Mtaani kwenu kuna Tahadhari dhidi ya CoronaViruses?

Nitakuwa mfuatiliaji wa Michango yenu
 
Binafsi sijawahi kifo wala mgonjwa kusikia huku kitaani kwangu ila kuna uwezekano wapo ila hawapendi show off muhimu kumuomba mungu na kuchukua tahadhari pamoja na kuzingatia ushauri tunaopewa na wataalamu wetu wa afya .
 
kwahiyo wale 16 walikufa kwa njaa au nyege,punguzeni mihemko kwenye mazungumzo😎😎😎
Mkuu, Corona ipo yamkini, Mimi nimezungumzia huku kwetu, sjaona na nimesema nistake kuona kabisa Kwa sababu jinsi ninavyoona huko Kwa wenzetu, inatisha na pengine hata hapa hizi ID zetu nyingine zingekuwa hazichangii chochote hapa, sababu watu wenye ID hizo wangekuwa washakufa ama wako ICU

Wewe mwenyewe chunguza Tu hapa utajionea mwenyewe, Karibu ID zote ziko hai, Je kuna Corona kweli?

Mimi sikatai kuwa haipo, Ila huenda Corona ya Tanzania inatofauti na Corona za huko
 
Tatizo ni ngum sana kuthibitisha kwamba marehemu kafa kwa korona pia yapo magonjwa uhua Mara moja
 
Hapa kitaa Kuna mmoja kafa jumamosi , mwingine Jana kafia Amana, alfajir ya kuamkia leo mwingine Tena wote walikuwa na matatizo ya kisukar na presha kitambo.
 
Hapa kitaa Kuna mmoja kafa jumamosi , mwingine Jana kafia Amana, alfajir ya kuamkia leo mwingine Tena wote walikuwa na matatizo ya kisukar na presha kitambo.
 
Whether iko mtaani kwetu au la sio issue ,issue ni kujikinga na ugonjwa unaweza ikawa wewe ukawa chanzo cha kuleta mtaani.Mtaani kwenu inawezekana mna population ya watu 2000 na kwa sasa kama maambukizi Dar ni watu 120 kwenye population ya 6m ya wana Dar ni kidogo ila kwa sababu hatufanyi mass testing kuna watu wana maambukizi ila hawaumwi na wengine hawataonyesha dalili hata kidogo
 

Mkuu upo sahihi. Huu ugonjwa wengine wanaishi nao na hawajaonyesha kuumwa au dalili..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…