Mtaandika vitabu na vitabu, ila hamtaweza kubadili chochote juu ya Hayati Magufuli

Kama mnavyotumia nguvu kubwa kutaka kutuaminisha eti hakuwa shetani muovu
 
Sio tu hawatoweza ila wanachochea hasira na mafuriko kwenye mioyo ya wa Tz. Yani Kuna Mtanzania sasa hivi utamdanya na story mfu while maisha yamewagonga hawana kitu hatujuwi kesho yetu ajira ndio kama picha yaani amtajuwa hamjuwi. Yani mtu anunue mchele 1800 leo 3500 alafu umdanganye Magu alikuwa mbaya nadhani atakupiga Kofi. Uzuri hata ukichukua Magu mfu ukamueka watu wampigie kura walahi Magu mfu anawatoa kamasi
 
Furaha yetu kubwa ni kwamba lile shetani lenu la Chattle lilishakufilia zake mbali.
Nyie mteteeni muwezavyo hamtoondoa furaha yetu hiyo kuu.
Sasa hv tuna uwezo wa kuliandika tupendavyo kwa uhuru na kwa raha zetu wenyewe.
Mkiona inauma sana mkazikwe naye
 
Kuna baadhi waliamua kuchuna sura kumsafisha mtu ambae hasafishiki na ukizingatia walimchafua wenyewe.
Sasa tunaona ambao wanajitahidi kumchafua mtu ambae hachafuki. Hii inawauma sana
 
Alivunja uhusiano na nchi ipi? Ukiambiwa utoe mifano utaanza matusi.
Kipindi cha jpm ndiyo World bank iliitaja tanzania kufikia uchumi wa kati, wewe unazungumzia uhusiano upi? Hakuna mradi wa EU uliositishwa wala kupunguziwa pesa. Sana sana kwa akili yako ndogo utasema "vifaranga vilichomwa moto"
 
Kabila gani?
 
Wacha iwaume si tunaimega keki
 
Mungu wetu ni fundi sana kulitowesha lile subiani kwenye uso wa dunia,wacha lichomwe moto huko jehanam iwe fundisho kwa wapuuzi wengine wenye akili chafu kama alivyokuwa
 
Ni furaha iliyoje mwovu anapotupwa kwenye ziwa la moto kama hivi
 
Waendelee tuu kula nchi,,,Mwamba hauchafuliki ni kupoteza muda tuu kumchafua yule Mtu,,,ni Msafi mnooo kuliko wao!!
 
Na mtampamba sana Magufuli wenu lkn kamwe hamtobadili kitu ktk uovu wake.
Atabakia kuwa mtu hatari sana aliyejaribu kuligawa taifa lkn Mungu mwema aliingilia kutunusuru waja wake
Ninyi ndo mnaotumia nguvu kubwa kupambana na Hayati lkn bado pointi tatu anachukua, endelezeni upigaji na huyo mama yenu (stupid)
 
Eleza aliligawaje taifa? Au unaimbishwa tu nyimbo?
Nikueleze we km nani!!
We baki ukiamini upendavyo usitulazimishe na sie kulipenda shetani kuu lile ambalo madhila alotuachia kamwe hatutomsahau hata mmpambe vipi
 
Waendelee tuu kula nchi,,,Mwamba hauchafuliki ni kupoteza muda tuu kumchafua yule Mtu,,,ni Msafi mnooo kuliko wao!!
Hatupotezi muda, moja ya furaha yetu ni kulitaja vibaya kila tunapokumbuka ushenzi wake.
Ht misikitini/makanisani kumtaja na kumlaani shetani ni kawaida sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…