Mtaani kwenu kuna Tahadhari dhidi ya CoronaViruses?

Mtaani kwenu kuna Tahadhari dhidi ya CoronaViruses?

Tanzania kila kitu hewa, Corona hewa, wafanyakazi hewa, wanafunzi hewa,

Corona imebakia jina Tu Tanzania, Huku kwetu kila ninayekutana naye, anaulizia tu, hivi wamefika wangapi? Sasa endapo kila mtu atakuwa anauliza wamefika wangapi, unagundua kabisa hii Corona haipo, kama ingelikuwepo, basi hata hao wanaouliza watu kufika wangapi wangekuwa nao wanaugulia!

Corona hewa
Endelea kuamini hivyo hivyo 🙄
 
Kusema ukweli kabisa kutoka moyoni, sijawahi kuona msiba mtaani kwangu tena ni Mwananyamala uswazi kabsaaaa. Hata mimi naona mauzauza tu. Wanakufa viongozi. Nadhani serikali ingechunguza. Yaweza kuwa kuna kitu hakiko sawa mahali. Sabotage inaweza kuwa iko kazini.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwananyamala ipi unaishi, nko biashara complex hapa ...Hali n shwari kabisa

One love
 
Back
Top Bottom