Mtaani ni mwendo wa kupishana na costal za maua tu, tunachimba tunazika

Mtaani ni mwendo wa kupishana na costal za maua tu, tunachimba tunazika

Raisi alisema shughuli za serikali zitaendelea kama kawaida , Ila chukueni tahadhari mmoja mmoja , mkuu hakuna aliyeshurutishwa aende kwenye huo mkutano , swali la kujiuliza unaendaje kwenye mkutano huku ukijua kuna Korona ?? Kaa nyumbani , jipige rockdown, tumia sanitizer , vaa barakoa , ..uhai wako huwezi kumbebesha mtu mwingine ...
Kama unahitaji chanjo nenda ulaya kapigwe chanjo urudi .....!! Mwaka jana serikali ilisisitiza hayo unayoyataka ni nini tulifaidika? Zaidi ilileta taabu ya kiuchumi mpak hotel za Naura Arusha kudorora na sasa inabid ziuzwe kufidishia madeni Kwa wafanyakazi ....ugonjwa hauna dawa , kila mtu ni roho mkononi around the globe...
Aliekwambia hotel ya naura imefilisika kwasababu hizo ni nani?Zipo hotel nyingi zimekufa na nyingine kugeuzwa hostel za wanafunzi au mnajifanya mmesahahu?Hotel zimeyumba sana utawala huu Kabla hata korona kuingia.
Uzuri wa corona haichagui huyu raisi na yule ni waziri tofauti hawa wakiugua wanapata huduma za juu kuliko sisi kajamba nani.
Mi nakumbusha tu huwenda hujui ila mkuu anatembea na kifaa mwilini ili aishi na corona ni hatari kwa wenye afya za mgogoro.
 
Huwa akili za MATAGA hadi wafe wao ,ndo maana mbunge kafa kwa pneumonia wakaambiwa ni ajali ya gari.
Yani Mbunge apate ajali,Tz hii inyamaze tusione hilo gari lilivyoharibika ,tusisikie dereva wake kafa ama kapona ,tusijue hata eneo ambalo alipatia ajali.
Kwahiyo ndugai adanganye kafa kwa ajali ili iweje?
Kwanini mnakuwa wajinga hata kureason tu akili hizo hamna?
 
Aliekwambia hotel ya naura imefilisika kwasababu hizo ni nani?Zipo hotel nyingi zimekufa na nyingine kugeuzwa hostel za wanafunzi au mnajifanya mmesahahu?Hotel zimeyumba sana utawala huu Kabla hata korona kuingia.
Uzuri wa corona haichagui huyu raisi na yule ni waziri tofauti hawa wakiugua wanapata huduma za juu kuliko sisi kajamba nani.
Mi nakumbusha tu huwenda hujui ila mkuu anatembea na kifaa mwilini ili aishi na corona ni hatari kwa wenye afya za mgogoro.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ujinga huu! Hicho kifaa kwanini wengine wasitenbee nacho?
 
Hao mimi huwa nawaita wajinga,
nahisi wewe utakua chawa wa meko au unakula kupitia ccm,serikali inatakiwa itoe tahadhari kwa wananchi wote kuhusu hili gonjwa,kwani Corona ilipo ingia kwa Mara ya kwanza Tz serikali siiliwatahadharisha watu na watu wakawa wanachukua tahadhari Sasa kwann ishindwe kuwaambia wananchi ukweli Sasa hv?
 
Sasa hivi akifa mtu serikalini unaweza ata usijue au unaambiwa kafa kwa ajali 😄
 
nahisi wewe utakua chawa wa meko au unakula kupitia ccm,serikali inatakiwa itoe tahadhari kwa wananchi wote kuhusu hili gonjwa,kwani Corona ilipo ingia kwa Mara ya kwanza Tz serikali siiliwatahadharisha watu na watu wakawa wanachukua tahadhari Sasa kwann ishindwe kuwaambia wananchi ukweli Sasa hv?
Ukweli gani usiojua ambao unataka kuambiwa?

Mimi ni chawa wa Meko, wewe ni chawa wa mr konyagi
 
ukienda hospital kiboya wanaku FINITO ili usieneze wadudu zaidi...ugua afu uende km utarudi
 
Nenda marekani watakuonesha maelfu ya makaburi mapya kila siku.

Yani wewe unashangaa hapa kupishana na costa?

Wenzio wanabeba kwenye malori.
Kwa hiyo kama marekani wanakufa na sisi tunapaswa kufa? Mbona kwenye mambo ya maana watu wakilinganisha marekani na tanzania mnawafokea na kuwaita vibaraka wa mabeberu? Marekani ina watu takribani 300 million,sisi kwetu kuna watu 50 million,rate ya vifo lazima ionekane iko juu marekani kuliko tanzania,acheni utaahira,serikali ichukue hatua za makusudi kuwalinda,na kuwahudumia raia wake pale wanapopatwa na maambukizi ya CORONA!! Kuwaambia watu wakajifukize tu ni ujinga,kama kujifukiza ni tiba sahihi iliyothibitishwa basi iwekeni mahospitalini,hapo tutawaelewa,mtu aandikiwe dozi ya kufukiza na daktari msomi asimamie zoezi hilo,akipona apewe discharge na daktari,yule mbunge wa mbulu anasema kule jimboni kwake watu wanakunywa malimao na tangawizi kama gongo,wanajinywea tu! Mbona wizara ya afya haituambii tukisikia homa tu tumeze chloroquin? Bali inatushauri tukawaone wataalam na tupate tiba sahihi baada ya vipimo vya kitaalamu?kwa nini kwenye corona inaturushia zigo tufe nalo wenyewe?yaani kwenye magonjwa mengine yote serikali ipo!! Ila inapokuja issue ya corona serikali inatukimbia na kutuambia tupambane wenyewe! Si sawa.
 
Kwa hiyo kama marekani wanakufa na sisi tunapaswa kufa? Mbona kwenye mambo ya maana watu wakilinganisha marekani na tanzania mnawafokea na kuwaita vibaraka wa mabeberu? Marekani ina watu takribani 300 million,sisi kwetu kuna watu 50 million,rate ya vifo lazima ionekane iko juu marekani kuliko tanzania,acheni utaahira,serikali ichukue hatua za makusudi kuwalinda,na kuwahudumia raia wake pale wanapopatwa na maambukizi ya CORONA!! Kuwaambia watu wakajifukize tu ni ujinga,kama kujifukiza ni tiba sahihi iliyothibitishwa basi iwekeni mahospitalini,hapo tutawaelewa,mtu aandikiwe dozi ya kufukiza na daktari msomi asimamie zoezi hilo,akipona apewe discharge na daktari,yule mbunge wa mbulu anasema kule jimboni kwake watu wanakunywa malimao na tangawizi kama gongo,wanajinywea tu! Mbona wizara ya afya haituambii tukisikia homa tu tumeze chloroquin? Bali inatushauri tukawaone wataalam na tupate tiba sahihi baada ya vipimo vya kitaalamu?kwa nini kwenye corona inaturushia zigo tufe nalo wenyewe?yaani kwenye magonjwa mengine yote serikali ipo!! Ila inapokuja issue ya corona serikali inatukimbia na kutuambia tupambane wenyewe! Si sawa.
Rate ya vifo kule marekani na huku ni tofauti sana sababu siyo idadi ya watu bali kule vifo ni vingi sana pamoja na hatua walizochukua!

Ujerumani kwenyewe population yao tumetofautiana watu milioni 20 tu lakini wanakufa watu zaidi ya elfu 1 kila siku. Pamoja na hatua zote zile yani watu elfu wanadondoka kwa wakati siku moja.

Shida yenu hapa kwetu ni kufaka kujaribu kwamba watu wanakufa sababu ya uzembe wa selikali.
 
Wewe umechukua hatua gani kuepuka jambo hilo pamoja na familia yako?
Maana kujikinga ni hiyari, au aunataka serikari itumie nguvu kwa mtu mwenye akiri timamu kama wewe na familia yako?
Serikali imeshasema tuchukue tahadhali sasa unataka mpaka usukumwe?

1 epuka kchangama na watu
2 vaa barakoa muda wote
3 nawa mikono kila mara
4 kaa distance kuanzia ndani mwako
5 Jifungie ndani (lockdown )

Chukua hatua wewe mwenyewe kuishi ni manufaa yako mwenyewe, na kama police watakufata huko ndani basi njoo ulalamike hapa.

Kwa pamoja tupunguze ma costa barabarabani.
Kuna yule mkurugenzi wa moshi! Ulisikia alichofanya kwenye mkutano? Aliwaamrisha watu wote kuvua barakoa kabla ya kuendelea na mkutano,mara kadhaa nimemwona na kumsikia magufuli akiponda watu waliovaa barakoa hadharani,siku ingine akasifia kabisa kwa kusema " korona imekoromea mbali huko,ndio maana hata hapa sioni mtu aliyevaa barakoa" maana yake ni kuwa yeye binafsi anafurahi anapoona watu hawajavaa barakoa,na anaamua kuwa corona hakuna tanzania,na anasema hivyo,na neno la rais ni sheria,na wasaidizi wake wanalazimika kuitii hiyo sheria iliyotoka kwenye kinywa cha mkuu wa nchi!! Ni nini hamuelewi nyie watu? Tunacholalamika hapa ni kuwa mkuu wa serikali( serikali kuu) hataki watu wajilinde, na wanaomheshimu au kumwogopa wanafuata matakwa yake,hata mawaziri naamini wanajua corona ipo,ila hawathubutu kuvaa barakoa wanapokuwa karibu na bosi wao,maana wanajua bosi wao hapendi,na kama kweli rais alipata ushindi wa kura kwa asilimia 80+ ina maana ana wafuasi wengi wanaomwamini na kutii kila atakachosema,huioni hatari hapo ngosha?
 
Raisi alisema shughuli za serikali zitaendelea kama kawaida , Ila chukueni tahadhari mmoja mmoja , mkuu hakuna aliyeshurutishwa aende kwenye huo mkutano , swali la kujiuliza unaendaje kwenye mkutano huku ukijua kuna Korona ?? Kaa nyumbani , jipige rockdown, tumia sanitizer , vaa barakoa , ..uhai wako huwezi kumbebesha mtu mwingine ...
Kama unahitaji chanjo nenda ulaya kapigwe chanjo urudi .....!! Mwaka jana serikali ilisisitiza hayo unayoyataka ni nini tulifaidika? Zaidi ilileta taabu ya kiuchumi mpak hotel za Naura Arusha kudorora na sasa inabid ziuzwe kufidishia madeni Kwa wafanyakazi ....ugonjwa hauna dawa , kila mtu ni roho mkononi around the globe...
Mkuu, umeandika kama mtu alekata tamaa! Rais amesema tuchukue tahadhari,rais huyohuyo amesema corona haipo tanzania,rais huyo huyo anaita watu kwenye mkusanyiko( contrary to his own words)rais anakataa chanjo za mabeberu( as per his word)rais anasema shughuli zitaendelea kama KAWAIDA!!na mwisho akasema"kuna watu wameenda huko kwa mabeberu,wakapigwa chanjo za corona huko,halafu wakatuletea makorona ya ajabu ajabu" !!!!! Kweli akili kumkichwa.
 
Rate ya vifo kule marekani na huku ni tofauti sana sababu siyo idadi ya watu bali kule vifo ni vingi sana pamoja na hatua walizochukua!

Ujerumani kwenyewe population yao tumetofautiana watu milioni 20 tu lakini wanakufa watu zaidi ya elfu 1 kila siku. Pamoja na hatua zote zile yani watu elfu wanadondoka kwa wakati siku moja.

Shida yenu hapa kwetu ni kufaka kujaribu kwamba watu wanakufa sababu ya uzembe wa selikali.
Sawa tu! Na ujerumani wanakufa,na waingereza wanakufa,na wachina WALIKUFA!! Kwa hiyo hiyo inahalalisha na sisi tulazimishe watu wetu wafe? Maana tunapowaambia kuwa hakuna tatizo,huku tukijua na kuona kabisa kuwa tatizo lipo ni kama tunawasukumia makaburini kwa lazima,hebu fikiria,kwa vile una mamlaka unawaamuru watu wavue barakoa zao kwenye mkusanyiko,si kuwaua kwa lazima?
 
Kwahiyo ndugai adanganye kafa kwa ajali ili iweje?
Kwanini mnakuwa wajinga hata kureason tu akili hizo hamna?
Kadanganya kuhusu wabunge wa Covid 19 mchana kweupe sembuse hivyo visivyo na ushahidi. Kalaghabaho ndugu yangu
 
Back
Top Bottom