Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
- Thread starter
- #21
Chang'aa inasubiri sana
Hii kisungura na chang'aa ipi kali?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii kisungura na chang'aa ipi kali?
Hapa kimara wanakiita ukawa.
🤣🤣🤣Ukipita Mbezi Mwisho,Buguruni na Mbagala Rangi 3 vijana wabugia kama ngamia kapata maji baada ya kuvuka Kalahari Desert
Huku kwetu Uswis wanaiita kamatia chini.
Naaaam🔥🔥Iyo kitu ni zaid ya Katiba mpyaa
Nimecheka kinoma.Hilo neno la mwisho sasa....ahahhahhha
Chang'aa naona ni 34% alcl na wanachanganya na jet fuel and embalming fluid to speed up fermentaion process which cause blind.Chang'aa inasubiri sana
Haina maajabu kabisa.