanzania kwa sasa, hahitaji kuuliza kwa mwenzake kuhusu ufisadi ulivyokithili sasa, watu wako bize kuiba kiasi hata Mh Rais akijisahau haya majizi yanaweza kuondoka na pochi yake
Watu ambao wamejikusanya kuandika kitabu cha kumchafua Magufuli, ndio hao waliokuwa wakitafutwa wakihusishwa na wizi wa mali za watanzania wengi wao wakakimbilia nje ya nchi
Wasomi uchwala hao, wameandika kitabu kinachohusu serikali ya Magufuli ilivyowekeza katika mji wa Chato ambapo ni sehemu ya Tanzania.
Mantiki yao ni ipi haswa!
Hata iweje, aandike vitabu na vitabu, bado Magufuli hawezi kuchafulika kijinga!
Zaidi, soma: From the book 'I am the State' (Mimi ni Dola)
Furaha yetu kubwa ni kwamba lile shetani lenu la Chattle lilishakufilia zake mbali.Sio tu hawatoweza ila wanachochea hasira na mafuriko kwenye mioyo ya wa Tz. Yani Kuna Mtanzania sasa hivi utamdanya na story mfu while maisha yamewagonga hawana kitu hatujuwi kesho yetu ajira ndio kama picha yaani amtajuwa hamjuwi. Yani mtu anunue mchele 1800 leo 3500 alafu umdanganye Magu alikuwa mbaya nadhani atakupiga Kofi. Uzuri hata ukichukua Magu mfu ukamueka watu wampigie kura walahi Magu mfu anawatoa kamasi
Kuna baadhi waliamua kuchuna sura kumsafisha mtu ambae hasafishiki na ukizingatia walimchafua wenyewe.Ukiona wanatumia nguvu nyingi kuchafua ujue ilikuwa safi. Angekuwa mchafu wala haihitajiki nguvu kubwa kuonesha umma.
Watanzania sio wajinga. Hao wamenikumbusa korean movie-iljimae) mwizi anayeiba kusaidia maskini.
Mengine ni majizi makubwa yanaiba na kupelekea mabeberu! Wamuache apumzike kwa amani
Alivunja uhusiano na nchi ipi? Ukiambiwa utoe mifano utaanza matusi.Magufuli atabaki kuwa rais aliyeigawa nchi yetu kwa misingi ya kikabila na mtu aliyevuruga mshikamano wetu. Atakumbukwa kwa visasi, kufanya maamuzi bila kushirikisha bunge, upendeleo wa kikabila na kindugu, uteswaji na hata kwa vifo vya wapinzani wake kisiasa. Alivuruga uhusiano wetu na nchi jirani na hata nchi za Ulaya. Ameacha doa kubwa katika historia ya Tanzania.
Eleza aliligawaje taifa? Au unaimbishwa tu nyimbo?Na mtampamba sana Magufuli wenu lkn kamwe hamtobadili kitu ktk uovu wake.
Atabakia kuwa mtu hatari sana aliyejaribu kuligawa taifa lkn Mungu mwema aliingilia kutunusuru waja wake
Kabila gani?Magufuli atabaki kuwa rais aliyeigawa nchi yetu kwa misingi ya kikabila na mtu aliyevuruga mshikamano wetu. Atakumbukwa kwa visasi, kufanya maamuzi bila kushirikisha bunge, upendeleo wa kikabila na kindugu, uteswaji na hata kwa vifo vya wapinzani wake kisiasa. Alivuruga uhusiano wetu na nchi jirani na hata nchi za Ulaya. Ameacha doa kubwa katika historia ya Tanzania.
Wacha iwaume si tunaimega kekiFuraha yetu kubwa ni kwamba lile shetani lenu la Chattle lilishakufilia zake mbali.
Nyie mteteeni muwezavyo hamtoondoa furaha yetu hiyo kuu.
Sasa hv tuna uwezo wa kuliandika tupendavyo kwa uhuru na kwa raha zetu wenyewe.
Mkiona inauma sana mkazikwe naye
Mungu wetu ni fundi sana kulitowesha lile subiani kwenye uso wa dunia,wacha lichomwe moto huko jehanam iwe fundisho kwa wapuuzi wengine wenye akili chafu kama alivyokuwaSio tu hawatoweza ila wanachochea hasira na mafuriko kwenye mioyo ya wa Tz. Yani Kuna Mtanzania sasa hivi utamdanya na story mfu while maisha yamewagonga hawana kitu hatujuwi kesho yetu ajira ndio kama picha yaani amtajuwa hamjuwi. Yani mtu anunue mchele 1800 leo 3500 alafu umdanganye Magu alikuwa mbaya nadhani atakupiga Kofi. Uzuri hata ukichukua Magu mfu ukamueka watu wampigie kura walahi Magu mfu anawatoa kamasi
Ni furaha iliyoje mwovu anapotupwa kwenye ziwa la moto kama hiviFuraha yetu kubwa ni kwamba lile shetani lenu la Chattle lilishakufilia zake mbali.
Nyie mteteeni muwezavyo hamtoondoa furaha yetu hiyo kuu.
Sasa hv tuna uwezo wa kuliandika tupendavyo kwa uhuru na kwa raha zetu wenyewe.
Mkiona inauma sana mkazikwe naye
Ninyi ndo mnaotumia nguvu kubwa kupambana na Hayati lkn bado pointi tatu anachukua, endelezeni upigaji na huyo mama yenu (stupid)Na mtampamba sana Magufuli wenu lkn kamwe hamtobadili kitu ktk uovu wake.
Atabakia kuwa mtu hatari sana aliyejaribu kuligawa taifa lkn Mungu mwema aliingilia kutunusuru waja wake
Nikueleze we km nani!!Eleza aliligawaje taifa? Au unaimbishwa tu nyimbo?
Hatupotezi muda, moja ya furaha yetu ni kulitaja vibaya kila tunapokumbuka ushenzi wake.Waendelee tuu kula nchi,,,Mwamba hauchafuliki ni kupoteza muda tuu kumchafua yule Mtu,,,ni Msafi mnooo kuliko wao!!