King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Wasaidizi wake wanaumwa mno
Ndio maana yeye anadunda ,si uliona juzi juzi alishikana mikono na Maalimu Seif? Halafu meko anapenda sana kujishika pua na miwani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasaidizi wake wanaumwa mno
Acheni mambo ya hovyo kwenye mambo yahusuyo uhai wa watu,serikali haina mkazo wowote kwenye issue ya Corona,Alaf mtu analumu serikali 🤣🤣 sasa sijui serikali ifanye nini kwenye ugonjwa ambao hauna dawa ....
Na wewe pia ni mmoja ya wajinga?Unawaita wajinga kwa vile wewe Ni mpumbavu.
Hapana hapa umekosea kidogo chanjo wanapata mbili baadhi ya nchi sasa ya kwanza tu hawaja cover watu wengi wameshasema ikifika majority wamepata chanjo hapo ndio watalegeza masharti lakini kwa hivi sasa hata UK wametangaza wagonjwa na vifo number zinashuka kila siku kwa hiyo trend inaenda chini. Logistic imekuwa shida kidogo ili kuhakikisha chanjo zinafanywa kwa haraka nadhani ikifika nusu mwaka number ya chanjo ikiongezeka tutaona. WHO wamesema kwa ujumla number zinashuka na UK wamesema wagonjwa wamepungua wenye kuhitaji msaada.shida hata baadhi ya watu waliopatiwa chanjo huko ughaibuni bado msisitizo ni ule ule wavae barakoa wanawe mikono na keep distance that mean that vaccine is useless
NI kweli, lakini kule wanaambiwa kwamba kuna janga kwenye nchi yao, wajikinge; hiyo ndio tofauti ya wao na sisiNenda marekani watakuonesha maelfu ya makaburi mapya kila siku.
Yani wewe unashangaa hapa kupishana na costa?
Wenzio wanabeba kwenye malori.
Acheni mambo ya hovyo kwenye mambo yahusuyo uhai wa watu,serikali haina mkazo wowote kwenye issue ya Corona,
Raisi anakusanya watu Morogoro kwakuzindua machine yakukoboa mpunga akijua kabisa mikusanyiko si salama kutokana na uwepo wa korona.
Tulitarajia raisi yeye angetoa ushauri namna bora yakujikinga na korona lakini anayoyafanya ni tofauti.
Kuna jambo serikali haiko sawa kwenye mapambano dhidi ya korona.
Kwa mwanaume mwenye akili hawezi kuacha kuvaa kondomu kwa mwanamke aliyekutana naye siku ya kwanza hata kama kampima Ukimwi muda huo huo.Hii Corona, ukiona Hadi Who wameishiwa matamko, jua hata hizo kelele za mitandaoni hazisaidii, ukiweza kujilinda jilinde, na mbaya kabisa wale wenye chanjo zao NAO Bado wanavaa barakoa
Shida ni kwamba wengi wa tunaojadiliana humu, upeo na uelewa wao ni mdogo sana.Chanjo haikufanyi usiambukizwe bali ni kinga ya ugonjwa ukiupata usidhurike...wangap wana chanjo ya suruwa na waliugua suruwa,wangapi wana chanjo ya TB na waliugua TB.
Note.Marekani ina watu milioni 300+ waliopigwa chanjo hadi sasa ni milioni 21 tu.
Raisi alisema shughuli za serikali zitaendelea kama kawaida , Ila chukueni tahadhari mmoja mmoja , mkuu hakuna aliyeshurutishwa aende kwenye huo mkutano , swali la kujiuliza unaendaje kwenye mkutano huku ukijua kuna Korona ?? Kaa nyumbani , jipige rockdown, tumia sanitizer , vaa barakoa , ..uhai wako huwezi kumbebesha mtu mwingine ...Acheni mambo ya hovyo kwenye mambo yahusuyo uhai wa watu,serikali haina mkazo wowote kwenye issue ya Corona,
Raisi anakusanya watu Morogoro kwakuzindua machine yakukoboa mpunga akijua kabisa mikusanyiko si salama kutokana na uwepo wa korona.
Tulitarajia raisi yeye angetoa ushauri namna bora yakujikinga na korona lakini anayoyafanya ni tofauti.
Kuna jambo serikali haiko sawa kwenye mapambano dhidi ya korona.
Ni mwanaume mpumbavu pekee anayeenda dukani anunue kinga wakati mwili wake umevalishwa kingaKwa mwanaume mwenye akili hawezi kuacha kuvaa kondomu kwa mwanamke aliyekutana naye siku ya kwanza hata kama kampima Ukimwi muda huo huo.
Ukienda Ulaya kupigwa chanjo ukirudi unaambiwa "watanzania wanaenda Ulaya kuchanjwa na kuleta corona ya ajabu ajabu"Raisi alisema shughuli za serikali zitaendelea kama kawaida , Ila chukueni tahadhari mmoja mmoja , mkuu hakuna aliyeshurutishwa aende kwenye huo mkutano , swali la kujiuliza unaendaje kwenye mkutano huku ukijua kuna Korona ?? Kaa nyumbani , jipige rockdown, tumia sanitizer , vaa barakoa , ..uhai wako huwezi kumbebesha mtu mwingine ...
Kama unahitaji chanjo nenda ulaya kapigwe chanjo urudi .....!!
Yaani swala la Afya unataka Raisi aseme kitu ha ha haaaaa
Unaenda alaf unarudi unatangaza kwamba nimeenda kupigwa chanjo 🤣... ukifanya hvo lazima upigwe segerea wiki mbili ukila pumba na maji ... Yesu alisema kuwa mpole kama njiwa na uwe mjanja kama Nyoka....Ukienda Ulaya kupigwa chanjo ukirudi unaambiwa "watanzania wanaenda Ulaya kuchanjwa na kuleta corona ya ajabu ajabu"
Wakianza kufa wao ,mpaka lockdown tutapigwa mkuuHuwa akili za MATAGA hadi wafe wao ,ndo maana mbunge kafa kwa pneumonia wakaambiwa ni ajali ya gari.
Yani Mbunge apate ajali,Tz hii inyamaze tusione hilo gari lilivyoharibika ,tusisikie dereva wake kafa ama kapona ,tusijue hata eneo ambalo alipatia ajali.
Hahahahahahahah.Unaenda alaf unarudi unatangaza kwamba nimeenda kupigwa chanjo 🤣... ukifanya hvo lazima upigwe segerea wiki mbili ukila pumba na maji ... Yesu alisema kuwa mpole kama njiwa na uwe mjanja kama Nyoka....
Inawala sana sema hataki kusema tuWakianza kufa wao ,mpaka lockdown tutapigwa mkuu
"kuambiana kupo kusikizana ndio shida; nadhani ipo haja yakujipa muda ili kujiridhisha kabla ya kutumia hizo chanjo.
of koss wangapi wana chanjo ya polio na lepros na wamepata tena
Habari za Jumamosi
Haya mambo haya ndani ya wiki mbili hizi hatujazoea, kupishaha na magari sana sana coastal zenye waombolezaji kiasi hiki, barabarani unaweza kupishana na coastal zilizobeba miili ya wafu zaidi ya 9 kwa siku, hali hii sikuizoea kabisa.
Unaweza kujiuliza kuna ajali gani ilitokea hivi karibuni ikaua ndugu zetu, jamaa zetu, marafiki zetu kiasi hiki hizi maiti zinasombwa wapi ,je hii ni Brazil, au Italia ya 2020 tuliokuwa tunaisikia au ni kuna Boko Haramu siku hizi Tanzania inaua ndugu kwa kuvizia.
Ila ukiona waombolezaji wanaosindikiza miili ya wapendwa wao wote wamevaa barakoa ndo unashituka aaah kumbe kuna ugonjwa wa homa ya mapafu Tanzania (Pneumonia)...basi unaendelea na safari zako, unajiuliza tu kimya kimya sijui wanaenda wapi, sujui ni akina nani, msiba usije ukafika ukaambiwa ni flani kafa ila tu hukupati taarifa mapema.
Ndugu zanguni tujilindine,tusisubiri mamlaka husika ikuambie jilinde na uchukue tahadhari,wabunge wamesema hosptali zimejaa ukienda unaumwa Neumonia kuna mawili ama usubirie mgonjwa ampone au usubirie mgonjwa afe ndo upate Oxygen, unaambiwa hata kwa kuhonga rushwa hupati Oxygeni
Mtu atakayeugua na apate mashine ya oxygen ni wale VIP class no 1.
Mfano augue RC na Waziri augue pneumonia wewe unadhani nani atapata hiyo mashine ya Oxygen haraka ?.
Tuachane upuuzi wa kusema Pneumonia inaua wazee wa miaka 60 na watu wanene ,huo ni ujinga wa kutokuelewa afya.
Tuacheni ujinga wa kusema Pneumonia inaua sehemu ya baridi tu.
Tuacheni ujinga wa kusema Pneumonia tujifukize itaisha ,tunywe malimao tangawizi Sijui vitunguu.
Lini kichomi na homa ya mapafu iliisha kihivyo,dawa zote za asili hufanya kazi taratibu sana .
Unapomchukua mwanamke ujikinge na magonjwa ya zinaa kama UKIMWI serikaki iliwahi kukutuma ununue kondom ?
Ulipopata maradhi ya zinaa serikali ilikuuliza kwa nini hukutumia kondom sana sana si daktari atakushauri ujikinge na uwakinge wengine ?
Sasa kwenye hili la pneumonia si hao hao wataalam wa afya wametushauri tuvae barakoa na kufanya social distance.
Unapokufa familia yako itakulilia itagharamikia mazishi yako wachinje ng'ombe.
Wakifa wao serikali ndo inabeba misiba yao,peps na cocacola watapeleka soda na maji ya dasani,kilimanjaro na Azam atapeleka unga wa maandazi,Mtibwa na Kagera Sugar atapeleka sukari kwa ajili ya chai.
Tuchukue tahadhari ,jana nimetoka kumzika ndugu yangu Professa wa miaka 48 hasara kwa familia kisa pneumonia inauma.
Wao wanaumwa sisi tunaumwa ,hatuna BIMA wao wanazo,hatuna lishe wao wana mafungu,hatuna STK,SU,STL,SL,RAC,sisi tunategemea kukodisha coasta.
Bwana awasaidie wale wote wanaopigania UHAI wote mahospatalini na majumbani kwa ugonjwa wa Pneumonia na magonjwa mengine.
Tujilinde tujikinge ,tuwalinde tuwakinge.
Jumamosi iliyo Njema kwa wote.