Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeongea vema Sana mkuu,Umepima ukakutwa negative?? Bro tunatembea na virusi kwa sababu ya uimara wa kinga za miili yetu.. ushauri wangu jitahidi sana kuwakinga wazee wako na watu wako wa karibu wenye afya dhaifu .. .corona ipo.na ni hatari kweli kweli.. ikipata upenyo tu huchomoki
Mkuu, labda ipo, Ila huku kwetu daah, sjawahi ona, na staki kuona naomba itajwetajwe Tu isiwafikie watu, mkuu naongea ukweli kabisa aisee,Corona haipo,mwambieni basi yule mzee aliyejificha kule kijijini arudi huku town aendelee kuchapa kazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa mkuu hapa kuna watu wanapiga kelele vile hayajawafikamsiba usikie kwa jirani
Ndo mlivyodanganywa na mmedanganyika, hao wanaokufa hawatoki mitaani, wanatoka sayari nyingine.
we waache, huu ugonjwa ni hatari, unamaliza familia nzima ukiingia, labda wanakaa vijijiniKweli kabisa mkuu hapa kuna watu wanapiga kelele vile hayajawafika
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtaa unaoishi halo ilivyo ipoje? Mtaani kwetu unaweza kujua hakuna ugonjwa huu kabisa.
Karibia kila kitu kinaendelea kama hamna kitu, watu wanaishi maisha yao bila wasiwasi (mikusanyiko na vijiwe) kilichobadirika ni ndoo za maji mtaani ambazo hazitumiwi.
Watu wanaishi maisha yao na kata yetu yote sijasikia mtu kafa kwa Corono au kahisiwa. Ila ukiingia mitandaoni jinsi wanavyoeleza hali ni tofauti na uhalisia.
Unaweza kudhani watu wanakufa sana au wako hoi sana mitaani.
Je hali ya mtaani kwenu ipo vipi.?
Mtaani kwetu hata sijawahi kusikia dalili za corona
Mtaa unaoishi halo ilivyo ipoje? Mtaani kwetu unaweza kujua hakuna ugonjwa huu kabisa.
Karibia kila kitu kinaendelea kama hamna kitu, watu wanaishi maisha yao bila wasiwasi (mikusanyiko na vijiwe) kilichobadirika ni ndoo za maji mtaani ambazo hazitumiwi.
Watu wanaishi maisha yao na kata yetu yote sijasikia mtu kafa kwa Corono au kahisiwa. Ila ukiingia mitandaoni jinsi wanavyoeleza hali ni tofauti na uhalisia.
Unaweza kudhani watu wanakufa sana au wako hoi sana mitaani.
Je hali ya mtaani kwenu ipo vipi.?
Mmezika wenye corona ama wamezika citySisi mtaani kwetu tumeshazika wawili